Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Hahahaaa hii kali ya 2015,ngoja uone watakavyokupinga-akitokea dada yupo above 30 ..anatafuta mchumba,wanarusha mawe weeee kumbe wanajifariji huko mtaani wamekataliwa...mnh...haya bwana...
 
ila kweli japo sio wote ,ila kukatishana tamaa is not gud watu tujaribu kuangalia kwa upande mwingine yule aliyeandika kutafuta mchumba yuko serious kiasi gani mpka kuandika hvyo, na ile kuweka vigezo ni sawa kwan hakuna mtu humu asiyependa mtu wa aina yake anayemtaka yeye. ni hvyo tu
 
Mada inaukweli kiasi fulani. but ukweli huo ni mdogo kiasi cha kutokidhi haja ya kuanzishiwa mada. mleta mada kajiangalia mwenyewe na kutaka kutufananisha naye. We are not the same.
.....

Mkuu mimi nimetumia inclusiveness tu ila haina maana mimi ni mmoja wao,

Nina sifa zote na za ziada wanawake wanazozitaka.

Ukweli ni kwamba most men hapa wako reject.

Soma mada zao,ni kulia lia tu,kulalamika. Hiyo ni ushahindi kua wako reject in real life.
 
Wewe ni muongo uliopitiliza maana wengi tunakuja huku kuburudisha macho na kupotezea muda wala hatuna mahitaji unayotuambia
 

Nataka appointment na wewe
 
Hahahaaa hii kali ya 2015,ngoja uone watakavyokupinga-akitokea dada yupo above 30 ..anatafuta mchumba,wanarusha mawe weeee kumbe wanajifariji huko mtaani wamekataliwa...mnh...haya bwana...

kazi zao ni kasifa kwa mabinti lakini ukweli ni kwamba wako rejected mtaani.

Kazi yao ni kulalamika lalamika tu,kulia lia sana. Wewe nenda love connect uone,mabinti wanataja vigezo vya kawaida sana eti hawana. Wanaishia kumwambia ajiumbie mwanaume wa jinsi anavyotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…