Wanaume wazuri (handsome) wahuni sana hawajatulia

Wanaume wazuri (handsome) wahuni sana hawajatulia

Kuna mchizi wangu ana sura ngumu saaana! Yani akicheka kama analia vile. Jamaa anauza mitumba na mademu wanamshobokea balaa halafu ni mcheshi mkipiga story mbili tatu lazima aweke na utani hivi.

Mademu wanaamini kutokana na kua na sura ngumu basi hawezi shobokewa na pisi kali ovyo ovyo. Matokeo yake anawapanga kama g nako yaaani ana walawala [emoji38][emoji38][emoji38]
Aisee🤔
 
Alafu wanaume wenye sura ngumu wanakula mademu wakali kinoma, pisi za maana hata wewe mleta mada huwakuti kwa unzuri waliokuwa nao
 
Wewe endelea kuangalia sura,sura hata mbuzi anayo,utakuja kuzeeka huna hata mtoto,alafu hezi kwa mwanamke inakomaa anapofikisha 40s ,endelea kuangalia hb sisi mabad boy tunapelekea moto na ela tunahongwa pia,wanawake siku hizi wanapenda mwanaume mwenye sura ya kazi,ili kupata ulinzi wanapokuwa matembezi,sisi hatulambi lips,wala hatupaki poda,tunatafuta pesa pia mashine tunapiga ukitaka kibabe au kipole,za kuinama au kuchuchuma zote tunagawa ni wewe tu
Umenizima sijakuelewa mbona unaongea tofauti wapi nimetaja mahandsome unawaka
 
Wanaume ma HB hamjatulia hata kidogo yaani na sasa hivi ndio mmejaa sana

Mnaringa then mnataka kila mtu mulale nae pu

Bora nitafute mwenye sura personal sura ngumu hanogi kwa chumvi wala sukari

Ninyi nimewaachia watoto
Ndo umeshtuka saiv?
 
Wanaume ma HB hamjatulia hata kidogo yaani na sasa hivi ndio mmejaa sana

Mnaringa then mnataka kila mtu mulale nae pu

Bora nitafute mwenye sura personal sura ngumu hanogi kwa chumvi wala sukari

Ninyi nimewaachia watoto
Hela, HB, sura ngumu, mrefu, black.. Yaani taabu kweli hamsomeki
 
Tatizo sipendi mademu wa mtandaoni,maana unaweza kukutana na kituko cha ajabu,yani nyie make up zinawabeba ila mpo vibaya mnoo
Mimi sijawahi paka make up usoni mwaya nipo nilivyoo.

Siku za usoni utaona tu mwaya tumuombe Mungu atafungua njia amefungua sema hajaipalilia kutoa magugu na ametia magugu yote sema bado viuchafu chafu
 
Ulijuaje mmoja kati yao alikuwa gay sijui mda wote ukiwa nae ndan ana lamba lipsa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu mbna mashoga wenyewee hawaalambi lips,
 
Back
Top Bottom