Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Aisee🤔Kuna mchizi wangu ana sura ngumu saaana! Yani akicheka kama analia vile. Jamaa anauza mitumba na mademu wanamshobokea balaa halafu ni mcheshi mkipiga story mbili tatu lazima aweke na utani hivi.
Mademu wanaamini kutokana na kua na sura ngumu basi hawezi shobokewa na pisi kali ovyo ovyo. Matokeo yake anawapanga kama g nako yaaani ana walawala [emoji38][emoji38][emoji38]
😂😂😂😂Na tunawala kweli..mana mnajishobokesha sana.
#MaendeleoHayanaChama
😂😂😂Tusamehe bureeSasa mie nahusikaje humu kwenye huu Uzi johanna na Lenie mbona mnanitafuta??
Pole mama, hao majanki ndivyo walivyo, njoo tuyajenge
Punguza hasira "CUTE"Sasa mie nahusikaje humu kwenye huu Uzi johanna na Lenie mbona mnanitafuta??
Umenizima sijakuelewa mbona unaongea tofauti wapi nimetaja mahandsome unawakaWewe endelea kuangalia sura,sura hata mbuzi anayo,utakuja kuzeeka huna hata mtoto,alafu hezi kwa mwanamke inakomaa anapofikisha 40s ,endelea kuangalia hb sisi mabad boy tunapelekea moto na ela tunahongwa pia,wanawake siku hizi wanapenda mwanaume mwenye sura ya kazi,ili kupata ulinzi wanapokuwa matembezi,sisi hatulambi lips,wala hatupaki poda,tunatafuta pesa pia mashine tunapiga ukitaka kibabe au kipole,za kuinama au kuchuchuma zote tunagawa ni wewe tu
Tatizo sipendi mademu wa mtandaoni,maana unaweza kukutana na kituko cha ajabu,yani nyie make up zinawabeba ila mpo vibaya mnooUmenizima sijakuelewa mbona unaongea tofauti wapi nimetaja mahandsome unawaka
Ndo umeshtuka saiv?Wanaume ma HB hamjatulia hata kidogo yaani na sasa hivi ndio mmejaa sana
Mnaringa then mnataka kila mtu mulale nae pu
Bora nitafute mwenye sura personal sura ngumu hanogi kwa chumvi wala sukari
Ninyi nimewaachia watoto
Hela, HB, sura ngumu, mrefu, black.. Yaani taabu kweli hamsomekiWanaume ma HB hamjatulia hata kidogo yaani na sasa hivi ndio mmejaa sana
Mnaringa then mnataka kila mtu mulale nae pu
Bora nitafute mwenye sura personal sura ngumu hanogi kwa chumvi wala sukari
Ninyi nimewaachia watoto
Mimi sijawahi paka make up usoni mwaya nipo nilivyoo.Tatizo sipendi mademu wa mtandaoni,maana unaweza kukutana na kituko cha ajabu,yani nyie make up zinawabeba ila mpo vibaya mnoo
Watajua wenyewe ila mimi najua ukisema chichiman ndo noma kabisaBro, ukienda Jamaica ukajiita Chichi Boy utapata wakati mgumu sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu mbna mashoga wenyewee hawaalambi lips,Ulijuaje mmoja kati yao alikuwa gay sijui mda wote ukiwa nae ndan ana lamba lipsa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe mwanaume akiwa handsome automatic anakuwa furushi!
[emoji23][emoji23][emoji23]Njoo mama sifa unazotaka ninazo nina sura ngumu hadi najiogopa najiona kama mzimu wa ndoige
Venye umenichekeshawewe mwenye ni pisi kali au ndo wale sura ya baba miguu ya mama