Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
πππ kwahy upo mguu ndani mguu njee au sio?Mwachiluwi huyo ni dem wangu aisee mwamba kachukua screnshot yangu hapa nilipo bado najiuliza nimpe au naona dem kakubali kabisa mi niongeze maden daahππ
Ukiyaendekeza mapenz yatakuchosha hoi kabisa na kuyapata siku hizi ni rahisi hasa ukiwa na pesa.Kampa live mpaka sio poa!!.π
Kwakifupi vijana siku hiz naona kwakwel mapenz wameanza kuyatazama kwa jicho la 3 zaidi. They dont give a damn
Mkuu yani sielewπππ kwahy upo mguu ndani mguu njee au sio?
Endelea nae usimuache kizembeMkuu yani sielew
Wanazo ila wameshtuka hawahongi kizembeUseme wanaume wengi siku hizi hawana helaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunao onga kizembe hatukubali kisa mionekano yetu ya kishambaWanazo ila wameshtuka hawahongi kizembe
Wababu na wababa ndo hawanaga hianaTunao onga kizembe hatukubali kisa mionekano yetu ya kishamba
Hawana bhana.Wanazo ila wameshtuka hawahongi kizembe
Nyie mnazo ??;Useme wanaume wengi siku hizi hawana helaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakiwafia gest mnaaza tia hurumaWababu na wababa ndo hawanaga hiana
Kasheshe π€
Nimecheka sanaππππ€Ila watu, Dada yake alikuwepo tangu akiwa bikra na hakumsaidia kitu π
Huyu jamaa miyeyusho, nimecheka sanaIla watu, Dada yake alikuwepo tangu akiwa bikra na hakumsaidia kitu π
Mkuu kuna kitu hapa kweliπKasheshe π€