Wanaume wapelekeeni moto sawa sawa wake zenu ili wasitoke nje ovyo!

Wanaume wapelekeeni moto sawa sawa wake zenu ili wasitoke nje ovyo!

IMG_8085.jpg

Afu wew
 
Unam.tom.ba mkeo kibishoo? Shauri yako..! Tutafute pesa lakini tusisahau pia kuwakojoza.
 
Kama ni muhimu sana kwako pambana, pelekea moto haswa. Kila mtu afanye lililo na umuhimu kwake.

Unajua, hapa tunapoongea kuna mchakataji anachakata mke wa mwanajeshi anayelinda mipaka, daktari anayeokoa maisha, mwanasayansi anayebuni teknolojia mpya n.k

Hawa wote wakiacha wanayoyafanya au kupunguza ufanisi ili wachakate vizuri wake zao, binadamu tutakuwa kama mbwa tu.

Binafsi naamini ni sahihi Kila mtu apambanie lililo la muhimu kwake. Mridhishaji wa wanawake apambane sana kwa kuchakata style zote ili wanawake wa dunia hii waridhike na mwenye vipaumbele vingine avipambanie hivyo vipaumbele.

Katika maisha, huwezi kutumia muda wako kuhudumia mwili wa mwanamke hapo hapo ukawa vizuri kwenye mambo mengine, lazima kuna moja utalifanya kawaida na jingine utalifanya kwa ufanisi.

SASA KAMA DAKTARI KAAMUA KUOKOA MAISHA MWEZI MZIMA BADALA YA KUMBADILI MKE WAKE STYLE YUPO SAHIHI SANA, NA YULE ATAKAYEONA NI SAHIHI KUTUMIA HUO MWANYA KUMFUNDISHA MKE WA DAKTARI STYLE MPYA NI MAAMUZI PIA, KILA BINADAMU NA ATUMIE ZAWADI YA MAISHA KWA NAMNA INAYOMPENDEZA SABABU HATUJUI NN KIPO PUMZI IKIKATA NA MUDA NI MFUPI KWELI.
Nimeishia kucheka.

Ila umeongea fact tupu mdau..
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Umeongea HEWA jamaa yangu. Mwanamke kiumbe mwingine kabisa. Unaweza ukawa unampelekea moto saaaana. Yeye hayupo hapo,anamuwaza Yusuph wa kimoja tu cha mahaba. Kwa Yusuph kile kimoja tu kinamkojoza mara 2,mpaka 3 kabla ya Yusuph kumaliza. Mapenzi ni feelings zaidi,utabaki na moto wako.
Haya mambo hata maprofesar wameyashindwa kuyapatia majibu. Ni MUNGU anajua nini kipo
 
Nimeishia kucheka.

Ila umeongea fact tupu mdau..
Boss jamii ambayo kila mwanaume kipaumbele ni kumridhisha mke wake inafananaje? Umepata kifafa unawaishwa hosp daktari mkuu anakutibu huku kipaumbele kikiwa ni amalize haraka akamridhishe mkewe.
 
waulize wanawake wenyewe, hicho kitu hakuna mwanamke anayeweza kutosheka na mume wake pekee..Hapa ndipo penye lile fumbo la kuvumiliana wakati wa shida hiyo 😡 . Waastarabu wanaelewa na huwezi kuwakuta wanahangaika na wanaume wasio wakwao, ila wale wengine wenye hiyo tabia ya kutotulia utawaona wanavyopapalika na wanaume wasio wakwao. Hiyo ni tabia mbona, mimi nakaa hata miaka 2bila kufanya na haina maana kwamba siwaki tamaa ya kufanya..la hasha "navumilia tu" kama ule wimbo wa kwaya ya makuburi😛😛😛😛
 
me nafkiri hii sanaa ya mapenzi inafahamika !. hakuna aliyesalama kuanzia rais,mwanajesh,mwalimu,butcherman,bodaboda nk. ikiwa boda anakula mke wa mtu je mke wa boda analiwa na nani? au haliwi? kwahio badala ya kutafta afadhali isiyokuwepo ni vema tukaegemea kwen kanuni yetu ya cku zote kwamba : mwanamke anaecheat aachwe mara moja bila msamaha kwani kanuni ya kucheat inasema : once once ! once forever.
 
Kwa mwanaume inawezekana kuchepuka hata kama anampenda mke wake, ila kwa wanawake ni tofauti, na kwa sababu wanaume tunaona kuchepuka ni swala la kawaida basi tunaamini ni ngumu kuwa na mke asiyechepuka, lakini ukweli ni kwamba wanawake wanaochepuka ni wachache sana.
 
Unakuta kila siku mtindo ule ule tu ya Adamu, mende au ya mbuzi kagoma. Unakuta mwanamke anazoea sasa akikutana na vitu huko nje na wenzake na umbeya wa kwenye vikoba na vigodoro basi anaamua kwenda kujaribu.

