Wanaume wengi hatuna Ukimwi

Wanaume wengi hatuna Ukimwi

1. Tunawazidi umri. Wewe una miaka 30 unaoa mwanamke mwenye 25 kawaida hapo wewe utaanza kufa mapema.
2. Tunawaza mambo mengi sana, namna ya kitafuta pesa, kazi, uwaze watoto mkeo n.k
3. Kazi zetu hizi, umeenda mkoa wa mbali unapambana jua lako na mvua. Mwanamke yupo ndani anaamka asubuhi anakunywa chai.
4. Hatupati muda wa kupumzika wa kutosha. Kuna jamaa hapa huwa anatoka saa 11 asubuhi anarudi saa 5 usiku kila siku. Mwanamke ana muda mwingi wa kupumzik
6. Kupiga nyau. Kula sambusa moja au andazi na kikombe kimoja cha chai kisha ukapige nyau. Kama haujazimia kwenye kifua cha mwanamke lkn mwanamke anakula andazi moja na chai na mzigo anatoa fresh tu.
Na bado wanadai haki sawa..😬
 
Ni jambo la kumshukuru Mungu kutuumba tulivyo maumbile yetu yanafanya tusipate maambukizi ya Ukimwi kirahisi.
Tofauti na mwanamke ukimkojolea tu shahawa anao.

Kwa hiyo kama wanaume wengi hawana ngoma, wanawake wanatoa ngoma wapi?
 
Ila kwenye majukumu wanakimbia.
Wewe jiulize tu, una mke mmoja na watoto 5 na hao wote wanakutegemea wewe kula, kuvaa, maradhi, ada n.k Suala la wewe utapata wapi pesa hawalijui. Sasa ongeza na mahitaji yako na ya mchepuko hapo. Lazima ufe mapema.
Na bado wanadai haki sawa..😬
 
Ila kwenye majukumu wanakimbia.
Wewe jiulize tu, una mke mmoja na watoto 5 na hao wote wanakutegemea wewe kula, kuvaa, maradhi, ada n.k Suala la wewe utapata wapi pesa hawalijui. Sasa ongeza na mahitaji yako na ya mchepuko hapo. Lazima ufe mapema.
Usiendelee mkuu unazidi kunihuzunisha..😥
 
Pamoja na kwamba VVU/UKIMWI iliibuka rasmi mwaka 1980, bado wengi hawana elimu ya kutosha kuhusu janga hili. Ndiyo maana Trump atakuwa sahihi daima kwa kuizodoa & kuiparua Afrika vikali.
 
Ila kwenye majukumu wanakimbia.
Wewe jiulize tu, una mke mmoja na watoto 5 na hao wote wanakutegemea wewe kula, kuvaa, maradhi, ada n.k Suala la wewe utapata wapi pesa hawalijui. Sasa ongeza na mahitaji yako na ya mchepuko hapo. Lazima ufe mapema.
Hapo Bado members wengine wa extended family...Mtoto wa Mjomba, Shangazi, Baba Mdodo, Mama Mdogo...na hao Mashangazi, Wajomba, Baba na Mama wadogo..wote wanakusubiri...wote wanasubiri uwatumie chochote kitu...Sasa hayo maisha ya kuishi Mpaka miaka 90 yatakwepo kweli?
 
Mkuu aliekwambia Shahawa zinaambukiza Ukimwi Nani siwanasema damu sindo inambukizaga Ukimwi au tunapigwa
Nimeshangaa pia, maana kuna watoto huzaliwa wakiwa negative hali ya kuwa wazazi wote wawili ni positive, kama shahawa zingekua zinaambukiza basi hiyo isinge wezekana.
 
Kweli inawezekana pata picha mwanaume wa dar kakutana demu mwenye rambo, full genye. 😂😂😂😅
hata shetani ashuke
Awez ambukizwa.
 
A man is a producer of knowedge. Akasikika Phd holder wa jalalani.
 
Wanawake ni wengi kwa sasa kutuzidi kumaanisha kuwa wanaume ndo tunaongoza kwa kufa... Vifo kwa wanaume Ni Kama kuku sasa huoni Ni bora na hao wanawake waathirika lakini wanaishi zaidi kuliko wanaume walio na afya njema wanavyokufa bila mpangilio.
 
Ni jambo la kumshukuru Mungu kutuumba tulivyo maumbile yetu yanafanya tusipate maambukizi ya Ukimwi kirahisi.
Tofauti na mwanamke ukimkojolea tu shahawa anao.
Tusiache vitendea kazi kama vilainishi ili tusichubuke maana unaweza kumzibua mtu chemba lazima zana ziwe timamu
Screenshot_20211211-140359~2.jpg
 
sio shahawa,Ila zile maji maji labda
Mm nimekalilishwa damu ndiyo inayo ambukiza Ukimwi sio majimaji ya ukeni wala manii mchubuane damu iingie Ukimwi ndo unaanzie hapo km mmoja Kati yenu anangoma ndo ivo au mkuu hujaskia MTU anangoma lakini anapata mtoto negative na salama.
 
Mm nimekalilishwa damu ndiyo inayo ambukiza Ukimwi sio majimaji ya ukeni wala manii mchubuane damu iingie Ukimwi ndo unaanzie hapo km mmoja Kati yenu anangoma ndo ivo au mkuu hujaskia MTU anangoma lakini anapata mtoto negative na salama.
hii elimu bana bado wengi hatuijui vzr ,mmoja na mm,Ila unaambiwa deep kisses (denda) unaweza kuambukizwa ,Sasa Yale si majimaji ya mdomoni!?,ninavyojua shahawa huwa hazpati maambukizi ,Ila Yale maji ambayo huwa yapo ukeni hata Kama ame relax yaani hafanyi mapenzi ,hayo huwa na virus,hivyo ukiingia mwanaume na ukawa na michubuko uumeni Basi Yale maji ya uke yakiingia au yakisugua sehemu ya uume yenye kidonda au mchubuko hapo unaweza kuambukizwa!!
 
Ni jambo la kumshukuru Mungu kutuumba tulivyo maumbile yetu yanafanya tusipate maambukizi ya Ukimwi kirahisi.
Tofauti na mwanamke ukimkojolea tu shahawa anao.
Usiwapotoshe watu UKIMWI UPO na utaendelea Kuwepo muhimu ni kujikinga na kuwakinga wengine wasipate maambukizi
 
Back
Top Bottom