Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
hahahaha hicho cha lemutuz sijui hata kinafanananje mpendwa sababu sijawahi iona hiyo video so ni ngumu kusemaKwani mpendwa nawe una kilemutuz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha hicho cha lemutuz sijui hata kinafanananje mpendwa sababu sijawahi iona hiyo video so ni ngumu kusemaKwani mpendwa nawe una kilemutuz
Chake hakionekani ni kama pana ngozi iliyovimbahahahaha hicho cha lemutuz sijui hata kinafanananje mpendwa sababu sijawahi iona hiyo video so ni ngumu kusema
Hiyo tabia ilikuwepo upande wetu ila kwa sasa naona taratiibu inahamia huko kwenu.
Ila kwa Upande mwingine si anakidude kweli sa ulitaka wasemeje labda wakati kakitu kenyewe kalikuwa kanaonekana mubashara.
Vipo vya kumtetea mtu ila sio kwa kitu kama kile ambapo hata ukitetea watu watakushangaa. Wacha kulaumu.
AhahahaaaaaaUmeonaeee. Sasa kuanza kulaumu hata havihusiani.
Alaumiwe aliekivujisha hao watazamaji waachwe tu wazungumzie walichokiona sababu wangeifanya siri nani angejua kama ana kiungo cha mboga. Hahahaaaa.
Hahahaaaa. Analalamika yeye huku mwenye kibamia hana habari. Maisha yanamuendea.mleta mada ni mwanamke ila anajifanya ni mwanaume... kama ni mwanaume atakuwa si riziki. amenishtua sana kwa malalamiko yake.
Mkuu cha lemutuz acha kabisa ukubwa wa pilipilihahahaha hicho cha lemutuz sijui hata kinafanananje mpendwa sababu sijawahi iona hiyo video so ni ngumu kusema
hahahahahaha aisee...mpaka nimepaliwa na mate!Chake hakionekani ni kama pana ngozi iliyovimba
Kilionekana kwa msaada wa taulo kujifuta maji
😀😀😀😀😀Mkuu cha lemutuz acha kabisa ukubwa wa pilipili
Ndio hivyo wanamdanganya na kumpiga mapicha😀😀😀😀😀
dah!! hiyo sasa too much mbona hahahaha.
anakitumiaje sasa?? hao mabinti si ndio wanamdanganya tu mhenga wa watu
wabaya sana hao..Ndio hivyo wanamdanganya na kumpiga mapicha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kile hakikuwa kibamia mkuu. Ni ka nukta (.)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huo ndio ukweli
Wanamuonea kumbebesha mzigo wa kibamia[emoji23][emoji23]
labda atatafuta mkuyati aje kuwasapraizi huko mbeleni😀😀[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huo ndio ukweli
hahahahahahahWanamuonea kumbebesha mzigo wa kibamia[emoji23][emoji23]
Mkuu mbona wewe kama unafuatilia life style yake inakuhusu nini?Majuma machache yaliyopita kuliibuka mijadala mikali sana ya kumdhalilisha mwanaume mwenzetu maarufu sana kwenye tasnia ya burudani hapa nchini kwetu Tanzania jina lake nalihifadhi kwa picha iliyorushwa na mwanamke mmoja mjinga jinga mno, mwenye husda za kipuuzi kwa waliofanikiwa zaidi yake ,asiyependa maendeleo ya wengine, mchawi mchawi sana, na mropokaji aishiye kwa Trump mwenye stress nyingi sana za maisha kutokana na kutofikia malengo yake aliyojipangia kimaisha, na hivyo anaamua kuwaprovoke wengine washindwe kama yeye ili tu kupunguza stress zake za kushindwa kwake kimaisha.
Kimsingi picha zile hazikuwa nzuri kwani ziliingilia privacy ya huyu muhanga mpenda matunuzi kwa kiasi kikubwa sana kwa kumdhalilisha sana na ni dhahiri alionekana kuweweseka sana kutokana na comments zake baada ya tukio lile.
Kilichonishangaza sana ni wengi wa wanaume tena nimewapendelea, vivulana vipuuzi pia viliingia kwenye mtego wa huyo p.imbi wa kwa Trump kwa kumdhihaki mhanga eti kwa kinachosemekana kuwa ana kibamia. Ingawaje huyu jamaa mimi pia huwa napishana nae sana kimitazamo kutokana na life style anayoishi na itikadi yake katika masuala mbalimbali ya kijamii,kisiasa na kiuchumi, lakini kwa hili namtetea kwa nguvu zote.
Naamini kabisa mwanamke yeyote anayelalamika kuwa jamaa yake ana kibamia, kuna uwezekano mkubwa sana na yeye atakuwa na shimo lenye kina kirefu sana linaloweza kumuhifadhi hata joka refu lenye sumu kali sana aina ya koboko kwa urefu wake. Wanawake wenye vina vifupi au vya kawaida wala hawana tatizo na wanaume wahanga wa sampuli ya mhanga nayemzungumzia kwani kimsingi wamejitunza hawajapitiwa na mitalimbo mingi ya tofauti tofauti kama alivyopitiwa huyo mdada wa kwa trump hadi akaachwa na mumewe kwa kuwa inawezekana pango lake lilimnyima raha ya tendo la ndoa.
Wanaume niliowazungumzia hasa wote mlioshabikia upuuzi ule kwa kweli mmezingua sana na mmejidhalilisha mno kwani nimepata picha inawezekana hata nyinyi pia mkawa mnagongwa na mamendez na ndio maana mnajua kuwa vidushelele vichelema haviwakuni vizuri.
Tunapaswa kuwatetea na wanaanewa na kudhalilishwa kama huyu mhanga
Naomba kuwasilisha.
Nakaribisha povu la sabuni za aina zote.
Over!