Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini?

Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini?

Bado hujajibu hoja zangu....unatumia muda mwingi sana kuji-defend kuliko kujibu hoja straightforward. Kwanini unazunguka mbali hivyo wakati kuna shortcut?
Hoja zako nimejibu tangu mwanzo na nimekupa areas of concentration ili uelewe zaid what else has remained untouched???!!!!

Hakuna majibu ya straight forward unapolenga kupata meaning,experience, attitude,behaviour ambazo zote hizi ni results za culture ambayo ni dubwasha kubwa na lina tofauti kibao; ambazo wewe huzijui ila unataka wanaojua watoe majibu yatakayokuridhisha, how come! !!!!!!

At the same time you label all people who challenges you!!!!!! What a mistake, si umeona sasa walioanza kusema sababu kwa mfano wawe sexy, wengine walisema inaongeza mvuto wote umewafanya wa shun away halafu unataka majibu while you screwed the project at its embryonic stage!!!!!

M defending nothing of my interest except for knowledge sharing of which seems not to be your target!!!!!
 
No way hapo sasa unatoka mazima kwenye hoja! !!!!!!!

Narudia tena hayo yote ni symbolic na kila atumiaye ana maana yake na inawezekana kwa cluster yao wanaelewana sasa badala ya kuweka assumption zetu ni bora kufanya enquiry ili kupata the inner meaning from actors "verstehen"!!!!!

Anaweza kukuambia ndio anadumisha mila ya kundi fulani hapa duniani ambayo yeye anaona iko sawa kama wewe ulivyo na dini kutoka nje huko naye kaamua kuingia katika kundi ambalo kutoboa sikio yaweza kuwa sawa na maana ya kuvaa rozari au kushika tasbihi!!!!!!!

Suala la rangi pia ni mapokeo ya jamii husika mimi sina shuka nyekundu wala damu ya mzee nyumbani kwangu kwa ajili ya kitanda ila ninayo ya kimasai navaa nikiwa huko kwetu au hata mjini nikiwa na shughuli za mila yangu rangi ni mapokeo tu sio valid and reliable truth mkuu!!!!!

Lakini kama unakubali pink ni rangi ya kike mbona hutaki kugeuza shingo kuwa hao wanaosema hayo ndio wavaaji wakubwa wa mikufu na hereni????!!!!!

Nakubaliana na wewe problem ya maono ipo sana tena iko heavily loaded na stigma,rigidity,conservatism,blindness and even blanket treatments,actually suffocating from judgemental tendencies!!!!!!
Unajua tatizo nakuona unaandika mambo mengi mpaka unamiss point..nakumbuka kwenye socilogy na behavior sciences(MD2)..wataalam wanaeleza kwamba abnormal behavior ni kufanya jambo ambalo si la kawaida na halikubalik kwenye jamii husika..kwa mf kwenye jamii mwanaume kuvaa mapambo ya mwanamke (kama hereni, mkufu, bangili, kubadili nyele rangi to name few ambazo vijana wengi wa kiume wanafanya siku hizi) kwenye jamii flani ni abnormal behavior..sasa kwa jamii ya kiafrica hasa tanzania wanaume hawasuki, kuvaa hereni nk..na sisi ndo tunasema hapa ni abnormal behavior...swali lingine la msingi unaweza kwenda kwa mkwe umevaa hereni ..?!
 
Hoja imeungwa mkono kijana wangu
Unaweza kwenda kwa mkwe umevaa hereni..? Au mipete mavidole huku na huku kama hadija kopa..? Ukiwa honest jibu ni hapana..? Sasa jiulize kwa nini..?
 
Mimi sijaona maaarifa hapo..nmekutolea mfano na majina nmekutajia ila umekimbia ..nauliza tena mtu kama diamond na hemedphd kuvaa hereni na mikufu, kubadilisha nywele rangi unachukulia kama kudumisha mila..!!!?
Kwa nini unataka mambo ya kufikirika yaani mimi nijibu kwa nini hao wamefanya hivyo wakati hatuko katika subculture moja mimi na wao?????!!!!
Tatizo hutaki kujifunza,just google "verstehen" utajua kwa nini sikujibu hili swali! !!!
Mambo huwa yana maana kwa wale wanaofanya sasa wewe huvai wala hujatoga ila unataka kuwa msemaji wao,serious hivi ndivyo unaendesha maisha? ??!!!!
Huwezi semea kudumisha mila wakati hujui mila na.desturi zinazowafanya watoge masikio,kuvaa mikufu na kubadili nywele rangi, kwani wao ndio wa kwanza? ???!!!Wameiga kwa nani, kwa nini hiyo na sio vingine???!!! Unadhani machizi? ???!!! Wana maana yao ila cha ajabu badala ya kutafuta hiyo maana kitaalamu wewe unayako unayotaka ndio yawe majibu yao....Absurd!!!!!!