Na wanaume mnatoka kazini na msongo wa mawazo na uchovu mmechoka unalala hoi, au unapiga kimoja tu chali. Kule unafikiri mwenzako anajifikiriaje? Lazima akiamka asubuhi amfikirie jamaa akampe kidogo cha kuondoa uchovu ule muda akienda sokoni.

Hawa wamama wanapambana na majaribu mengi huko na kama unavyojua mwanamke ni dhaifu. Sokoni kuna wauza bucha, nyama za nyongeza atapewa utumbo, njiani mabodaboda kuitwa itwa, lifti za bure anatunza buku ya kupeleka kwenye kikoba unakuta wanashawishika.

Sasa kama unarudi nyumbani halafu huna unachofanya eti kisa mke wangu nimemuoa, shauri yako! Kuna mijabali nje huko itakupigia halafu mtuletee nyuzi za kufumaniana na kupigana na vitu vyenye ncha kali.

Mi nimewaza tu kidogo tusaidiane kupunguza haya matatizo ambayo kila kukicha yanaongezeka.. Badilisheni kidogo mazingira ya ndani, tatizo mkishaoa tu basi mnajua mmefika, unajua mwanamke ni wako peke yako!

Nani kakwambia kuwa ni wako? Mwanamke huwa hasemi kama haridhiki kutokana na aibu, sasa wewe unaona kichwa tu kumburuza hivyo hivyo. Najua tozo zinaumiza na maisha magumu, kupanda kwa vitu bei, shule Januari ndiyo inakaribia, lakini tujitahidi sasa tutafanyaje yote hayo tunatakiwa tuyakabili.

Ongezeeni mengine, mambo mengi muda mchache.
Kama wewe huo mzigo unautaka ubebe, ila kujichosha kwa mtu asiyeridhika ni udhaifu. Wewe nani kakwambia utakula ngono, kama ndoa ni kujiumiza kiasi cha kutojithamini basi kuoa sio lazima, maana kila kitu kwa kiasi. Everyone has extremes in his/her life ila unazicontrol ukijiona huwezi achana na kuishi na mwenzako.
 
Kufungua kituo kipya kwenye kituo Cha zamani kazi Sana.
Naamini Kuchezeana akili ndio sababu hatueleweki + tunahanja kusaka kila uchi....untill akili ikubali ( Master ) mwili ( slave) utatulia..... Mwili haujui chochote Wala unapoelekea.
#KATAA NYEGE😎
 
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu unaweza mfanyia yote hayo na akatoka tu njee hivyo kuwa na moyo jiwe tu
 
Unakuta kila siku mtindo ule ule tu ya Adamu, mende au ya mbuzi kagoma. Unakuta mwanamke anazoea sasa akikutana na vitu huko nje na wenzake na umbeya wa kwenye vikoba na vigodoro basi anaamua kwenda kujaribu.

Na wanaume mnatoka kazini na msongo wa mawazo na uchovu mmechoka unalala hoi, au unapiga kimoja tu chali. Kule unafikiri mwenzako anajifikiriaje? Lazima akiamka asubuhi amfikirie jamaa akampe kidogo cha kuondoa uchovu ule muda akienda sokoni.

Hawa wamama wanapambana na majaribu mengi huko na kama unavyojua mwanamke ni dhaifu. Sokoni kuna wauza bucha, nyama za nyongeza atapewa utumbo, njiani mabodaboda kuitwa itwa, lifti za bure anatunza buku ya kupeleka kwenye kikoba unakuta wanashawishika.

Sasa kama unarudi nyumbani halafu huna unachofanya eti kisa mke wangu nimemuoa, shauri yako! Kuna mijabali nje huko itakupigia halafu mtuletee nyuzi za kufumaniana na kupigana na vitu vyenye ncha kali.

Mi nimewaza tu kidogo tusaidiane kupunguza haya matatizo ambayo kila kukicha yanaongezeka.. Badilisheni kidogo mazingira ya ndani, tatizo mkishaoa tu basi mnajua mmefika, unajua mwanamke ni wako peke yako!

Nani kakwambia kuwa ni wako? Mwanamke huwa hasemi kama haridhiki kutokana na aibu, sasa wewe unaona kichwa tu kumburuza hivyo hivyo. Najua tozo zinaumiza na maisha magumu, kupanda kwa vitu bei, shule Januari ndiyo inakaribia, lakini tujitahidi sasa tutafanyaje yote hayo tunatakiwa tuyakabili.

Ongezeeni mengine, mambo mengi muda mchache.
Wewe pia upelekewe moto
 
Kama ni muhimu sana kwako pambana, pelekea moto haswa. Kila mtu afanye lililo na umuhimu kwake.

