Wanaume wengi tunajipa moyo kuwa uzuri wa mwanaume upo mfukoni, sababu tunajijua muonekano wa wengi wetu ni mbovu

Mleta Mada we hujielewi na hujitambui na Uzuri au muonekano wa mtu hutokana na mtazamo wa mtu. Remmy Ongara alioa mzungu pamoja na kwamba katika watanzania wenye sura mbaya kwenye top 3 alikuwemo.

Bado una akili na mitazamo ya kitoto sana.
Angalia avatar yake πŸ˜‚

Huyu anapandwa huyu
 
Dogo una tabia za kishoga kabisa halafu na uwezo wako wa kuchambua mambo ni finyu mnoo. Sasa huyo Musa si aliandika tu kwani yeye ndo alimtamani huyo Yusufu?

Kijana hebu jaribu basi kuwa kama Mwanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…