Wanaume wanne wamcharaza mwanamke viboko kisa dini

Wanaume wanne wamcharaza mwanamke viboko kisa dini

Status
Not open for further replies.
Mnakosea sana mnaposema "dini" wakati ni mila za kiarabu tu hizo tena ni waarabu wa kale kabisa.

Huwezi kukuta upumbavu kama huo katika nchi zilizo staraabika kama Misri, UAE, Tunisia, Algeria, Morocco, Kuwait, Saudi Arabia ya sasa wala hata Lebanon na Syria labda kwa wajinga kama Yemen, Pakistan, Afghanistan, Sudan na Iran ambao bado wanaabudu utamaduni wa kale wa kiarabu.

Katika nchi kama Tanzania hata kwenye maeneo yenye waislamu wengi mkifanya uwendawazimu kama huo wananchi hawatawapa hata fursa ya kupelekwa mahakamani bali watawagawana vipande na hadi polisi wanafika watakutana na viungo vyenu vikiwa vimesambazwa barabarani.

Dunia ya sasa iliyostaarabika haiwezi kukubali upumbavu kama huo ukifanywa kwa kisingizio eti cha dini, hakuna dini ya kipumbavu kama hiyo.
Kama namuona vile Muislam anayesoma hii koment yako huku kaikunja sura utazani kalamba Ndimu
 
Mnakosea sana mnaposema "dini" wakati ni mila za kiarabu tu hizo tena ni waarabu wa kale kabisa.

Huwezi kukuta upumbavu kama huo katika nchi zilizo staraabika kama Misri, UAE, Tunisia, Algeria, Morocco, Kuwait, Saudi Arabia ya sasa wala hata Lebanon na Syria labda kwa wajinga kama Yemen, Pakistan, Afghanistan, Sudan na Iran ambao bado wanaabudu utamaduni wa kale wa kiarabu.

Katika nchi kama Tanzania hata kwenye maeneo yenye waislamu wengi mkifanya uwendawazimu kama huo wananchi hawatawapa hata fursa ya kupelekwa mahakamani bali watawagawana vipande na hadi polisi wanafika watakutana na viungo vyenu vikiwa vimesambazwa barabarani.

Dunia ya sasa iliyostaarabika haiwezi kukubali upumbavu kama huo ukifanywa kwa kisingizio eti cha dini, hakuna dini ya kipumbavu kama hiyo.
Unaanzaje kutofautisha kati ya mila na dini,sisi ni wazee wa mapokeo-ukweli ni kuwa hizo ni dini za waarabu na wazungu ni mila na destri zao.
Kuna siku nilimwambia jamaa yangu kwamba ipo siku kanisa letu la Roman Catholic litahalalisha mashoga kufunga ndoa na sisi wavamia dini zao tutakuwa hatuna cha kufanya.

Leo hii Roma/Saud Arabia wanaweza kufanya amendments kwenye taratibu,sheria na kanuni zinazoongoza dini sisi kama Waafrika wafuata dini za watu tutasema nini kama wenye dini zao wataamua.
 
mleta mada utaacha lini kuteseka na uislamu?

Mumechinja wengine 38 maskini wanavijiji, nyie ni saratani dunia hii

 
HApa naziona series za azam tv saa 4, maigizo ni infidels (wazushi) wenye alama ya msalaba ni mwendo wa kuwaua.

Endeleeni na huu uchafu wa hiyo dini
 
Swali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini


View: https://x.com/salwan_momika1/status/1798559205785522251?s=46

Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj

Without fear of contradiction, islam as a religion, is satanic, Nina, ndugu wengi wa ki islam, na, nimelelewa, na, wa islam, na, nimeoa kwa wa islam, Ila dini, Yao, ukiingia deep, ina ushetani mwingi sana,
 
# ROCA FELLA

ZILE ENZI TANGU NABII IBRAHIM MPAKA TOURAT YA NABII MOUSSA BASI ILIKUWA KATIKA SHERIA KALI AMBAZO MOLA MLEZI ALIRUHUSU HILO MFANO MWANAMKE KUPIGWA AKIZINI, MWIZI AKATWE VIDOLE VYA KIGANJANI AKIIBA.

