Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha huenda tunafanana kweliA special famous somebody humu
Anasema the way we comment tunafanana
haha huenda tunafanana kweli
hiyo mipango yenu mnayoipangaVipi tena
Ni Nani nimwambie aeleweI wish umwambie ni watu wawili tofauti ataniamini
ha ha ha ha ha ha Tumeinuliwa kwa kiasi flani da nimecheeka sanaMama ametuinua kwa kiasi fulani
Tumuandalie tuzo ya kumpongeza yani hata Phd yake anaonekana she earned it.Hakika huyu mama ni Daktari,
Katika kikao cha mabaharia kitakachofanyika mwanzoni mwa mwezi June kwa ajili ya kuweka mikakati ya kupambana na corona pamoja na kupitia upya bei elekezi za kuhonga, napendekeza agenda ya kumpongeza iongezwe katika agenda za kikao.
.huyu mama nimemsilikiza kama mara mbili hivi, alipo toa tamko kwa mara ya kwanza lile tukio la mwamposa
na hili la pili, huyu maza ni akili kubwaaaaz aiseee anaongea vitu kwa uhalisia kabisa😀😀😀😀
wanawake tunawapendea vingi:
uyu miguu
yule chura
mwingine lips
kule sauti
mara hips
hapa rangi mweupe/mweusi
urefu/ufupi
mara ziwa kubwa dogo chuchu konzi dooooooh ni shida aisee mengine 🏂🏂🏂
wanawake wana vingiAmeongea fact hadi nimefurahia, he looked on the matter positively! Culprit ni umalaya ila its because of nature. Mwanaume anavutiwa na vingi (sections/vipande) katika mwili wa mwanamke na hawezi penda entirely.
Binafsi napenda brains, sura nzuri, shape, romanticness & understandability! Inakuwa ngumu kupata package yote kwa mtu mmoja but mwanamke mwenye mawili miongoni mwa hayo hapo juu lazma nitapenda kuwa nae penzini.
.
yaaaah ugonjwa mpya huuu kwangu una kama miezi hiviNa huo ndio ugonjwa wako sio 😂😂😂
Wanawake jinsi walivyo na vionjo tofauti hio ni mpaka kwenye centre of gravity! Pale kuna mvuto tofauti napo..Kila mmoja yuko na ladha yake kama we ni mtu wa kutest mitambo utakuja gundua. Kuna wanawake watamu zaidi ya wengine.yaaaah ugonjwa mpya huuu kwangu una kama miezi hivi
haujapishana sana na corona toka niupate😂😂😂
acha tu mkuu asa mtu ndo uwe na mmojaWanawake jinsi walivyo na vionjo tofauti hio ni mpaka kwenye centre of gravity! Pale kuna mvuto tofauti napo..Kila mmoja yuko na ladha yake kama we ni mtu wa kutest mitambo utakuja gundua. Kuna wanawake watamu zaidi ya wengine.
Kama wanaume pia😛Wanawake jinsi walivyo na vionjo tofauti hio ni mpaka kwenye centre of gravity! Pale kuna mvuto tofauti napo..Kila mmoja yuko na ladha yake kama we ni mtu wa kutest mitambo utakuja gundua. Kuna wanawake watamu zaidi ya wengine.