Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

Mkuu yani nilishawahi kujitoa sana kwa kiumbe mmoja sana yani nikawa lofa. Alinipiga na kitu kizito ila alinifunza kwa vitendo.
Ukileta njaa zako kwangu najikataa kimya kimya.
Badala ya kujijenga unagharamia lifestyle ya binti fulani anayetaka ishi above her level.
Wanawake hawataki upendo, wanataka mtumwa.


Wanataka mwanamume ambaye wanaweza kumtumia kufadhili mtindo wao wa maisha.


Maisha yakishakuwa magumu, watamtafuta mwanamume ambaye anaweza kuwafanyia kazi kwa bidii ili waishi maisha laini.


Wanataka mtu ambaye anaweza kulipa bili zao, wanataka mtu ambaye anaweza kutatua matatizo yao yote duniani.


HUYU MTUMWA[Wanaume] ANAPATA NINI KUTOKA KWAO? hakuna ila mateso, uchungu na majuto mwisho wa siku maana wanawake hawa hawana lolote la thamani la kuleta mezani.


Ni dhahiri kwamba wanaume wengi ni watumwa tu wa wanawake wao lakini hawajui kwa sababu wanawake wanaochumbiana nao wanawatumia tu kupata maisha rahisi na ya starehe bila kumpa mwanaume thamani yoyote ya kweli.
 
Bro ruuun, nimeshindwa kupata point ya kumtetea huyo girlfriend wako, maneno yake hayaendani na matendo yake, I think huyo girlfriend wako ni mjanja sana wa saikolojia ya wanaume

Kwa mimi wadada wa hivyo nshakutana nao, Yani ukikaa nao chini na kusikiliza maneno Yao, utasema kesho naoa, nimepata mke, ukimpa muda na kuendelea kukaa nae kwa ukaribu utagundua vingi alivyokuambiaga ni kamba Melancholic
Hao simple sana akitaka next time muende sehem ya starehe nendeni kwa miguu

tembea kutoka posta kwenda nae coco akikataa nenda mwenyewe akijilalamisha mwambie una hela ya chakula tu huna usafiri
 
def_xcode rubii Qashy Lilith Gojaga Nize kuna baadhi ya wadada nliwakimbia sababu ya vizinga, nasubiri kwa hamu nione aina ya wanaume watakaowaoa, au hata kuzaa nao tu.
She calls you “baby,” and you’re handing over your ATM card, smiling like a f*ol.😄😄

Do you even know how many men she calls “baby” in a day?

Keep playing, you’ll learn the hard way.
 
30k kubwa, 10,000 bao moja na elf 3 ya chumba unakula pisi standard.

Zamani nlikuwa nadhani wanaume wanaonunua wadada wanaojiuza barabarani ni wanaume flani hivi choka mbaya, siku nlienda chobiks nlishangaa wanaume wenye muonekano smart na yenye heshima wananunua maafisa utamu wanaosimama barabarani

Very sad life Fanton Mahal
🤣 Eti maafisa utamu
Yoo🙌🏾
 
Back
Top Bottom