Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

ww nenda kwa bibi yake au mama yake waeleze kuwa nimekuja kutoa barua ya kumchumbia bint yenu
akikubali niite mbwa huyo yupo hapo kwako kwasabb ya kutatua shida ndogondogo ambazo hazita muisha kamwe
Kweli kabisa mkuu na hapa anatengeneza mazingira ya kunipiga kizinga coz jana aliniambia anaomba 60k nikampanga jumamosi so hapo anaanda mazingira
 

Attachments

  • Screenshot_20250207-103857.jpg
    Screenshot_20250207-103857.jpg
    112.8 KB · Views: 3
ww nenda kwa bibi yake au mama yake waeleze kuwa nimekuja kutoa barua ya kumchumbia bint yenu
akikubali niite mbwa huyo yupo hapo kwako kwasabb ya kutatua shida ndogondogo ambazo hazita muisha kamwe
Bora hata awe anakuomba omba hela, na anakua amevutiwa na wewe kimapenzi, unakuta hata hisia na wewe hana ila hela anataka Rhz4567
 
Bora hata awe anakuomba omba hela, na anakua amevutiwa na wewe kimapenzi, unakuta hata hisia na wewe hana ila hela anataka Rhz4567
Daah na hiyo situation ndio nadhani mimi naipitia coz hata akikuta chating za madem wengine naona hajali sana. Lengo lake utimize tu mahitaji yake
 
Kuna single maza Mmoja aliwahi kuniambia kwa pombe unazo kunywa Kodi ya 350,000 na 150,000 upkeeping cost yangu kwa mwezi haiwezi kukushinda.Nikamwambia uko sahihi kabisa.Miezi 8 Sasa nimem-block.Niache kuhudumia familia yangu nihangaike na ww unaeshinda Gym? Impossible
hahahahahhaha
 
Huwa najiuliza mwanaume kama upo dar unapataje stress za mapenzi..yaan k zipo nyingi sanaaaaaa yaan nikipita mpaka huwa sirudiii maana ziko nyingiii na zote pisi....tembelea sehemu za starehe utapata k kama zote tena kwa bei chee.....jana nimembato pisi moja matata sana kwa 20k tu...cha muhimu vaa smart nukia unyunyu kidogo unaopoa,tatizo lenu mnahisi hao wa mitaan ndo wametulia kumbe wote malayaa tu
 
Bro ruuun, nimeshindwa kupata point ya kumtetea huyo girlfriend wako, maneno yake hayaendani na matendo yake, I think huyo girlfriend wako ni mjanja sana wa saikolojia ya wanaume

Kwa mimi wadada wa hivyo nshakutana nao, Yani ukikaa nao chini na kusikiliza maneno Yao, utasema kesho naoa, nimepata mke, ukimpa muda na kuendelea kukaa nae kwa ukaribu utagundua vingi alivyokuambiaga ni kamba Melancholic
Niliwahi kuwa nae wa hivi
Slay queen mara wife material kiufupi yuko kotekote, nikaja gundua yani anaenda na biti ya mwanaume.
 
Back
Top Bottom