Duuuh naona wanaume wengi hawapendi ubishi.....ngoja nione kama ntaweza kubadilika lol
Hata mimi huwa nasomewa na kucheka...na ku pretend as if siyo member...nikiwa peke yangu ndio na log in
umeshawahi kumkuta muuza njugu(karanga) akakuonjesha halafu ukaacha kununua..Je kosa ni la nani? muuza karanga au wewe uliepewa kuonja halafu ukaacha kununua?...kikawaida biashara zote ambazo mtu anapewa ruhusa ya Ku test kabla kununua..nafasi ya kufanya biashar huwa 50:50 kwa hio acheni kusikitika....Pia eleweni thamani yenu....Kumbuka wazazi wako walikuzaa na kukulea..walikuvisha nguo muda wote...iweje leo umekua mtu mzima aje mtu aanze kukuvua nguoa bila ya ridhaa ya waliokufundisha kuvaa nguo(wazazi)?...Ni vyema mwaname ukampeleka kwa wazazi kabla hujampa iyo nanihii yako...Vyenginvyo ukimpa karanga kuonja akagundua kumbe uliweka chunvi nyingi...au zinatoa harufu za kuoza...usimlaumu anapoamua kwenda kwenye korosho na kukuacha na karanga zako ukiendelea kuwapa wengine waonje...."Thamani ya mwanamke ni ndoa"
Hata mimi huwa nasomewa na kucheka...na ku pretend as if siyo member...nikiwa peke yangu ndio na log in
Hahahahahahaaaa!
Mambo gani tena Konda wa bodaboda?
Hata mimi huwa nasomewa na kucheka...na ku pretend as if siyo member...nikiwa peke yangu ndio na log in
Vajovilaa valeka pamlomo...
Si nimekusoma hapo juu.
Ni m mention sijitaki...lol...unaweza kuzima PC...
Hahahahahaaa!
Kwani we hupendi ndembendembe?
Mwanamke kwanza......
Akiwa ni mwanamke mwenye akili akanipa tulizo la moyo ,wakapatikana watoto akawatunza kwa dhati Mimi kazi zitaenda na fedha zitapatikana tu.
Ila ukipata majanga ,imekula kwako.
Kwa walioko ndoani put first your family (mwenzi wako na watoto) , utakuwa ni mwenye amani sana km na mwenzi wako naye atakuwa km wewe.
ha ha ha umeweka statement yako "MAINI"umejuaje aise..mwanamke awe na maini bana
Mkuu we acha tu tatizo naogopa tu kumwambia ukweli Heaven on Earth asije kuniharibia siku yangu.
ha ha ha umeweka statement yako "MAINI"
Afu wewe nimekumisi kinyama!
Umzima lakini?
Mi mzima sana tu!za masiku?