Unajua, hapa tunapoongea kuna mchakataji anachakata mke wa mwanajeshi anayelinda mipaka, daktari anayeokoa maisha, mwanasayansi anayebuni teknolojia mpya n.k

Hawa wote wakiacha wanayoyafanya au kupunguza ufanisi ili wachakate vizuri wake zao, binadamu tutakuwa kama mbwa tu.

Binafsi naamini ni sahihi Kila mtu apambanie lililo la muhimu kwake. Mridhishaji wa wanawake apambane sana kwa kuchakata style zote ili wanawake wa dunia hii waridhike na mwenye vipaumbele vingine avipambanie hivyo vipaumbele.

Katika maisha, huwezi kutumia muda wako kuhudumia mwili wa mwanamke hapo hapo ukawa vizuri kwenye mambo mengine, lazima kuna moja utalifanya kawaida na jingine utalifanya kwa ufanisi.

SASA KAMA DAKTARI KAAMUA KUOKOA MAISHA MWEZI MZIMA BADALA YA KUMBADILI MKE WAKE STYLE YUPO SAHIHI SANA, NA YULE ATAKAYEONA NI SAHIHI KUTUMIA HUO MWANYA KUMFUNDISHA MKE WA DAKTARI STYLE MPYA NI MAAMUZI PIA, KILA BINADAMU NA ATUMIE ZAWADI YA MAISHA KWA NAMNA INAYOMPENDEZA SABABU HATUJUI NN KIPO PUMZI IKIKATA NA MUDA NI MFUPI KWELI.
Hili andiko lijengewe jumba la makumbusho!
 
Kama ni muhimu sana kwako pambana, pelekea moto haswa. Kila mtu afanye lililo na umuhimu kwake.

Unajua, hapa tunapoongea kuna mchakataji anachakata mke wa mwanajeshi anayelinda mipaka, daktari anayeokoa maisha, mwanasayansi anayebuni teknolojia mpya n.k

Hawa wote wakiacha wanayoyafanya au kupunguza ufanisi ili wachakate vizuri wake zao, binadamu tutakuwa kama mbwa tu.

Binafsi naamini ni sahihi Kila mtu apambanie lililo la muhimu kwake. Mridhishaji wa wanawake apambane sana kwa kuchakata style zote ili wanawake wa dunia hii waridhike na mwenye vipaumbele vingine avipambanie hivyo vipaumbele.

Katika maisha, huwezi kutumia muda wako kuhudumia mwili wa mwanamke hapo hapo ukawa vizuri kwenye mambo mengine, lazima kuna moja utalifanya kawaida na jingine utalifanya kwa ufanisi.

SASA KAMA DAKTARI KAAMUA KUOKOA MAISHA MWEZI MZIMA BADALA YA KUMBADILI MKE WAKE STYLE YUPO SAHIHI SANA, NA YULE ATAKAYEONA NI SAHIHI KUTUMIA HUO MWANYA KUMFUNDISHA MKE WA DAKTARI STYLE MPYA NI MAAMUZI PIA, KILA BINADAMU NA ATUMIE ZAWADI YA MAISHA KWA NAMNA INAYOMPENDEZA SABABU HATUJUI NN KIPO PUMZI IKIKATA NA MUDA NI MFUPI KWELI.
Na naomba kuongezea hapa. Jukumu la mke ni msaidizi wa mume. Wote mnakuwa na kuelekea kwenye destiny ile Mungu aliowapangia. Na pia mke anawekwa na Mungu kuhakikisha yule mwanaume anatimiza kusudi la yeye kuwapo duniani.

Ndo maana uasherati na uzinzi sio mzuri kwa sabbu...kila mwanamke aliepangiwa na mbingu kuolewa ..yale maungo yaliwekwa kwa ajili ya mwanaume mmoja. Lakin kwa sabbu za kiufundi unakuta alishaanza kipind ana miaka 17. Unakuta kaolewa na daktari, mwanajeshi na mume yuko busy kwelikweli. Kama hana hofu ya Mungu..hatajali kusudi la kusimama katika nafasi yake kama mke..bali atakitembeza nje bila wasiwasi akijidai.."mume wangu yuko busy sana haniridhishi"...so what happens anatoka kwenye reli...je atasimamiaje kusudi la kuwepo kwake kwenye hiyo familia??? Jibu ni nehii...she is off. Ndo hapa inapelekea familia kuharibika.

Nilimuuliza mmama mmoja kuhusu mambo ya modern marriages..akaniambia..if a woman anataka asucceed kwenye ndoa basi ajue kusudi la kuwepo kwake katika hiyo familia. If you are chosen by the heavens to be a doctors wife..Mungu anataka ualign na his dream and visions. Utakuwa msaidizi na kumsupport katika kazi au utumishi wake. Its his calling. Lakini ukitaka kujilinganisha na a businessman's wife ili muwe treated equally... Utafeli mapema. You have your path..live in your path. Merci!!
 
Back
Top Bottom