barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
wanaume hawatabiriki....utasikia anasema anapenda vi-potabo, lakini shangaa historia yake ni ma-michelin.
kama anakuja kwangu awe na kazi yake, na usafiri wake na hela yake mwenyewe. siyo atake kupanda gari alonunua kidume mwenzio aku babu! hiyo ya kupiga deki na kusukuma chapati hadi mikono iote sugu atafuta mfanyakazi, utiifu itategemea na matunzo anayonipa....
Duuuh naona wanaume wengi hawapendi ubishi.....ngoja nione kama ntaweza kubadilika lol
Usibadilike...tafuta mwanaume wa level yako anayeweza kuhimili arguments...asiye na inferiority...
Mboni wapo tu...(mf. humu JF Nyani xxx)
aiseeeee umenikumbusha ofisin aseeeee kuna mkaka aliachanaga na demu wake wa hapahapa ofisin basi sikuhiz wakikaa wakaka zaidi ya wawili utasikia sikuhiz wakuolewa ni form 4 na std 7 tu na kidoooooooogooooo diploma......si wadada kimyaaaaa hata hatuchangii mada basi unakuta wanasapotiana wenyew kwa wenyewe ........nahis ndio wanaoweza vumilia
miaka medal rudi
Hahaaa nashukuru nyumba kubwa japo mfano wako sijaupenda.....tena afadhali hujamensheni
Mimi nimeshaoa
Ni m mention sijitaki...lol...unaweza kuzima PC...
Uliangalia vigezo gani??
Hao watakuwa ni members wa JF...wale ambao hawawezi kuchanganya za kuambiwa na zao...
no they're not.... .
umeshawahi kumkuta muuza njugu(karanga) akakuonjesha halafu ukaacha kununua..Je kosa ni la nani? muuza karanga au wewe uliepewa kuonja halafu ukaacha kununua?...kikawaida biashara zote ambazo mtu anapewa ruhusa ya Ku test kabla kununua..nafasi ya kufanya biashar huwa 50:50 kwa hio acheni kusikitika....Pia eleweni thamani yenu....Kumbuka wazazi wako walikuzaa na kukulea..walikuvisha nguo muda wote...iweje leo umekua mtu mzima aje mtu aanze kukuvua nguoa bila ya ridhaa ya waliokufundisha kuvaa nguo(wazazi)?...Ni vyema mwaname ukampeleka kwa wazazi kabla hujampa iyo nanihii yako...Vyenginvyo ukimpa karanga kuonja akagundua kumbe uliweka chunvi nyingi...au zinatoa harufu za kuoza...usimlaumu anapoamua kwenda kwenye korosho na kukuacha na karanga zako ukiendelea kuwapa wengine waonje...."Thamani ya mwanamke ni ndoa"
Damu kuendana zinaendanaje???
We ukiwa group A na mie A basi hapo ndoa tayari
utajuaje...mfano mimi hakuna hata mtu mmoja anayenijua na anayejua kuwa ni member JF...
because mimi ndio huwa nkiingia jf nawasomea baadhi ya threads kwa sauti then wanaanza kujadili na kucheka halafu nawao wanatamani kukoment hivo hawawez koment kwakua sio memba...pia unaeza kuta mufa mwingne mi nipo bize na yangu kwenye cm wao wanadhani nipo jf wananiuliza nije tusome wote???