Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kima toka kigoma iliniambia Ina interview dar niijipeshe nauli ikujelike200k. Nikaipa 150k sio ya mkopo na pussie haijaombwa, kweni ilikujaHello wanajf
Wanaume wengi siku hizi nimegundua tumekua wagumu wa kuweka effort kwenye mahusiano, hasa yakiwa mapya, namaanisha effort ya attention, pesa na juhudi, wanaume zamani tulikua tuko tayari kumsuburia mdada njiani masaa 3 huku tukiumwa na mbu na kumfukuzia miezi 8 hata miaka,, ili tu tupate nafasi ya kuongea naye, yakobo alifanya kazi miaka 14 kwa labani ili apate nafasi na alipie mahari ya kumuoa Rachel , ila siku hizi naona wanaume wengi tunawekeza effort ambayo ni ndogo sana kwenye mahusiano.
Mdada akiomba msaada wa kipesa, let's say ni kweli amekwama kipesa kama binadamu mwingine yeyote ambavyo angeweza kukwama, kwa wanaume wengi hata akitoa hiyo pesa atawaza mmh hapa natapeliwa.
Najiuliza sasa inakuaje unampenda mdada alafu akikuomba msaada, uhisi kwamba anataka kukupiga, wakati kama mtu umempenda, inatakiwa usiwe tayari kumwona mtu umpendae anapata shida yoyote, unakua unaamua kujitoa uwezavyo ili uweze mtoa kwenye hio shida.
Tangu lini kuombwa msaada wa kipesa na mdada, mara nyingi inaonekana na baadhi ya wanaume kuwa huo ni utapeli na fimbo ya kutupiga, na baadhi wanawake wanaona ni fimbo ya kupigia wanaume, wakati sometimes huenda ni kweli mtu anahitaji msaada huo, dunia sijui imekuaje.
Ref: ya screenshots toka kwa baadhi wanajf wa humu
View attachment 3227102
View attachment 3227103
Nimekumbuka maneno ya the late Kevin Samuels alisema kwenye dating world, winter is coming
Alikujibu vizuri.Nilimpata facebook huko, now tuna miezi mitatu ni reception kwenye hotel moja town life style yake ni kawaida tu but wazazi walishatengana halafu hawana maisha yeye anaish kwa bibi yake na nakumbuka aliwahi nambia kuwa apendi mwanaume bahili na asie na pesa nikamuuliza mbona mama yako alikubali kuolewa na baba yako japo ni choka mbaya akasema huyo ni mama yake sio yeye
Sawa sawa😄
NaamHayo uliyoyasema sio mahusiano ni USAID na sasa tushagundua ni money laundry tunaenda na sera za Trump.
Ana akili Sana atafika mbaliKijana wangu ananiambia 'baba binti wengi sikuhizi ni matapeli'
na kweli mkuu kama umejua ana vikoba kama vyoteHuyo pure gold digger itkuwa anadaiwa vikoba
Aamke afanye kazi hela za kuomba omba hazitoshi
Mkuu ni changamoto kubwaYaani dunia ya sasa usipomla yeye kipochi manyoya basi atakukula pesa
😁😁 kila team inavutia kwake
Mkuu unajidanganya ukimpata huyu wangu umekwishaUkitaka mambo yasiwe mengi mwache awe free kwako, mi nikimdate mdada yeyote namweka kwenye angle ambayo anakuja free sana kwangu inakua ni rahis mi kujua ratiba zake na mambo yake mengi, mfano anasafiri means akinipa taarifa nasafiri wiki ijayo mi n hesabu kimya kimya ntajua nimpe Hela kiasi labda Kwa ajili ya nauli, tahadhari, msos etc
Mambo mengine haya si ya kuyaandika, ni kuyapotezea tu.....fikira mwanamke changu tu hana hili wala lile.....anakupigia simu kukuomba pesa wakati si mke wako, unampa ili iweje? Mwanamke hasa changudoa si wa kuwaonea huruma hata kidogo, unawaacha tu kuhaha kama mademu wa bongo movie dizaini ya kina Lulu Diva na Wema.Hello wanajf
Wanaume wengi siku hizi nimegundua tumekua wagumu wa kuweka effort kwenye mahusiano, hasa yakiwa mapya, namaanisha effort ya attention, pesa na juhudi, wanaume zamani tulikua tuko tayari kumsuburia mdada njiani masaa 3 huku tukiumwa na mbu na kumfukuzia miezi 8 hata miaka,, ili tu tupate nafasi ya kuongea naye, yakobo alifanya kazi miaka 14 kwa labani ili apate nafasi na alipie mahari ya kumuoa Rachel , ila siku hizi naona wanaume wengi tunawekeza effort ambayo ni ndogo sana kwenye mahusiano.