Unawezaje kuelezea uchungu wa kuzaa bila kuwa mzazi wa kike?????!!!!
 
Hapa umecategorise....mleta mada kaileta mazimaaaa..bila kuweka boundaries ni pete zipi..mikufu ipi...saa zipi...n.k...hujaona amelaani hata uvaaji wa pete za ndoa...anasuggest ziwekwe sandukuni! Hapo ndo tunasema si sawa
Nadhani ukisoma mada yake..alichokimaanisha kiko wazi..
 
Unaweza kwenda kwa mkwe umevaa hereni..? Au mipete mavidole huku na huku kama hadija kopa..? Ukiwa honest jibu ni hapana..? Sasa jiulize kwa nini..?

Hebu funguka akili mkuu wako wazee wametoga masikio na hawana shida na hilo mbona,so huyo mkwe inategemea anachukuliaje hayo mambo pia unamjua Abby Sykes kwa mfano tu!!!!!!

Honest jibu sio hapana ila inategemea na huyo mkwe mwenyewe!!!!!

Kutoboa masikio kwa wanaume hakujaanza leo hii inathibitisha kuwa wapo wazee wametoboa kwa hiyo uwezekano wa kwenda na kukubalika pia upo!!!!!!
 
Unajua tatizo nakuona unaandika mambo mengi mpaka unamiss point..nakumbuka kwenye socilogy na behavior sciences(MD2)..wataalam wanaeleza kwamba abnormal behavior ni kufanya jambo ambalo si la kawaida na halikubalik kwenye jamii husika..kwa mf kwenye jamii mwanaume kuvaa mapambo ya mwanamke (kama hereni, mkufu, bangili, kubadili nyele rangi to name few ambazo vijana wengi wa kiume wanafanya siku hizi) kwenye jamii flani ni abnormal behavior..sasa kwa jamii ya kiafrica hasa tanzania wanaume hawasuki, kuvaa hereni nk..na sisi ndo tunasema hapa ni abnormal behavior...swali lingine la msingi unaweza kwenda kwa mkwe umevaa hereni ..?!

1. Sijui kama mimi naandika mengi au cognitive failure ndio sababu!!!!!!!!
2. Jamii ipi unazungumzia, hawa watu wana wazazi na wana kwao ujue jamii unayodhani sio iliyopo ki uhalisia mambo yamebadilika kwa kasi sana; hicho kitabu cha mwaka gani na kinaitwaje au japo author nasi tusome mkuu!!!!!Lakini unajua knowledge sio stagnant so kitabu ni mwanga tu haimaanishi ukomalie tu hata kama ni cha 1970's!!!!!! Zamani fundal pressure ilikuwa applicable vipi siku hizi?????!!!!
3. Jamii ya Tanzania wanaume hawasuki na kuvaa hereni ????!!!!! Una hakika???!?
4. Hivi kwenye behavioural science uliambiwa "all relatively unpleasant" ni "abnormal"????!!!!
 
Duh wewe unayako, kama hata pesa na saa unaongelea basi jifikilie kuwa hupendi au hauna pesa ya kuvaa kama wenzako. Maana kusema pete na unajua hizi pia zavaliwa ktk kuingia kwa ndoa.
 
Nadhani ukisoma mada yake..alichokimaanisha kiko wazi..

Kuwa wazi haimaanishi ni sahihi pia!!!!!!!!
Umesoma MD inajulikana na iko wazi infussion ya quinine suitable iende na 5% glucose je hii ni sahihi always? ???!!!!
 
Unajua maana ya subculture???!!!!!
Jamii gani ya watu wanavaa pete na wanavaa vidole gani, wanaweka vito,vy aina gani???!!!
Watu gani wanavaa mikufu,ya ukubwa gani na madini gani,ina vidani vya mawe au madini???!!!
Wanatoboa masikio je yote mawili au moja kama moja ni la upande gani???!!!!

Uko sawa kuwa inabidi kuuliza maswali na huu ndio ufunguo wa kuelewa sio kuja na sulihisho bila hata kujisumbua kujua maana ya hao wanaofanya hayo kwa wanavyomaanisha wao na sio ujuavyo wewe!!!

