Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Mimi nipo kundi moja, ndio tunazingua kwa sababu, unakuta mwanamke anakupenda hana mvuto. Na tunaongoza kupendwa na wanawake wasio na mvuto! Mpka kinyaa, Tunajuta kuzaliwa na sura za mama zetu
Hapa umegusa penyew nimechoka nao mm

Ambao siwapend kaz kunijitegesha kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…