Ni ujinga tu hao wanaompiga wana ugonjwa wa akiliSwali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini
Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
Hao kobasi wa hivyo wabaki hizo nchi huko huko huku Tz hatutaki hayo Mambo,ukimcharaza Mwanamke viboko kisa Dini unaenda kulala seroSwali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini
Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
unaongelea saudia arabia wakati hapo zanzibar mambo kama haya yapo, kipindi cha mfungo hukuona jf?Mnakosea sana mnaposema "dini" wakati ni mila za kiarabu tu hizo tena ni waarabu wa kale kabisa.
Huwezi kukuta upumbavu kama huo katika nchi zilizo staraabika kama Misri, UAE, Tunisia, Algeria, Morocco, Kuwait, Saudi Arabia ya sasa wala hata Lebanon na Syria labda kwa wajinga kama Yemen, Pakistan, Afghanistan, Sudan na Iran ambao bado wanaabudu utamaduni wa kale wa kiarabu.
Katika nchi kama Tanzania hata kwenye maeneo yenye waislamu wengi mkifanya uwendawazimu kama huo wananchi hawatawapa hata fursa ya kupelekwa mahakamani bali watawagawana vipande na hadi polisi wanafika watakutana na viungo vyenu vikiwa vimesambazwa barabarani.
Dunia ya sasa iliyostaarabika haiwezi kukubali upumbavu kama huo ukifanywa kwa kisingizio eti cha dini, hakuna dini ya kipumbavu kama hiyo.
Taratibu ndugu ujue hao uliosema wajinga ni NCHI ZA KIISLAMU NA ZINA HESHIMA YA UISLAMU TANGU KALEMnakosea sana mnaposema "dini" wakati ni mila za kiarabu tu hizo tena ni waarabu wa kale kabisa.
Huwezi kukuta upumbavu kama huo katika nchi zilizo staraabika kama Misri, UAE, Tunisia, Algeria, Morocco, Kuwait, Saudi Arabia ya sasa wala hata Lebanon na Syria labda kwa wajinga kama Yemen, Pakistan, Afghanistan, Sudan na Iran ambao bado wanaabudu utamaduni wa kale wa kiarabu.
Katika nchi kama Tanzania hata kwenye maeneo yenye waislamu wengi mkifanya uwendawazimu kama huo wananchi hawatawapa hata fursa ya kupelekwa mahakamani bali watawagawana vipande na hadi polisi wanafika watakutana na viungo vyenu vikiwa vimesambazwa barabarani.
Dunia ya sasa iliyostaarabika haiwezi kukubali upumbavu kama huo ukifanywa kwa kisingizio eti cha dini, hakuna dini ya kipumbavu kama hiyo.
Hao ni wajinga wa Nigeria huko.Mnakosea sana mnaposema "dini" wakati ni mila za kiarabu tu hizo tena ni waarabu wa kale kabisa.
Huwezi kukuta upumbavu kama huo katika nchi zilizo staraabika kama Misri, UAE, Tunisia, Algeria, Morocco, Kuwait, Saudi Arabia ya sasa wala hata Lebanon na Syria labda kwa wajinga kama Yemen, Pakistan, Afghanistan, Sudan na Iran ambao bado wanaabudu utamaduni wa kale wa kiarabu.
Katika nchi kama Tanzania hata kwenye maeneo yenye waislamu wengi mkifanya uwendawazimu kama huo wananchi hawatawapa hata fursa ya kupelekwa mahakamani bali watawagawana vipande na hadi polisi wanafika watakutana na viungo vyenu vikiwa vimesambazwa barabarani.
Dunia ya sasa iliyostaarabika haiwezi kukubali upumbavu kama huo ukifanywa kwa kisingizio eti cha dini, hakuna dini ya kipumbavu kama hiyo.
Apo kwenye kuchapwa viboko mia kisa kuzini ili iweje . Yani kuzini nizini mm nyie mnichape viboko kwan nyie ndo MUNGU🤔 mwanadamu huruhusiwi kumwadhibu mwanadamu mwenzàko Wala kumuhukumu✍️ mwenye haki ya kuhukumu ni mwenye enzi MUNGU mana hakuna kiumbe kinachoitwa mwanadamu ni kikamilifu wote ni wadhaifu aliye mkamilifu ndo anapaswa kutoa adhabuMara nyingi mitandaoni huwa tunaletewa tukio lisilo na maelezo ya kutosha kisha kila mtu anasema lake.
