Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Jumatatu siku ya kazi asubuhi na mapema mwanaume unaanzisha mada za mapenzi.
Nchii hii ina hatua kubwa kupiga vita umaskini

Kaka umepanic bure, je wewe ni timu rejected?

Kajifunze kwanza maana ya GMT maana JF ina member dunia nzima je unajuwa Japan ni saa ngapi saa hizi? au unadhani huu ni mtandao kwa ajili ya watumiaji wa Tandale tu?

By the way hardworker unapata wapi muda asubuhi wa kuja kucomment thread hii?
 
Kaka umepanic bure, je wewe ni timu rejected?

Kajifunze kwanza maana ya GMT maana JF ina member dunia nzima je unajuwa Japan ni saa ngapi saa hizi? au unadhani huu ni mtandao kwa ajili ya watumiaji wa Tandale tu?

By the way hardworker unapata wapi muda asubuhi wa kuja kucomment thread hii?

watu wamepanik hatari mpaka wanaattack watu in person, uwiii mbona balaa hili, we km sio team reject si basi jamani!! hata mtoa mada hajasema "wote", sasa panik za nn km sio ukweli unauma!!!
 
Kaka umepanic bure, je wewe ni timu rejected?

Kajifunze kwanza maana ya GMT maana JF ina member dunia nzima je unajuwa Japan ni saa ngapi saa hizi? au unadhani huu ni mtandao kwa ajili ya watumiaji wa Tandale tu?

By the way hardworker unapata wapi muda asubuhi wa kuja kucomment thread hii?

Mi sijapanic mkuu,ila Mimi nadhani mtoa mada atakuwa mwanamke ila ameandika kama mwanaume
 
Mi sijapanic mkuu,ila Mimi nadhani mtoa mada atakuwa mwanamke ila ameandika kama mwanaume

Tukubali kutokukubaliana tuishambulie hoja.

Unaposhangaa topic ya mapenzi asubuhi unashangaza wakati wanaume wote akilala na mwanamke cha kwanza asubuhi ni bao la asubuhi kama Museven anavyoamka na BBC.
 
Tukubali kutokukubaliana tuishambulie hoja.

Unaposhangaa topic ya mapenzi asubuhi unashangaza wakati wanaume wote akilala na mwanamke cha kwanza asubuhi ni bao la asubuhi kama Museven anavyoamka na BBC.

Umeshinda kwa hoja
 
Hebu tuangalie mfano hapa

Huyu dada kaandika anataka mume

Kwa mara ya kwanza naingia humu kumtafuta ambaye atakuwa wa mtu wa karibumaishani kwangu.Nina miaka 29, ni mkristo ninafanya kazi katika Shirika binafsinina elimu ya Diploma.

Nahitaji mwanaume awe mkristo preferably RC awe na shughuli inamuingiziakipato,mrefu na awe na umri kuanzia miaka 31-39.

Tafadhali aliye serious naomba ani PM.

Ona baadhi ya wanaume wanavyojibu

kwa vigezo vyako hivo mtengeneze mwenyewe awe wa kwako
Angalia na huyu hapa
Mm ni mdada nina miaka29 naishi kanda ya ziwa. Ninatafuta mume.. Kwa imani kuwa mwenza anapatikanapole.


Wasifuwangu:

Mrefushape ya wastani sio mnene wala mwembamba. Rangi maji ya kunde.

Dini:mkristo.

Elimu:degdree ktk sekta ya afya.

Sifaza ninaye mtafuta :
Mwanaumeumri 30-32yrs
Mkristo,Mrefu,elimu kuanzia diploma. Please pm me kama uko serious. Mbarikiwe sana.


Ona baadhi ya wanaume wanavyojibu
Kajichongee kinyago chako dada halafu hizo degree na masters utakitunuku tu hata zile za jk
Kama Unatafta Mume Kwa Masharti Utasubiri Sana Mpaka Uumpate Cha Msingi Wewe Fanya Yako Tu Siyo Lazima Kuishi Na Mwanaume

Hebu niambieni watu kama hao kwa nini wasiitwe reject,vigezo gani hivyo vya kulalamika kwamba mwanamke ajiumbie mwanaume wa namna hiyo,ina maana watu wenye sifa hizo hakuna humu?
 
Kusema ukweli mtoa mada kanishangaza binafsi

Sio watu wote wako JF kutafuta wanawake

Kwa wengine JF ni sehemu ya kujifunza.

Na sijui anaposema reject...i don't understand...how comes mtu awe reject? My belief is kila mtu ana choice yake ,i mean perfect match yake.

I think mtoa mada alikua anajaribu kujielezea yeye na jinsi anavyoichukulia Jamiiforum kama "Dating Site"
 
Hebu tuangalie mfano hapa

Huyu dada kaandika anataka mume

Ona baadhi ya wanaume wanavyojibu


Angalia na huyu hapa


Ona baadhi ya wanaume wanavyojibu



Hebu niambieni watu kama hao kwa nini wasiitwe reject,vigezo gani hivyo vya kulalamika kwamba mwanamke ajiumbie mwanaume wa namna hiyo,ina maana watu wenye sifa hizo hakuna humu?

Kwa hio kwa sababu watu wamejibu hivyo ndio reject?

Haujui kama wengine wanajibu kwa kejeli tu?

And reject kwa nani? Coz reject kwa mmoja inaweza kuwa perfect match kwa mwingine.
 
Ha haaaaaa na wengi ni tegemezi so why thinking capacity ni ndogooo wanawazia yasiyo faa
 
Anyway, naona watu wamepanic sana,nimerusha mshale gizani sasa nasikia mikelele watu wanagugumia kwa maumivu.
  • Kwanza sijasema wanaume wote,nashangaa vilaza wasiojua kusoma vizuri wanakuja hapa kunituhumu minetukana wanaume wote,kama unajua umeguswa sema wewe umeguswa sio wanaume wote.
  • Mimi ni mwanaume ,hilo haliondoi haki yangu ya msingi ya kutoa maoni kuhusu yoyote awe mwanaume au mwanamke,haiwezekani wanaume wazima mje kulalamika lalamika humu kama watoto kwa vigezo vya kawaida wanawake wanavyotaka alafu mzuie watu kutoa maoni,huo utakua ni ujuha wa hali ya juu
  • Kama unajua wewe sio reject hii topic haikuhusu
  • Mimi sio supu ya mawe.
  • Kama umeoa na ukalalamika kuhusu hii topic una matatizo,soma uelewe muktadha wa mada hii,ni kwa wanaume ambao wanalalamika humu kila siku kua wanakosa wapenzi/wake wa kuoa,wanaachwa nk,kama umeoa haya yanakuhusu vipi?
Wanaume wenzangu acheni kulalamika,kueni wanaume vinginevyo lazima uwe reject.
 
Kusema ukweli mtoa mada kanishangaza binafsi

Sio watu wote wako JF kutafuta wanawake

Kwa wengine JF ni sehemu ya kujifunza.

Na sijui anaposema reject...i don't understand...how comes mtu awe reject? My belief is kila mtu ana choice yake ,i mean perfect match yake.

I think mtoa mada alikua anajaribu kujielezea yeye na jinsi anavyoichukulia Jamiiforum kama "Dating Site"

Utakua hujui ulichokiandika au hukuelewa ulichokiandika
wewe kama unajua humatch na vigezo alivyoweka mtu kwa nini ukashfu au uponde? uwe unatumia akili yako vizuri kuwaza kabla hujapost humu.
 
Back
Top Bottom