UJIO WA NABII AL MASIH ISSA IBN MARYAM BASI ALISHAURI HIVI VYOTE TUVIASHE YEYE ALIKUJA KUREKEBISHA TOURAT BALI HAKUJA KUTENGUA.
 
Swali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini

Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
Huyo salwan momika ni chozi tu kama wewe na wameshamfukuza huko sweden kwa akili zake za chuki , huwezi kuzuia uislamu kuenea duniani hata huko ulaya wameshaukubali propaganda za kuuchafua zimefeli
 

Attachments

  • Screenshot_20240609-080304_Chrome.jpg
    Screenshot_20240609-080304_Chrome.jpg
    458.6 KB · Views: 1
Ni ushenzi mtupu hapa hakuna mungu mpuuzi kiasi hiki. Hii dini ni kansa iliyoikumba dunia, MUNGU aiponye dunia na kansa hii. Heel the world almight GOD
 
The Religion of Piece.
Hivyo ndivyo mwanamke wa Kiislamu anavyopewa heshima kubwa kwanye nchi za Kiislamu.

Nashangaa yule mbibi maarufu anaye sifia Sharia hataki kwenda kuishi huko ili aheshimike inavyopasika.
 
Huyo salwan momika ni chozi tu kama wewe na wameshamfukuza huko sweden kwa akili zake za chuki , huwezi kuzuia uislamu kuenea duniani hata huko ulaya wameshaukubali propaganda za kuuchafua zimefeli

Hakuna binadamu mwenye uwezo wa kuzuia uislamu na ushetani wenu maana mpaka leo hii shetani anazo nguvu hadi siku za mwisho ndio mtashindwa, ila kwa sasa mtaendelea kutesa dunia maana mlishatabiriwa na hata mumeandikiwa haya maushetani kabisa kwenye dini yenu ambapo mumeagizwa kukata vichwa wote wasioamini katika huo ushetani wenu.

ā€œTerrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12ā€
 
Swali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini

Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
Islam is not invading any country…. Ismail ipo kila nchi

Wakristu hawana picha Kama hii?

Wale wachagga wa kule rombo hujaona video wanatandika waovu? Au kwasababu sio waislamu?
 
Hakuna binadamu mwenye uwezo wa kuzuia uislamu na ushetani wenu maana mpaka leo hii shetani anazo nguvu hadi siku za mwisho ndio mtashindwa, ila kwa sasa mtaendelea kutesa dunia maana mlishatabiriwa na hata mumeandikiwa haya maushetani kabisa kwenye dini yenu ambapo mumeagizwa kukata vichwa wote wasioamini katika huo ushetani wenu.

ā€œTerrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12ā€
Mungu na haki siku zote vitashinda, maji na mafuta yatajitenga tu eventually
wazungu wameshaujua ukweli , hawadanganyiki tena ndio maana wengi wanaingia kwenye uislamu,
Hivi unadanganywaje kuna mungu watatu? Kwa akili za kawaida kabisa mungu kashambuliwa na waisaraeli ambao wewe leo unawapenda ,alivyoshambuliwa na yeye mungu akaomba msaada kwa mungu
Does it make sense kweli ?
 
Hapo unasomewa tu surat al kadudu allah kasema ule sabini
Ata kama mtu avuta bangi hawezi kufanya hivyo.
 
Ishu sio Mungu wangapi, Wahindu wana miungu zaidi ya mia tatu lakini wanaishi vizuri na jamii nyingine.
Ulaya maandamano yashaanza kushinikiza Sharia Law. Mikeka inatandikwa barabarani ili kukidhi haki ya kuswali, yaani waswali wao tu na sio wengine.
Alah Akbar ni kama zote mitaani.
Leo Waislamu karibu kila wanapoishi duniani kote, nyumbani na ugenini ni maandano tu na kutaka kusimika tamaduni zao. La sivyo ni vurungu tupu.
Tamaduni zenyewe ndio hizo tena.
Ishu ni kuishi vizuri na wanao tuzunguka na sio mambo ya kufikirika.
Kwangu mimi ukisema eti Allah ameagiza hivi na hivi mimi siwezi kukuelewa.
Ni bora kuishi na watu wenye miungu mia tatu kuliko nyie mamjamaa na hasa mkiwa wengi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom