Huyo aliyezini naye yupo wapi hapo!?Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Mbona hatujaona mwanaume akipigwa hizo bakora, mnapigaje mtu mzima eti kazini kwa nini asielezwe madhara ya kuzini kuliko kumchapa! Huwezi kulinganisha kuua na kuzini mkuu!! Mwizi ni mwizi na wanaomua wanajichukulia sheria mikononi na wakibainika wanakamatwa! Lakini hapo wewe umekiri kuwa ni sheroa za dini za kiislam, kama kweli dini ndo inasema hivyo basi hiyo sio diniKatika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Jf siku hizi imejaa wapuuzi na upuuzi ndio maana watu wanaikacha , watu jambo hawachunguzi wanaleta habari kishabiki halafu wapuuzi wengine wanakuja kushadadia na kusapoti. Maswali muhimu ;
1. Jambo akifanya Muislamu au Mkiristo ni lazima iwe kwa ajili ya dini au dini yake ndivyo inavyosema ? kama ndio basi niruhusuni nitume clip zaidi ya 100 za ujinga wenu pamoja na ukatili Kisha mutoe hitimisho wenyewe kuwa ni Wajinga na Wakatili.
2. Kuna ushahidi gani kuwa wamefanya hivyo kwa ajili ya dini au kisa wamevaa hayo mavazi tu ?
3. Je unauhakika na Elimu na wafanyaji wa kitendo hiko kwenye dini ?
Mara nyingi mitandaoni huwa tunaletewa tukio lisilo na maelezo ya kutosha kisha kila mtu anasema lake.
Labda waislamu wenyewe tuwafahamishe, katika uislamu hakuna adhabu ya hivyo ya mtu kutandikwa hovyo na watu wanne kwa pamoja.
Hata adhabu ya viboko kwa mzinifu ni viboko miamoja na haipigwi kwa staili hiyo.
Uislamu sio dini ya hovyo kama wengi mnavyotaka iwe, kuwa kila jambo baya mnaliegemeza katika uislamu.
Hii ni movie,ni acting tu,sio tukio la kweli.Hao ni waigizaji,kama unavyoona wanaogiza movie,za kichawi,kishetani,kuuana,kupigana,kukatana mapanga.Ukitizama movie za Kijapani wakipigana Kung fu au za Kituruki wakipigana,asiye na akili atajua ni kweli.Hizo ni acting tu(ni maigizo)
Ndio maana ni kosa kumuua mwiziKatika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Si ndio utawala wa Sharia unavyotaka?Hao ni wajinga wa Nigeria huko.
Wakati mwingine naona mpaka aibu kua muislamu. Maana ukiangalia waislamu wenyewe, dah!
atakocho kujibu utasikia mashalaaaaaFaizaFoxy unalizungumziaje hili
Amezini bila mwanaume?Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Ha ha haaa. Sasa kwanini huyo asipelekwe kituo cha polisi kama amedanya jinai? Yaani mtu/ binti anapigwa mbele ya watoto wengine kisa eti katumia mwili wake halafu mnafananisha na mwizi aliyeiba mali watu na kuisababishia jamii hasara? Ficha upumbavu wako siku nyingine. Kwani hicho alichokitumia ni chakwake au kaibia mtu?Katika nchi zinazo fuata sheria ya dini ya Kiislam amepigwa huyo bakora kwa sababu ya kosa la zinaa amezini huyo. Kama hapo kwetu bongo tunauwa mwizi je tunafuata sheria gani? sheria ya nchi yetu ya Tanzania inaruhusu mwizi kuuliwa? au mwizi kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi?
Swali zuri sana.👍🙏🏼Hao wanaomchapa hawazini????
Labda na Dodoki.Amezini bila mwanaume?
Unyama huu haukubalikiSwali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini
View: https://x.com/salwan_momika1/status/1798559205785522251?s=46
Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj
HApa naziona series za azam tv saa 4, maigizo ni infidels (wazushi) wenye alama ya msalaba ni mwendo wa kuwaua.Hiyo dini imekua kero duniani, halafu Ina maagizo ya kishetani na kigaidi, hebu soma hizi aya
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Hahaa, good!! Hata shetani anajivunia kuwa shetanI'm the proud to be the Muslim.
Faizafoxy anayakubali sana haya mambo!FaizaFoxy unalizungumziaje hili
Hawa watu ni wanyama wasiostahili kuishi miongoni mwa bindamu. Ishukuriwe Israel kwa kuwaondoa duniani!Swali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye.
Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa dini
Hizi laana zitakuja kuwatafuna brazaj