Labda waislamu wenyewe tuwafahamishe, katika uislamu hakuna adhabu ya hivyo ya mtu kutandikwa hovyo na watu wanne kwa pamoja.
Hata adhabu ya viboko kwa mzinifu ni viboko miamoja na haipigwi kwa staili hiyo.
Uislamu sio dini ya hovyo kama wengi mnavyotaka iwe, kuwa kila jambo baya mnaliegemeza katika uislamu.
Umemaliza mjadala,na huwenda pia hiyo ikawa ni movie,wana act hao,sio kweli,waona hata hixo fimbo,hazimpigi huo mwanamke.Maswali muhimu ;
1. Jambo akifanya Muislamu au Mkiristo ni lazima iwe kwa ajili ya dini au dini yake ndivyo inavyosema ? kama ndio basi niruhusuni nitume clip zaidi ya 100 za ujinga wenu pamoja na ukatili Kisha mutoe hitimisho wenyewe kuwa ni Wajinga na Wakatili.
2. Kuna ushahidi gani kuwa wamefanya hivyo kwa ajili ya dini au kisa wamevaa hayo mavazi tu ?
3. Je unauhakika na Elimu na wafanyaji wa kitendo hiko kwenye dini ?
Hiyo ni acting,sio kweli.Wafikri serekali ya nchi husika,ita waacha hao wanaomchapa huyo mwanamke.Ni movie,hao wana act tu.Apo kwenye kuchapwa viboko mia kisa kuzini ili iweje . Yani kuzini nizini mm nyie mnichape viboko kwan nyie ndo MUNGU🤔 mwanadamu huruhusiwi kumwadhibu mwanadamu mwenzàko Wala kumuhukumu✍️ mwenye haki ya kuhukumu ni mwenye enzi MUNGU mana hakuna kiumbe kinachoitwa mwanadamu ni kikamilifu wote ni wadhaifu aliye mkamilifu ndo anapaswa kutoa adhabu
Hii ni movie,ni acting tu,sio tukio la kweli.Hao ni waigizaji,kama unavyoona wanaogiza movie,za kichawi,kishetani,kuuana,kupigana,kukatana mapanga.Ukitizama movie za Kijapani wakipigana Kung fu au za Kituruki wakipigana,asiye na akili atajua ni kweli.Hizo ni acting tu(ni maigizo)Swali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini
Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
Wajinga ni wengi duniani,utapatq,tabu kuwaafahamisha.Mbona haihitaji nguvu yoyote kuelewa kuwa hapo ni shuleni... Mara ngapi shule zetu kibongobongo mtu anafanyiwa mambo kama hayo au zaidi ya hayo... Je mmewahi kuhusisha na dini?
Halafu kwanini kila utumbo unaoletwaga kuhusu kuuzushia uislamu watu wanakimbilia kuporomosha matusi hata wakielekezwa kuwa uislamu haufundishi hivyo? Je mna nia ya kujifunza kweli au nyote ni mkumbo mmoja na mleta mada, jiwe angavu, na company yao?
Hao wanaomchapa hawazini????Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
HUwez igiza vitu ambavyo havipo.Hii ni movie,ni acting tu,sio tukio la kweli.Hao ni waigizaji,kama unavyoona wanaogiza movie,za kichawi,kishetani,kuuana,kupigana,kukatana mapanga.Ukitizama movie za Kijapani wakipigana Kung fu au za Kituruki wakipigana,asiye na akili atajua ni kweli.Hizo ni acting tu(ni maigizo)
Hakuna shule yabkawaida popote inapiga mwanafunzi namna hiyo. Sheria ni kuchapa matako au kiganjani.Mbona haihitaji nguvu yoyote kuelewa kuwa hapo ni shuleni... Mara ngapi shule zetu kibongobongo mtu anafanyiwa mambo kama hayo au zaidi ya hayo... Je mmewahi kuhusisha na dini?
Halafu kwanini kila utumbo unaoletwaga kuhusu kuuzushia uislamu watu wanakimbilia kuporomosha matusi hata wakielekezwa kuwa uislamu haufundishi hivyo? Je mna nia ya kujifunza kweli au nyote ni mkumbo mmoja na mleta mada, jiwe angavu, na company yao?
Inashangaza sanaHerba
Mtu akizini anakuathiri vipi wewe? Na mtu akikuibia anakuathiri vipi au anaathiri vipi mtu aliyeibiwa?
Kwamba huyo wanayemuabudu anawafundisha ukatili kwa wanadamu wengine.Swali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini
Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?