Wanaume wanne wamcharaza mwanamke viboko kisa dini

Wanaume wanne wamcharaza mwanamke viboko kisa dini

Status
Not open for further replies.
Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Huyo aliyezini naye yupo wapi hapo!?
 
Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Mbona hatujaona mwanaume akipigwa hizo bakora, mnapigaje mtu mzima eti kazini kwa nini asielezwe madhara ya kuzini kuliko kumchapa! Huwezi kulinganisha kuua na kuzini mkuu!! Mwizi ni mwizi na wanaomua wanajichukulia sheria mikononi na wakibainika wanakamatwa! Lakini hapo wewe umekiri kuwa ni sheroa za dini za kiislam, kama kweli dini ndo inasema hivyo basi hiyo sio dini
 
Jf siku hizi imejaa wapuuzi na upuuzi ndio maana watu wanaikacha , watu jambo hawachunguzi wanaleta habari kishabiki halafu wapuuzi wengine wanakuja kushadadia na kusapoti. Maswali muhimu ;

1. Jambo akifanya Muislamu au Mkiristo ni lazima iwe kwa ajili ya dini au dini yake ndivyo inavyosema ? kama ndio basi niruhusuni nitume clip zaidi ya 100 za ujinga wenu pamoja na ukatili Kisha mutoe hitimisho wenyewe kuwa ni Wajinga na Wakatili.

2. Kuna ushahidi gani kuwa wamefanya hivyo kwa ajili ya dini au kisa wamevaa hayo mavazi tu ?

3. Je unauhakika na Elimu na wafanyaji wa kitendo hiko kwenye dini ?

Hiyo dini imekua kero duniani, halafu Ina maagizo ya kishetani na kigaidi, hebu soma hizi aya

Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Mara nyingi mitandaoni huwa tunaletewa tukio lisilo na maelezo ya kutosha kisha kila mtu anasema lake.

Labda waislamu wenyewe tuwafahamishe, katika uislamu hakuna adhabu ya hivyo ya mtu kutandikwa hovyo na watu wanne kwa pamoja.
Hata adhabu ya viboko kwa mzinifu ni viboko miamoja na haipigwi kwa staili hiyo.

Uislamu sio dini ya hovyo kama wengi mnavyotaka iwe, kuwa kila jambo baya mnaliegemeza katika uislamu.

Uislamu kuna maagizo machafu zaidi kuliko hilo la viboko, hebu ona hii
Hao wenye roho nzuri kwa Wakristo sio waislamu kamili na hawataionja pepo, ukipata quran fungua hizi aya
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Hii ni movie,ni acting tu,sio tukio la kweli.Hao ni waigizaji,kama unavyoona wanaogiza movie,za kichawi,kishetani,kuuana,kupigana,kukatana mapanga.Ukitizama movie za Kijapani wakipigana Kung fu au za Kituruki wakipigana,asiye na akili atajua ni kweli.Hizo ni acting tu(ni maigizo)

Kwa hiyo haya maagizo machafu hapa ni movie
Hao wenye roho nzuri kwa Wakristo sio waislamu kamili na hawataionja pepo, ukipata quran fungua hizi aya
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Ndio maana ni kosa kumuua mwizi

Hakuna sheria inayoruhusu hivyo ni watu wanavunja sheria
 
Hao ni wajinga wa Nigeria huko.
Wakati mwingine naona mpaka aibu kua muislamu. Maana ukiangalia waislamu wenyewe, dah!
Si ndio utawala wa Sharia unavyotaka?
Mnaolilia uwe mwongozo wenu wa Maisha.
Ukimchapa viboko mzinzi ndio mnaiondoa dhambi yake yote anabaki mchamungu safi.

Na hao wanaochapa ni watakatifu tu.
Watu safi kabisa.
 
Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Amezini bila mwanaume?
 
Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Ha ha haaa. Sasa kwanini huyo asipelekwe kituo cha polisi kama amedanya jinai? Yaani mtu/ binti anapigwa mbele ya watoto wengine kisa eti katumia mwili wake halafu mnafananisha na mwizi aliyeiba mali watu na kuisababishia jamii hasara? Ficha upumbavu wako siku nyingine. Kwani hicho alichokitumia ni chakwake au kaibia mtu?
 
Hiyo dini imekua kero duniani, halafu Ina maagizo ya kishetani na kigaidi, hebu soma hizi aya

Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
HApa naziona series za azam tv saa 4, maigizo ni infidels (wazushi) wenye alama ya msalaba ni mwendo wa kuwaua.
 
Swali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini

Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
Hawa watu ni wanyama wasiostahili kuishi miongoni mwa bindamu. Ishukuriwe Israel kwa kuwaondoa duniani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom