Wanaume wazuri (handsome) wahuni sana hawajatulia

Wanaume wazuri (handsome) wahuni sana hawajatulia

Pole mama la mama kwa yaliyo kukuta, mi mwenyewe Sura ngumu na nilikuwa na mke rangi ya mtume saafi na mrembo ila mwisho wa siku nimeamua kukimbia na kumuachia mji, kwahiyo hayo mambo yapo pande zote vumilia tu.
 
Ukimkuta alieutilulia Basi Kuna mojawapo,baadhi au yote kwa mkupuo
1. Hana Ela
2. Hana Nguvu za kiume
3. Shoga
4. Stress za maisha
Ulijuaje mmoja kati yao alikuwa gay sijui mda wote ukiwa nae ndan ana lamba lipsa 😂😂😂
 
Wanaume ma HB hamjatulia hata kidogo yaani na sasa hivi ndio mmejaa sana

Mnaringa then mnataka kila mtu mulale nae pu

Bora nitafute mwenye sura personal sura ngumu hanogi kwa chumvi wala sukari

Ninyi nimewaachia watoto

Una miaka mingapi mrembo? Maana kuna umri wa kuwaza wanaume HB.
 
Wanaume ma HB hamjatulia hata kidogo yaani na sasa hivi ndio mmejaa sana

Mnaringa then mnataka kila mtu mulale nae pu

Bora nitafute mwenye sura personal sura ngumu hanogi kwa chumvi wala sukari

Ninyi nimewaachia watoto
Badilika dada,siku hizi mwanaume hapimwinkwa sura nzuri aliyonayo,au mtanashati alionao,siku hizi kinaangaliwa pochi,pesa ina matter mjuba,hata mtu uwe na sura kama iddi amini utaoa toto la kwenda ukiwa na fuba,mwanaume mnzuri ni pesa dada,labda ujui hao mandsome unawaona wewe hawana nguvu za kiume wengi wao wa bovu,tafuta dume lenye sura mbaya likupelekee moto na kuhakikishia hao unawaona wanzuri utawapenda tena
 
Badilika dada,siku hizi mwanaume hapimwinkwa sura nzuri aliyonayo,au mtanashati alionao,siku hizi kinaangaliwa pochi,pesa ina matter mjuba,hata mtu uwe na sura kama iddi amini utaoa toto la kwenda ukiwa na fuba,mwanaume mnzuri ni pesa dada,labda ujui hao mandsome unawaona wewe hawana nguvu za kiume wengi wao wa bovu,tafuta dume lenye sura mbaya likupelekee moto na kuhakikishia hao unawaona wanzuri utawapenda tena
Mwanaume haangaliwi kipato tu aisee kutolewa sio kukurupuka ndugu kama hujui .

Kuoa Kwa mwanaume au kuolewa Kwa mwanaume ni tija sana .


Sioo jambo lakuchukulia mzaha so ninachookuambia ni hivi ukitaka kuoa sio kupendwa na kujaliwa tu hapana .


Ndio maana wanaojielewa wa Sasa wengi wapo single.
Pole zake wanaangalia sura
 
Mwanaume haangaliwi kipato tu aisee kutolewa sio kukurupuka ndugu kama hujui .

Kuoa Kwa mwanaume au kuolewa Kwa mwanaume ni tija sana .


Sioo jambo lakuchukulia mzaha so ninachookuambia ni hivi ukitaka kuoa sio kupendwa na kujaliwa tu hapana .


Ndio maana wanaojielewa wa Sasa wengi wapo single.
Pole zake wanaangalia sura
Wewe endelea kuangalia sura,sura hata mbuzi anayo,utakuja kuzeeka huna hata mtoto,alafu hezi kwa mwanamke inakomaa anapofikisha 40s ,endelea kuangalia hb sisi mabad boy tunapelekea moto na ela tunahongwa pia,wanawake siku hizi wanapenda mwanaume mwenye sura ya kazi,ili kupata ulinzi wanapokuwa matembezi,sisi hatulambi lips,wala hatupaki poda,tunatafuta pesa pia mashine tunapiga ukitaka kibabe au kipole,za kuinama au kuchuchuma zote tunagawa ni wewe tu
 
Kuna mchizi wangu ana sura ngumu saaana! Yani akicheka kama analia vile. Jamaa anauza mitumba na mademu wanamshobokea balaa halafu ni mcheshi mkipiga story mbili tatu lazima aweke na utani hivi.

Mademu wanaamini kutokana na kua na sura ngumu basi hawezi shobokewa na pisi kali ovyo ovyo. Matokeo yake anawapanga kama g nako yaaani ana walawala [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Tupe sample size ya wanaume ma HB uliodate nao ndo tuthibithishe hii habari yako.
 
Back
Top Bottom