Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Yani..kichwa cha uzi huu kimenifanya nicheke kwa nguvu
 
hahaha leo dogo kalenga mule mule

sindano zinaingia kiulainiiii, bora tu maana walivyozidi kutuandama hata hatupumui, hii ndio kubwa lao la kufungulia mwaka i think ya kufungia pia! teh teh teh
 
sindano zinaingia kiulainiiii, bora tu maana walivyozidi kutuandama hata hatupumui, hii ndio kubwa lao la kufungulia mwaka i think ya kufungia pia! teh teh teh

hahah ona wanavyopanick ila dogo kaongea point kama mtu hana vigezo alivyotaja ni reject tu atafiti wapi kidding
 
kuna thread zingine mwanamke unapita tu. haina haja yakukomenti. maana mtoa mada ni mjinga sana

hahahaaaa!!! mkiongelewa basi watu hawana akili ila tukiongelewa mnajazana na kejeli za kutosha, mkuki kwa nguruwe??? tena bora kaongea mwanaume mwenzenu maana duuuh!!!
 
Uwezo mdogo wa kufikiri na kuchambua mambo na kutambua kuwa si kila unaloliona huku cyberworld ni la kweli umekusababishia kuongea pumba kuu. Hivi hata uhakika wa jinsia ya members unao?
 
Rejected men are always bitter. Wanaonekana tu wanavyopondea wanawake huku.Ile sumu ya rejection ndio wanakuja kuimalizia huku.
 
Ww wala hujakosea mm nilivo mbaya na sura km bi kidude au remi, na kazi sina, elimu nimeishia darasa la nne vyooo :sly::sly: GUD MRNG ila sku nwanamke akija kuniona humu jf hang'atuki
 
sio wote tunaotafuta madem kama wewe.......hongera kwa kuji-reject kaanze upya....
 
Habari.

Wakuu sina lengo la kukashifu watu ila naomba niweke wazi mtazamo wangu kuhusu wanaume wenzangu tuliopo MMU.

Kwa muda ambao nimekuwa mwanachama humu,nimegundua kua wanaume wengi wa humu ni reject mtaani.
Idadi kubwa ya wanaume humu huwa ni kulalamika tu hawakubaliki,wameachwa,hawapati wachumba nk japokua idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume,huwa najiuliza hao wanawake wasiopatikana ni wapi? Nimekuja kugundua kwamba vidume wenzangu humu wengi ni reject,hawana sifa wanawake wanazozitaka.

Nenda Love connect,mwanamke ataandika anataka mwanaume,akaambatanisha vigezo vichache,tena vya kawaida sana lakini ataishia kukatishwa tamaa na wanaume kua vigezo hivyo ajiumbie mwanaume wake maana hawezi kumpata.

Utakuta mwanamke kaandika anataka mwanaume mrefu,mwenye elimu kuanzia Diploma,miaka 30,awe na ajira au kazi binafsi,masharti ya kawaida kabisa,ataishia kuambiwa ajiumbie,najiuliza kweli watu wenye sifa hizo au zaidi hawapo MMU?

Maana yake ni kwamba wanaume wengi wa humu ni wafupi,wasio na kazi,walioishia sekondari.Sasa nimekubali kwamba wengi wetu humu ni reject.

Jumatatu siku ya kazi asubuhi na mapema mwanaume unaanzisha mada za mapenzi.
Nchii hii ina hatua kubwa kupiga vita umaskini
 
Jumatatu siku ya kazi asubuhi na mapema mwanaume unaanzisha mada za mapenzi.
Nchii hii ina hatua kubwa kupiga vita umaskini


mmmh!! hii mada haijaanzishwa leo rudia kuangalia!!
 
Back
Top Bottom