Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
š¤£atakocho kujibu utasikia mashalaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£atakocho kujibu utasikia mashalaaaaa
Kama namuona vile Muislam anayesoma hii koment yako huku kaikunja sura utazani kalamba NdimuMnakosea sana mnaposema "dini" wakati ni mila za kiarabu tu hizo tena ni waarabu wa kale kabisa.
Huwezi kukuta upumbavu kama huo katika nchi zilizo staraabika kama Misri, UAE, Tunisia, Algeria, Morocco, Kuwait, Saudi Arabia ya sasa wala hata Lebanon na Syria labda kwa wajinga kama Yemen, Pakistan, Afghanistan, Sudan na Iran ambao bado wanaabudu utamaduni wa kale wa kiarabu.
Katika nchi kama Tanzania hata kwenye maeneo yenye waislamu wengi mkifanya uwendawazimu kama huo wananchi hawatawapa hata fursa ya kupelekwa mahakamani bali watawagawana vipande na hadi polisi wanafika watakutana na viungo vyenu vikiwa vimesambazwa barabarani.
Dunia ya sasa iliyostaarabika haiwezi kukubali upumbavu kama huo ukifanywa kwa kisingizio eti cha dini, hakuna dini ya kipumbavu kama hiyo.
Unaanzaje kutofautisha kati ya mila na dini,sisi ni wazee wa mapokeo-ukweli ni kuwa hizo ni dini za waarabu na wazungu ni mila na destri zao.Mnakosea sana mnaposema "dini" wakati ni mila za kiarabu tu hizo tena ni waarabu wa kale kabisa.
Huwezi kukuta upumbavu kama huo katika nchi zilizo staraabika kama Misri, UAE, Tunisia, Algeria, Morocco, Kuwait, Saudi Arabia ya sasa wala hata Lebanon na Syria labda kwa wajinga kama Yemen, Pakistan, Afghanistan, Sudan na Iran ambao bado wanaabudu utamaduni wa kale wa kiarabu.
Katika nchi kama Tanzania hata kwenye maeneo yenye waislamu wengi mkifanya uwendawazimu kama huo wananchi hawatawapa hata fursa ya kupelekwa mahakamani bali watawagawana vipande na hadi polisi wanafika watakutana na viungo vyenu vikiwa vimesambazwa barabarani.
Dunia ya sasa iliyostaarabika haiwezi kukubali upumbavu kama huo ukifanywa kwa kisingizio eti cha dini, hakuna dini ya kipumbavu kama hiyo.
mleta mada utaacha lini kuteseka na uislamu?
HApa naziona series za azam tv saa 4, maigizo ni infidels (wazushi) wenye alama ya msalaba ni mwendo wa kuwaua.
Swali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini
View: https://x.com/salwan_momika1/status/1798559205785522251?s=46
Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
Huyo salwan momika ni chozi tu kama wewe na wameshamfukuza huko sweden kwa akili zake za chuki , huwezi kuzuia uislamu kuenea duniani hata huko ulaya wameshaukubali propaganda za kuuchafua zimefeliSwali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini
Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
Huyo salwan momika ni chozi tu kama wewe na wameshamfukuza huko sweden kwa akili zake za chuki , huwezi kuzuia uislamu kuenea duniani hata huko ulaya wameshaukubali propaganda za kuuchafua zimefeli
Ni ujinga uliopitiliza pamoja na ushamba. Ndio maana Karl Marx alisema dini ni kwa ajili ya wajinga wasiojitambua.FaizaFoxy unalizungumziaje hili
Islam is not invading any countryā¦. Ismail ipo kila nchiSwali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini
Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
Mungu na haki siku zote vitashinda, maji na mafuta yatajitenga tu eventuallyHakuna binadamu mwenye uwezo wa kuzuia uislamu na ushetani wenu maana mpaka leo hii shetani anazo nguvu hadi siku za mwisho ndio mtashindwa, ila kwa sasa mtaendelea kutesa dunia maana mlishatabiriwa na hata mumeandikiwa haya maushetani kabisa kwenye dini yenu ambapo mumeagizwa kukata vichwa wote wasioamini katika huo ushetani wenu.
āTerrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran ā 8.12ā
Huo sio uislam,uislam ni usafi usiopatikana Kwa kuwahukum wengine!!!
Kuna tatizo la mafunzo Kwa wahusika!