Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana umeyapenda maneno ya mama Mghwira 😂😂😂Wangu nampendea akili za maisha tu ila kuhusu mambo mengine mungu anasaidia 😂😂😂
Kwa nini siyo poa?? Nature inawafavor,Mila na tamaduni zina wafavor, vitabu vya dini vinawafavor( agano la kale kwa biblia)... haya bado haitoshi mama kawaruhusu kwa vipande wakati yeye ni mwanamke?Mama kajitahidi Sana kuelezea Ila kwa wanaume tuna haja ya kujitathmini Sana aisee.. umalaya sio poah!!
Asije akakuongopea mtuNdio maana umeyapenda maneno ya mama Mghwira [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila eti wanasemaga "utazunguuka mabucha yote nyama ni ile ile" sa sijui kweli au vip[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hana tako?Wangu nampendea akili za maisha tu ila kuhusu mambo mengine mungu anasaidia [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanawake hawanaga mbwembwe wao vipande vyao huvipenda kimya kimya mme akirudi yeye ni pambio tu , vipande vipo hata kwa wanawake