Mdada akiomba msaada wa kipesa, let's say ni kweli amekwama kipesa kama binadamu mwingine yeyote ambavyo angeweza kukwama, kwa wanaume wengi hata akitoa hiyo pesa atawaza mmh hapa natapeliwa.
Najiuliza sasa inakuaje unampenda mdada alafu akikuomba msaada, uhisi kwamba anataka kukupiga, wakati kama mtu umempenda, inatakiwa usiwe tayari kumwona mtu umpendae anapata shida yoyote, unakua unaamua kujitoa uwezavyo ili uweze mtoa kwenye hio shida.
Tangu lini kuombwa msaada wa kipesa na mdada, mara nyingi inaonekana na baadhi ya wanaume kuwa huo ni utapeli na fimbo ya kutupiga, na baadhi wanawake wanaona ni fimbo ya kupigia wanaume, wakati sometimes huenda ni kweli mtu anahitaji msaada huo, dunia sijui imekuaje.
Ref: ya screenshots toka kwa baadhi wanajf wa humu
View attachment 3227102
View attachment 3227103
Nimekumbuka maneno ya the late Kevin Samuels alisema kwenye dating world, winter is coming
WEWE! Leo unasema hela za kuombaomba hazitoshi?Huyo pure gold digger itkuwa anadaiwa vikoba
Aamke afanye kazi hela za kuomba omba hazitoshi
Daah mkuu una moyo wa ajabuKuna kima toka kigoma iliniambia Ina interview dar niijipeshe nauli ikujelike200k. Nikaipa 150k sio ya mkopo na pussie haijaombwa, kweni ilikuja
Mkuu wanapiga mizinga c mchezo na aibu hawana yani sijui wanaona hicho kipochi manyoya kina thamani ya bilion ngapiWewe unayeona ni sawa Kila saaa kuombwa Hela na demu, subiri uingie nae kwenye ndoa ndio utajua hujui. Mwanamke anayejiheshimu hata akiwa na shida atakuingia kwa staha sana na utajua tu kweli huyu anashida. Ila hivi vya siku hizi vinaanza na "Nikwambie Kitu".
Mtu mmeanza mahusiano mwezi wa kwanza anaomba Hela ya kusuka, pedi, luku, maji, Kodi... Hahaha wajinga ndio waliwao
Wanawake kausha damu tu usipokuwa makini hupigi hatua...
Kamoja jana kamenipgia eti nna michezo 3 nataka kuchanganyikiwa na kila mchezo inabdi nitoe laki.
Sasa naona nikitumia mshahara sijui nitaishije mwezi huu fanya vyovyote unitumie ela. Nikakajibu sina ela. Kakasema sasa tunafanyaje?
Nikawaza michezo ucheze wewe, pesa upokee wewe shida nipate mimi.
Nikakambia sina jitoe tu kwenye hiyo michezo. Kakanuna. Shubaamit
Mkuu yani nilishawahi kujitoa sana kwa kiumbe mmoja sana yani nikawa lofa. Alinipiga na kitu kizito ila alinifunza kwa vitendo.Mkuu watu wenye ujasili kama huu huwa nawapenda mmo hawa viumbe kweli sio wa kuwaweka akilini
def_xcode rubii Qashy Lilith Gojaga Nize kuna baadhi ya wadada nliwakimbia sababu ya vizinga, nasubiri kwa hamu nione aina ya wanaume watakaowaoa, au hata kuzaa nao tu.Wanawake kausha damu tu usipokuwa makini hupigi hatua...
Kamoja jana kamenipgia eti nna michezo 3 nataka kuchanganyikiwa na kila mchezo inabdi nitoe laki.
Sasa naona nikitumia mshahara sijui nitaishije mwezi huu fanya vyovyote unitumie ela. Nikakajibu sina ela. Kakasema sasa tunafanyaje?
Nikawaza michezo ucheze wewe, pesa upokee wewe shida nipate mimi.
Nikakambia sina jitoe tu kwenye hiyo michezo. Kakanuna. Shubaamit
Wanasubiri wafike 35 watafte wakumaliza naye uzee. Mida hiyo wanatafta yeyote anayepumua.def_xcode rubii Qashy Lilith Gojaga Nize kuna baadhi ya wadada nliwakimbia sababu ya vizinga, nasubiri kwa hamu nione aina ya wanaume watakaowaoa, au hata kuzaa nao tu.