Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

Ameongea fact hadi nimefurahia, he looked on the matter positively! Culprit ni umalaya ila its because of nature. Mwanaume anavutiwa na vingi (sections/vipande) katika mwili wa mwanamke na hawezi penda entirely.

Binafsi napenda brains, sura nzuri, shape, romanticness & understandability! Inakuwa ngumu kupata package yote kwa mtu mmoja but mwanamke mwenye mawili miongoni mwa hayo hapo juu lazma nitapenda kuwa nae penzini.


.
Vijana mnafurahisha
Unahisi kuna mwanaume mmoja ambae ana kiiiila kitu ambacho mwanamke mmoja anataka?.!
 
Vijana mnafurahisha
Unahisi kuna mwanaume mmoja ambae ana kiiiila kitu ambacho mwanamke mmoja anataka?.!
Yani ni kwamba mwanamke anampenda mwanaume full ndio maana anakuwa na wivu.
 
Unaweza kaa na mwanamke usiempenda?..

Ila wanawake wanaweza
Akipenda pochi kwa mfano
Mwanaume anaweza vizuri sana maana kiwango cha unafiki ni hadhi ya nyota tano. Mtu anaeweza msifia ebitoke na kumfanya ajihisi Rihana unadhani ni swala dogo 🤣🤣🤣!

Wanawake hawawezi!
 
aiseeeee....kucha za miguu.....ila hajajua kabisa.....sipendi kabisa avae viatu vya kuzificha.......yaani....wacha tupende vijipande sura hata mbuzi anayo........yaani huwa nazikataga mwenyewe kabisa........huyo mama hajakosea......
 
Mwanaume anaweza vizuri sana maana kiwango cha unafiki ni hadhi ya nyota tano. Mtu anaeweza msifia ebitoke na kumfanya ajihisi Rihana unadhani ni swala dogo 🤣🤣🤣!

Wanawake hawawezi!
ni sawa ukiwa bar....ile ukifika unaona hakuna hata dem anaefikia mkeo/mpenzio......bia ya 1,,,,,,ikifika ya 5....mabaa medi wote warembo......
 
Lete vipande vyote ndan tujumuike kwa pamoja uo ndo ustaarabu bana ..kwann iwe sirini??
 
Mwanaume anaweza vizuri sana maana kiwango cha unafiki ni hadhi ya nyota tano. Mtu anaeweza msifia ebitoke na kumfanya ajihisi Rihana unadhani ni swala dogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!

Wanawake hawawezi!
Kwa mwanaume ni ngumu sana ndiyo yale anakesha bar, ili muda usonge afike usiku kwake,
lakini kwa mwanamke ni ngumu sana

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Nikatieni kipande changu (paja tu linanitosha)
 
Mwanaume anaweza vizuri sana maana kiwango cha unafiki ni hadhi ya nyota tano. Mtu anaeweza msifia ebitoke na kumfanya ajihisi Rihana unadhani ni swala dogo 🤣🤣🤣!

Wanawake hawawezi!
Achana na michepuko shorttime
Tuzungumzie ndoa
Mwanaume gani anaweza oa mwanamke asiempenda?.!

Ila ni wanawake wangapi wanaolewa na wasiowapenda na wanaweza akishaona usalama wa pochi kwa mfano?
 
Achana na michepuko shorttime
Tuzungumzie ndoa
Mwanaume gani anaweza oa mwanamke asiempenda?.!

Ila ni wanawake wangapi wanaolewa na wasiowapenda na wanaweza akishaona usalama wa pochi kwa mfano?
Hahahah kuoa mke usiyempenda ni ishu
 
Back
Top Bottom