Kwani wao walisema wanadumisha mila mkuu au wewe unadhani wao tajibu hivyo??????!!!!!
Tusipoewana na ukabaki na wasi wasi ni vizuri sasa chukua wasiwasi kama changamoto usome juu ya symbolic interactionism na social constructionism halafu tuendelee na mjadala kama na wewe una refferences nipe nikaongeze maarifa
Thumbs up, hivi ndivyo unavyotakiwa kwenda mjadala huu. Na kama watu watajadili kwa mtindo huu hapo tutapa majibu na pengine kutoa ushauri kwa vijana watz juu ya hii kitu. Lkn tukiacha hisia zetu zitawale mjadala kamwe wengine hatutajifunza. Ngoja nikuongezee like mkuu
 
Thumbs up, hivi ndivyo unavyotakiwa kwenda mjadala huu. Na kama watu watajadili kwa mtindo huu hapo tutapa majibu na pengine kutoa ushauri kwa vijana watz juu ya hii kitu. Lkn tukiacha hisia zetu zitawale mjadala kamwe wengine hatutajifunza. Ngoja nikuongezee like mkuu
Shukrani mkuu Ablessed i hope tutafika na huu mjadala!!!!
 
Last edited by a moderator:
Shukrani mkuu Ablessed i hope tutafika na huu mjadala!!!!
I believe tutafika na tutaelewana. Ni vema jamii ikajua impact ya maendeleo ya technolojia kwani ni vigumu hali ikabaki kama miaka ya '80
sababu sasa hivi kuna muingiliano wa tamaduni kwa kiwango cha juu , kuvumiliana na kuchukuliana inahusika sana. Mrembo by Nature amenifurahisha sana hapo juu na ameniacha na maswali mengi najiuliza je DIAMOND mbona anagombaniwa na warembo wa mujini. Hata hivyo sibishani bali nipo ktk kujifunza toka kwa wachangiaji.
 
I believe tutafika na tutaelewana. Ni vema jamii ikajua impact ya maendeleo ya technolojia kwani ni vigumu hali ikabaki kama miaka ya '80
sababu sasa hivi kuna muingiliano wa tamaduni kwa kiwango cha juu , kuvumiliana na kuchukuliana inahusika sana. Mrembo by Nature amenifurahisha sana hapo juu na ameniacha na maswali mengi najiuliza je DIAMOND mbona anagombaniwa na warembo wa mujini. Hata hivyo sibishani bali nipo ktk kujifunza toka kwa wachangiaji.

Mrembo by Nature kaamua kusasambua kabisaaaaaa!!!!!!!
Unachosema ni kweli kabisa kuwa kama hutaki kubadili maisha basi maisha yatakubadili tu!!!!!
Cha maana ni kujifunza tu mabadiliko,vyanzo na athari then unaamua mfumo bora wa kuishi na kulea wanao!!!!!!
HIV/Aids wakati inaingia ilikuwa inaonekana kama ya wahuni na watu fulani tu kosa kubwa lilikuwa,laiti ingechukuliwa ni janga la wote labda tungeokoa wengi,watu walijiona exceptional kumbe wote victims unless stated otherwise!!!!!!

Na culture diversity and convergence under globalization ni changamoto mpyaaaa!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hoja sina mimi au wewe sasa..kwa sababu mnajidai hamjui mtoa mada kamaanisha nini ndo tunauliza hayo maswali..hizo habari za babu zetu haziipo kwenye root ya uzi wa jamaa..mnaelewa kabisa kamaanisha cheni zipi, hereni zipi na mapambo gani ya kike..na ni aibu kujustfy kwa kutumia mababu zetu..ni aibu sana

Mbona mjadala una limitation? Yaani unataka tujadili kwa mipaka? Kwahiyo mababu zetu tusiwataje! Why? Mimi sijui mtoa mada amemaanisha Pete na hereni zipi, Ina maana yupo specifically sio? Kwa maana nyingine anakubali kuna Pete na mikufu ya kiume? Mbona hueleweki mkuu!
 
Mrembo by Nature kaamua kusasambua kabisaaaaaa!!!!!!!
Unachosema ni kweli kabisa kuwa kama hutaki kubadili maisha basi maisha yatakubadili tu!!!!!
Cha maana ni kujifunza tu mabadiliko,vyanzo na athari then unaamua mfumo bora wa kuishi na kulea wanao!!!!!!
HIV/Aids wakati inaingia ilikuwa inaonekana kama ya wahuni na watu fulani tu kosa kubwa lilikuwa,laiti ingechukuliwa ni janga la wote labda tungeokoa wengi,watu walijiona exceptional kumbe wote victims unless stated otherwise!!!!!!

