Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

Hakika huyu mama ni Daktari,

Katika kikao cha mabaharia kitakachofanyika mwanzoni mwa mwezi June kwa ajili ya kuweka mikakati ya kupambana na corona pamoja na kupitia upya bei elekezi za kuhonga, napendekeza agenda ya kumpongeza iongezwe katika agenda za kikao.
 
Kama kuna mtu anataka tuwe marafiki wa kweli wa kufa na kuzikana naomba nimpe namba ya mama watoto ampigie kisha ajifanye askari na amuambie kua nimekamatwa tangu jana na nitatolewa kesho mchana.
 
Wengi huwa hawapendi kuambiwa ukweli..Ila ukweli unaweza ukakuweka huru..
 
Mama mgwira ameongea ukweli ambao wanawake wengine hawataki kuusikia japo wanaujua..[emoji28]
 
Kama kuna mtu anataka tuwe marafiki wa kweli wa kufa na kuzikana naomba nimpe namba ya mama watoto ampigie kisha ajifanye askari na amuambie kua nimekamatwa tangu jana na nitatolewa kesho mchana.
Nipe number tusolve hilo tatizo dogo
 
Kama kuna mtu anataka tuwe marafiki wa kweli wa kufa na kuzikana naomba nimpe namba ya mama watoto ampigie kisha ajifanye askari na amuambie kua nimekamatwa tangu jana na nitatolewa kesho mchana.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Daah
 
Kwa nini siyo poa?? Nature inawafavor,Mila na tamaduni zina wafavor, vitabu vya dini vinawafavor( agano la kale kwa biblia)... haya bado haitoshi mama kawaruhusu kwa vipande wakati yeye ni mwanamke?

Ya kuambiwa ongezea na ya kwako.. mi umalaya no aisee, wanicheke tu au Kama ntaonekana fala fureeesh
 
Back
Top Bottom