Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Hello wanajf
Wanaume wengi siku hizi nimegundua tumekua wagumu wa kuweka effort kwenye mahusiano, hasa yakiwa mapya, namaanisha effort ya attention, pesa na juhudi, wanaume zamani tulikua tuko tayari kumsuburia mdada njiani masaa 3 huku tukiumwa na mbu na kumfukuzia miezi 8 hata miaka,, ili tu tupate nafasi ya kuongea naye, yakobo alifanya kazi miaka 14 kwa labani ili apate nafasi na alipie mahari ya kumuoa Rachel , ila siku hizi naona wanaume wengi tunawekeza effort ambayo ni ndogo sana kwenye mahusiano.
Mdada akiomba msaada wa kipesa, let's say ni kweli amekwama kipesa kama binadamu mwingine yeyote ambavyo angeweza kukwama, kwa wanaume wengi hata akitoa hiyo pesa atawaza mmh hapa natapeliwa.
Najiuliza sasa inakuaje unampenda mdada alafu akikuomba msaada, uhisi kwamba anataka kukupiga, wakati kama mtu umempenda, inatakiwa usiwe tayari kumwona mtu umpendae anapata shida yoyote, unakua unaamua kujitoa uwezavyo ili uweze mtoa kwenye hio shida.
Tangu lini kuombwa msaada wa kipesa na mdada, mara nyingi inaonekana na baadhi ya wanaume kuwa huo ni utapeli na fimbo ya kutupiga, na baadhi wanawake wanaona ni fimbo ya kupigia wanaume, wakati sometimes huenda ni kweli mtu anahitaji msaada huo, dunia sijui imekuaje.
Ref: ya screenshots toka kwa baadhi wanajf wa humu
Nimekumbuka maneno ya the late Kevin Samuels alisema kwenye dating world, winter is coming
Wanaume wengi siku hizi nimegundua tumekua wagumu wa kuweka effort kwenye mahusiano, hasa yakiwa mapya, namaanisha effort ya attention, pesa na juhudi, wanaume zamani tulikua tuko tayari kumsuburia mdada njiani masaa 3 huku tukiumwa na mbu na kumfukuzia miezi 8 hata miaka,, ili tu tupate nafasi ya kuongea naye, yakobo alifanya kazi miaka 14 kwa labani ili apate nafasi na alipie mahari ya kumuoa Rachel , ila siku hizi naona wanaume wengi tunawekeza effort ambayo ni ndogo sana kwenye mahusiano.
Mdada akiomba msaada wa kipesa, let's say ni kweli amekwama kipesa kama binadamu mwingine yeyote ambavyo angeweza kukwama, kwa wanaume wengi hata akitoa hiyo pesa atawaza mmh hapa natapeliwa.
Najiuliza sasa inakuaje unampenda mdada alafu akikuomba msaada, uhisi kwamba anataka kukupiga, wakati kama mtu umempenda, inatakiwa usiwe tayari kumwona mtu umpendae anapata shida yoyote, unakua unaamua kujitoa uwezavyo ili uweze mtoa kwenye hio shida.
Tangu lini kuombwa msaada wa kipesa na mdada, mara nyingi inaonekana na baadhi ya wanaume kuwa huo ni utapeli na fimbo ya kutupiga, na baadhi wanawake wanaona ni fimbo ya kupigia wanaume, wakati sometimes huenda ni kweli mtu anahitaji msaada huo, dunia sijui imekuaje.
Ref: ya screenshots toka kwa baadhi wanajf wa humu
Nimekumbuka maneno ya the late Kevin Samuels alisema kwenye dating world, winter is coming