Na culture diversity and convergence under globalization ni changamoto mpyaaaa!!!!!
Changamoto ni nyingi kweli ukizingatia hawa watoto wanaanza kutumia mitandao mapema ni kuomba Mungu atusaidie kuwaelimisha watoto wetu pasipo kuwalaghai. Ikibidi unawaambia uzuri wa hiyo kitu na ubaya wake na je jamii yao ya asili inachuliaje utamaduni huu bila kuficha mtazamo wako juu ya hilo kama mzazi. Pia kuwafundisha namna ya kuchukuliana na wengine ambao wana culture tofauti na walizozoea kuziona kamwe wasiwaite majina yenye kutia aibu au yenye kutarnish image yao ktk jamii.
 
Kwa nini unataka mambo ya kufikirika yaani mimi nijibu kwa nini hao wamefanya hivyo wakati hatuko katika subculture moja mimi na wao?????!!!!
Tatizo hutaki kujifunza,just google "verstehen" utajua kwa nini sikujibu hili swali! !!!
Mambo huwa yana maana kwa wale wanaofanya sasa wewe huvai wala hujatoga ila unataka kuwa msemaji wao,serious hivi ndivyo unaendesha maisha? ??!!!!
Huwezi semea kudumisha mila wakati hujui mila na.desturi zinazowafanya watoge masikio,kuvaa mikufu na kubadili nywele rangi, kwani wao ndio wa kwanza? ???!!!Wameiga kwa nani, kwa nini hiyo na sio vingine???!!! Unadhani machizi? ???!!! Wana maana yao ila cha ajabu badala ya kutafuta hiyo maana kitaalamu wewe unayako unayotaka ndio yawe majibu yao....Absurd!!!!!!

Unawezaje kuelezea uchungu wa kuzaa bila kuwa mzazi wa kike?????!!!!
Aisee unaandika mambo mengi sana mpaka unamiss point na kama huwezi jibu huo mfano basi..ukiweza kujibu je diamond na mtu kama hemedi kuvaa hereni na kubadilisha nywele rangi ni sawa kwenye jamii yetu..yaani ni sawa au sio sawa.. ?ukijibu hilo basi tutapata pa kuanzia na usi complicate jamii yetu unaijua na na hao watu hope unawajua( ni kama mfano tu hao)
 
Changamoto ni nyingi kweli ukizingatia hawa watoto wanaanza kutumia mitandao mapema ni kuomba Mungu atusaidie kuwaelimisha watoto wetu pasipo kuwalaghai. Ikibidi unawaambia uzuri wa hiyo kitu na ubaya wake na je jamii yao ya asili inachuliaje utamaduni huu bila kuficha mtazamo wako juu ya hilo kama mzazi. Pia kuwafundisha namna ya kuchukuliana na wengine ambao wana culture tofauti na walizozoea kuziona kamwe wasiwaite majina yenye kutia aibu au yenye kutarnish image yao ktk jamii.
Sasa mimi na watu kama mtoa uzi ndo tunachosema hapa ..maana naona km mnasema ni kawaida kwa mwanaume kuvaa hivyo then mnasema ni sawa then mnasema tena ni utandawazi..!? Which is which..
cc:OLESAIDIMU
 
Mbona mjadala una limitation? Yaani unataka tujadili kwa mipaka? Kwahiyo mababu zetu tusiwataje! Why? Mimi sijui mtoa mada amemaanisha Pete na hereni zipi, Ina maana yupo specifically sio? Kwa maana nyingine anakubali kuna Pete na mikufu ya kiume? Mbona hueleweki mkuu!
Embu soma uzi wake vizuri basi..?!
 
I believe tutafika na tutaelewana. Ni vema jamii ikajua impact ya maendeleo ya technolojia kwani ni vigumu hali ikabaki kama miaka ya '80
sababu sasa hivi kuna muingiliano wa tamaduni kwa kiwango cha juu , kuvumiliana na kuchukuliana inahusika sana. Mrembo by Nature amenifurahisha sana hapo juu na ameniacha na maswali mengi najiuliza je DIAMOND mbona anagombaniwa na warembo wa mujini. Hata hivyo sibishani bali nipo ktk kujifunza toka kwa wachangiaji.
Unaangalia quality au quantity..unaangaliwa anagombewa na watu waaina gani na kwa nini..
 
Back
Top Bottom