Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Utakua hujui ulichokiandika au hukuelewa ulichokiandika
wewe kama unajua humatch na vigezo alivyoweka mtu kwa nini ukashfu au uponde? uwe unatumia akili yako vizuri kuwaza kabla hujapost humu.

haya mkuu wewe unaetumia akili vizuri

Na mtu mwenye akili zaidi

Endelea na JF "Dating Site"

Sisi tusiotumia akili tukuacheee
 
Jumatatu siku ya kazi asubuhi na mapema mwanaume unaanzisha mada za mapenzi.
Nchii hii ina hatua kubwa kupiga vita umaskini

Uwe unasoma vizuri mada mdogo wangu,usikurupuke,hapo tu umeonyesha uwezo wako wa akili ukoje alafu unataka kujifanya unawaza maendeleo,hatari sana. alafu tutegemee watu kama wewe ndio walete maendeleo?

Hunipangii cha kuandika,najisikia kuandika chochote wakati wowote siku yoyote.
 
Hahahaaa hii kali ya 2015,ngoja uone watakavyokupinga-akitokea dada yupo above 30 ..anatafuta mchumba,wanarusha mawe weeee kumbe wanajifariji huko mtaani wamekataliwa...mnh...haya bwana...

maneno ya kujifariji tu hayo....ia ukweli unajulikana.

jf is never borering!
But sometimes vise versa is true.

Siku zote nilijua wewe ni mwanaume!!!!!!!!!!!!!!
Kumbe leo umegunduaje.....?

Wewe ni muongo uliopitiliza maana wengi tunakuja huku kuburudisha macho na kupotezea muda wala hatuna mahitaji unayotuambia
mwanaume unakuja mtandaoni kupoteza muda huku wenzako wanakuja kuwinda popo....

na wanaume wengi wanaolialia hawana mvuto wala ela wapo tu kuponda wanawake utafikili wao wamekamilika
kweli hayo uyasemayo mkuu? Agata?

Inaonyesha mleta uzi yuko period ndiyo maana anapost utumbo.
duuu....

Mkuu na mimi naomba collabo huyu katuzarau sana!
Kwahiyo unataka nawe ukaunge cheni...mpige mande / mnyororo?

Teh teh unajifunzia English JF...!

Karibu sana Mr. 'Reject'
Labda mdau mleta mada naye ni "reject" katika English , huwezi jua.
 
Last edited by a moderator:
Wee mtoa mada wewe hiv unaakili timamu kweli?Ninamashaka na jinsia yako, kama ni ME utakuwa na jinsia mbili na kama ni KE utakuwa Tom boy.
 
kwani wanaume wa jf wametoka sayari gani?
 

Mbona umepanic mkuu
 
sidhani kama umewaza sawa, nachojua mwanamke ili amkubali mtu she must appreciate something from him, hivyo vitu anavyovitaka yeye haviwezi kumfanya huyo mwanaume aitwe reject. kama atakataliwa na kila mwanamke we can call him rejected person lakini nachojua hakuna mwanaume anakataliwa na kila mwanamke, huyu atakuacha yule anakutaka hata cc kuna watu tuawachukulia poa lakini kuna sehemu wanakua accepted so tuombe radhi mkuu.
 

Teh Teh
 

I guess hukuelewa mada.
 

Sasa ndugu yangu, ulitegemea watu wote wanaochangia humu JF ktk MMU kuwa na mtazamo mmoja??? Kwenye watu wengi tegemea watakaokupinga na kukuunga mkono usemacho!
Sasa NAKUOMBA rudi kwenye hizo uzi rejea hapo juu, kisha angalia kama hakukuwa na positive answers!! Usitegemee jibu moja, natumia simu ya blackberry bila platform ya JF, hivyo kuweka link ni mchakato mrefu kidogo, ila nachotaka kukwambia ni kwamba kuna wanaume pia wame-post uzi za kutafuta wenza humu na wakapondwa na pia kuungwa mkono na baadhi ya wanawake!
Hivyo, penye wengi, tegemea majibu tofauti!! KUBALI KUWA CHANGAMOTO ZITO.
 
tena sana tu...


Ina maana mkuu wataka kusema wanaoshinda humu ni wanaume wa dar tu...?

Labda sijui nini kinaendelea kati ya wewe na uliyem-quote hapo, ila logic yako iko wapi ya comment yako na ulicho-quote?
 

Nashukuru kwa kunithibitishia kuwa wewe ni Me na pia si Supu ya mawe. Nilikuwa nina mashaka hapo, sasa niko sawa!
 
Hee asante Dada tatizo humu tunataka classic ladies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…