Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

Wakuu,

Hizi nipongezi za dhati kwa huyu Mama, ameonesha njia kwa kueleza uhalisia jinsi wanaume rijali tunavopenda vipande vipande, maana yake kuna utaempenda macho, mwingine utampenda kwa mguu wake wa bia, na mwingine utampenda kwa usafi wake

Huo ndio uhalisia na wanawake mkilijua hilo hamtokuja kujifanya mnavuruga ndoa zenu, sisi wanaume hata unipe nini lakini hutoweza kunitosheleza hivo lazima nitatoka nje tu na nitarudi ndani kikubwa nakuheshimu na natimiza majukumu wewe niache tu wala usiumie roho

Naimani wanawake mmejifunza kutokana na kauli ya huyu mama Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

PONGEZI ZIKUFIKIE MAMA YETU KWA KUELEZA JAMII HUO UHALISIA WA WANAUME.
 
Mimi nawaonea huruma wanawake ambao waume zao waliwapendea chuchu saa 6. Naona kabisa baada ya chuchu kugeuka ndala watabakia kuwa mzazi mwenzie na sio mpenzi wake tena.
 
Mimi nawaonea huruma wanawake ambao waume zao waliwapendea chuchu saa 6. Naona kabisa baada ya chuchu kugeuka ndala watabakia kuwa mzazi mwenzie na sio mpenzi wake tena.

Tunapenda vipande vipande ili kila mwanamke tumpatie huduma ukipenda mmoja wengine itakuaje?
 
Hata unipe nini lakini hutoweza kunitosheleza hivo lazima nitatoka nje tu na nitarudi ndani kikubwa nakuheshimu na natimiza majukumu wewe niache tu wala usiumie roho.

Stupidity [emoji706] kwahiyo muachwe tu mlete magonjwa eti simply because hamuwezi kutulia, wanawake kibao hawatoshelezwi mbona wametulia wanawavumilia au na wao wakatafute watu wengine huko wa kuwatosheleza, kujiendekeza tu.[emoji57][emoji57]
 
Mungu aliumba Adam(mmoja) na Hawa(wengi) na hajasema Adam(mmoja) na Huyu(mmoja)...jiongeze dada wanaume tuneruhusiwa kuwala tutakavyo kwani mpo wengi na sisi ni wachache.
hata unipe nini lakini hutoweza kunitosheleza hivo lazima nitatoka nje tu na nitarudi ndani kikubwa nakuheshimu na natimiza majukumu wewe niache tu wala usiumie roho.

Stupidity [emoji706] kwahiyo muachwe tu mlete magonjwa eti simply because hamuwezi kutulia, wanawake kibao hawatoshelezwi mbona wametulia wanawavumilia au na wao wakatafute watu wengine huko wa kuwatosheleza,kujiendekeza tu[emoji57][emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amenena vyema

Amekumbuka kusema na yeye alipendewa nini kwenye hivyo vipande vipande?
 
Haya wote kwa pamoja tupige kelele moja kwake,"ng'hweee"
Mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke ila mwanamke ni kwa ajili ya mwanaume....kelele a pili tafadhali _weeeeeuweeeeee.[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Ila na baadhi ya wanawake nao wanapenda vipande vya hela mwenye pande kubwa ndo anapewa sasa kama umeoa na hauna mapande ya uhakika jiandae kuchapiwa.
 
Hata unipe nini lakini hutoweza kunitosheleza hivo lazima nitatoka nje tu na nitarudi ndani kikubwa nakuheshimu na natimiza majukumu wewe niache tu wala usiumie roho.

Stupidity [emoji706] kwahiyo muachwe tu mlete magonjwa eti simply because hamuwezi kutulia, wanawake kibao hawatoshelezwi mbona wametulia wanawavumilia au na wao wakatafute watu wengine huko wa kuwatosheleza, kujiendekeza tu.[emoji57][emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshaambiwa kwamba wanawake wamebarikiwa kuweza kumpenda mtu mzima mzima bila kuangalia kwingine usichoelewa Nini? Wanaume uwezo huo hawana ndio Mana wanapenda vipande vipande.
 
Back
Top Bottom