Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Hahaha hahaha hahahaNiko njia kuu mama ake
Toka nikupate nyota yangu inang'aa tuu,
Sijui upande wakwako uko.
Kama uko njia kuu nina amani sana!..
Wewe ukipata ni mie mepata babake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hahaha hahahaNiko njia kuu mama ake
Toka nikupate nyota yangu inang'aa tuu,
Sijui upande wakwako uko.
Hiyo avatar tu hata tako lenyewe mbn sina
Hapa umegusa penyew nimechoka nao mmMimi nipo kundi moja, ndio tunazingua kwa sababu, unakuta mwanamke anakupenda hana mvuto. Na tunaongoza kupendwa na wanawake wasio na mvuto! Mpka kinyaa, Tunajuta kuzaliwa na sura za mama zetu
Una busara na hekima za kutoshaHahaha hahaha hahaha
Kama uko njia kuu nina amani sana!..
Wewe ukipata ni mie mepata babake!
Huyo wewe, mazingira ya Dodoma kabisa hapo. Na hilo tairi najua lilipo
Hapa umegusa penyew nimechoka nao mm
Ambao siwapend kaz kunijitegesha kwangu
hahaha ata aminiji kama hauna kweli
Haya maakili ni juhudi zako babake, nipo hivi sababu nina wewe apo!Una busara na hekima za kutosha
Ujue mama ake
Maakili hayo unayatoleaga wapi eti
hhhhhh me nipo kwenye hili kundi karibu sanaKundi la pili popote mlipo mbarikiwe sana. Amen[emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee baba ulimpendea nini?
Kundi la pili popote mlipo mbarikiwe sana. Amen[emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwambaaaali......
Naona muwa unavyo zamisha meli...teh
Noel Ngiama Makanda kazi kwako; na nauli ya bodaboda tokea hombolo mpaka jamatini demis sikuhizi hatozi, ushindwe mwenyewe kwenda muonaAje tuonane liveeeee
Naitamani ile enzi [emoji85][emoji177]Upendo wa kweli
Noel Ngiama Makanda kazi kwako; na nauli ya bodaboda tokea hombolo mpaka jamatini demis sikuhizi hatozi, ushindwe mwenyewe kwenda muona
Naitamani ile enzi [emoji85][emoji177]
Kundi la 3 mkuuHuwa unaenda kuwinda wapi
[emoji120][emoji123][emoji108]dedication... When I need you by Celine DionNipo hapa mzee baba wewe tu ukiwa free nije nikupe mautamu
HahahahaHaya maakili ni juhudi zako babake, nipo hivi sababu nina wewe apo!
Hahaha hahahaHahahaha
Unapenda kunijaza sana ujue