Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
ni utapeli tu unataka utapeli uwejeMkuu hadi elfu nane looh🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni utapeli tu unataka utapeli uwejeMkuu hadi elfu nane looh🤔
Hilo ni kweli kabisa mkuu mpaka tunaogopa kutongoza yani ukigusa tu umekwishaKuwa na Girlfriend Dar es salaam ni sawa na kuwa Baba wa familia ya wake wawili na Watoto 6 Namtumbo
Mimi ningepata wa hivo ningepumua ila mimi napigwa mashuti heavyMkuu hadi elfu nane looh🤔
Kweli kabisa mkuu na hapa anatengeneza mazingira ya kunipiga kizinga coz jana aliniambia anaomba 60k nikampanga jumamosi so hapo anaanda mazingiraww nenda kwa bibi yake au mama yake waeleze kuwa nimekuja kutoa barua ya kumchumbia bint yenu
akikubali niite mbwa huyo yupo hapo kwako kwasabb ya kutatua shida ndogondogo ambazo hazita muisha kamwe
Bora hata awe anakuomba omba hela, na anakua amevutiwa na wewe kimapenzi, unakuta hata hisia na wewe hana ila hela anataka Rhz4567ww nenda kwa bibi yake au mama yake waeleze kuwa nimekuja kutoa barua ya kumchumbia bint yenu
akikubali niite mbwa huyo yupo hapo kwako kwasabb ya kutatua shida ndogondogo ambazo hazita muisha kamwe
Daah na hiyo situation ndio nadhani mimi naipitia coz hata akikuta chating za madem wengine naona hajali sana. Lengo lake utimize tu mahitaji yakeBora hata awe anakuomba omba hela, na anakua amevutiwa na wewe kimapenzi, unakuta hata hisia na wewe hana ila hela anataka Rhz4567
hahahahahhahaKuna single maza Mmoja aliwahi kuniambia kwa pombe unazo kunywa Kodi ya 350,000 na 150,000 upkeeping cost yangu kwa mwezi haiwezi kukushinda.Nikamwambia uko sahihi kabisa.Miezi 8 Sasa nimem-block.Niache kuhudumia familia yangu nihangaike na ww unaeshinda Gym? Impossible
MPeni hiyo 8k jamani, tena kasema anaumwani utapeli tu unataka utapeli uweje
Alotel ni nini😂Tapeli mwingne uyu
😹😹ACHA na Mimi nijibebishe nitumiwe helaKweli kabisa mkuu na hapa anatengeneza mazingira ya kunipiga kizinga coz jana aliniambia anaomba 60k nikampanga jumamosi so hapo anaanda mazingira
Kama upo na mapenz ya dhat kwa mpenz wako sio tatzo shida ni ile kupigwa na mwanamke asiekupenda😹😹ACHA na Mimi nijibebishe nitumiwe hela
Wanawake ke mtuombe pesa kwani kuna kitu tunawaomba?? 😹
😂😂Kama upo na mapenz ya dhat kwa mpenz wako sio tatzo shida ni ile kupigwa na mwanamke asiekupenda
Niliwahi kuwa nae wa hiviBro ruuun, nimeshindwa kupata point ya kumtetea huyo girlfriend wako, maneno yake hayaendani na matendo yake, I think huyo girlfriend wako ni mjanja sana wa saikolojia ya wanaume
Kwa mimi wadada wa hivyo nshakutana nao, Yani ukikaa nao chini na kusikiliza maneno Yao, utasema kesho naoa, nimepata mke, ukimpa muda na kuendelea kukaa nae kwa ukaribu utagundua vingi alivyokuambiaga ni kamba Melancholic
Ngoja nichukue no yake nikutukanie.Kweli kabisa mkuu na hapa anatengeneza mazingira ya kunipiga kizinga coz jana aliniambia anaomba 60k nikampanga jumamosi so hapo anaanda mazingira
Hichi unachokisema kina ukweli wowote mi nachojua kausha dam ajawahi kuwa na mapenz ya dhat kwa mtu yoyote😂😂
Penye tunapenda hatuombi hela nakuambia
Na ww jifunze kutoa Hela kama hakuombiHichi unachokisema kina ukweli wowote mi nachojua kausha dam ajawahi kuwa na mapenz ya dhat kwa mtu yoyote