Wanaume wengi wa kizungu wana pisi kali za kiafrika lakini wanaume wa kiafrika wapo na kina bibi / wanawake wa kawaida wa kizungu

Wanaume wengi wa kizungu wana pisi kali za kiafrika lakini wanaume wa kiafrika wapo na kina bibi / wanawake wa kawaida wa kizungu

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kiukweli huwa nashindwa kung'amua hili jambo.

Unaweza kukuta mzungu wa kawaida kabisa anaweza kutoka na pisi kali ya kiafrika lakini mwanaume wa kiafrika ambaye yupo vizuri tu atajisifia ku date hata na bibi wa kizungu ilimradi ka date na mzungu.

Yani kwa lugha rahisi mzungu anaweza kumpata mwanamke wa kiafrika anayemaka (get what they want) lakini mwanaume wa kiafika atampata mwanamke wa kizungu ataeweza kumpata (get what they can)

ia naweza kusema wanaume wa kizungu wana date na wanawake wa kiafrika kwa vile walivyo kama watu lakini waafrika wanadate na wanawake wa kizungu kwa kitu walichonacho ambacho ni rangi ya kizungu, nywele za kizungu, n.k

Na sio hivyo tu, Mzungu kumpata mwanamke wa kiafrika inaweza isiwe shida kabisa na zaidi ya hapo mwanamke wa kiafrika huenda ndie akawa anafanya kazi kubwa kufanikisha hayo mahusiano, lakini kwa upande mwengine wa wanaume wa kiafrika wao ndio watatumia nguvu kubwa sana ikiwemo kubembeleza mpaka kufeki maisha ili wampate huyo mwanamke wa kizungu bila kujali ni bibi, mmama, bonge, n.k
 
Nadhani unaongelea vice versa aisee, Hawa wazungu wanaokujaga kuokota malayabwa coco beach ndio wanageuza mademu zao ndio Wana pisi Kali??

Hata wanawake wao wanakujaga kubeba marasta na watu flani wanajifanya culture sana ukikuta mzungu kaolewa na jamaa ameenda shule Kali, anasukuma gari kali na anafanya biashara fresh nitafute mzee.

Hao mademu nndio kabisa hakuna kitu sanasana demu au mshkaji akutane nae hukohuko kwao labda alikuwa masomoni.
 
Nadhani unaongelea vice versa aisee, Hawa wazungu wanaokujaga kuokota malayabwa coco beach ndio wanageuza mademu zao ndio Wana pisi Kali??

Hata wanawake wao wanakujaga kubeba marasta na watu flani wanajifanya culture sana ukikuta mzungu kaolewa na jamaa ameenda shule Kali, anasukuma gari kali na anafanya biashara fresh nitafute mzee.

Hao mademu nndio kabisa hakuna kitu sanasana demu au mshkaji akutane nae hukohuko kwao labda alikuwa masomoni.
Umefunga uzi mkuu
Heshima yako
 
Nadhani unaongelea vice versa aisee, Hawa wazungu wanaokujaga kuokota malayabwa coco beach ndio wanageuza mademu zao ndio Wana pisi Kali??

Hata wanawake wao wanakujaga kubeba marasta na watu flani wanajifanya culture sana ukikuta mzungu kaolewa na jamaa ameenda shule Kali, anasukuma gari kali na anafanya biashara fresh nitafute mzee.

Hao mademu nndio kabisa hakuna kitu sanasana demu au mshkaji akutane nae hukohuko kwao labda alikuwa masomoni.
Umefunga uzi mkuu
Heshima yako
Nimeshaweka wazi hapo, wanaume wa kizungu wanatembea na mwanamke wa kiafrika wanaemtaka iwe ni malaya au anajiheshimu kwahio hao wazungu wanaoenda koko coco wanafata preference zao, pia hata kwa wanawake wa kizungu ni hivyo hivyo akienda huko beach kwa mwanaume wa kiafrika anampata kirahisi tu maana ni kama sifa kwa vijana wengi wafrika kulala na mzungu.

Kwa wanaume wafrika wapo kibao tu wenye maendeleo hayo uliyotaja ila wapo na wanawake wa kizungu waliochuja, siongei mimi kusema ni ejitungia, wamarekanj kama kina lil boosie nao wanaelezea hii ishu kwenye hii video, soma comments pia.

Waafrika wanadate na mzungu yotote ilimrandi ngozi.

 
Money is everything,
Humuoni mke wa pogba,
Mke wa sakho,
Mke wa kobe Bryant,

Hao ni mfano tu au itakuwa sijaelewa mada yako.
 
Kiukweli huwa nashindwa kung'amua hili jambo.

Unaweza kukuta mzungu wa kawaida kabisa anaweza kutoka na pisi kali ya kiafrika lakini mwanaume wa kiafrika ambaye yupo vizuri tu atajisifia ku date hata na bibi wa kizungu ilimradi ka date na mzungu.

Yani kwa lugha rahisi mzungu anaweza kumpata mwanamke wa kiafrika anayemaka (get what they want) lakini mwanaume wa kiafika atampata mwanamke wa kizungu ataeweza kumpata (get what they can)

ia naweza kusema wanaume wa kizungu wana date na wanawake wa kiafrika kwa vile walivyo kama watu lakini waafrika wanadate na wanawake wa kizungu kwa kitu walichonacho ambacho ni rangi ya kizungu, nywele za kizungu, n.k

Na sio hivyo tu, Mzungu kumpata mwanamke wa kiafrika inaweza isiwe shida kabisa na zaidi ya hapo mwanamke wa kiafrika huenda ndie akawa anafanya kazi kubwa kufanikisha hayo mahusiano, lakini kwa upande mwengine wa wanaume wa kiafrika wao ndio watatumia nguvu kubwa sana ikiwemo kubembeleza mpaka kufeki maisha ili wampate huyo mwanamke wa kizungu bila kujali ni bibi, mmama, bonge, n.k
Si kweli mzee,wanaume wa kiafrika wanaobeba wanawake wazee wa kizungu ni wale waliopoteza direction pia,hawana kazi hawana maisha,hakuna mwanaume anayejielewa mwenye profile kubwa akaoa mzungu mzee,hata matajiri wanaoenda ulaya kila siku na hukutana na wazungu kila aina kama kina samata still wanakuja kuoa nyumbani!na hao wanaume wa kizungu hawapati wanawake wanaowataka bali ni wale wenye mentality kama hao wanaume wa kibongo,wanawake wenye profile na maisha yao wengi wanatulia na waafrika wenzao ,unless wale wanaohisi wakipata madanga wa kizungu watahesabika wameukata!
 
Nadhani unaongelea vice versa aisee, Hawa wazungu wanaokujaga kuokota malayabwa coco beach ndio wanageuza mademu zao ndio Wana pisi Kali??

Hata wanawake wao wanakujaga kubeba marasta na watu flani wanajifanya culture sana ukikuta mzungu kaolewa na jamaa ameenda shule Kali, anasukuma gari kali na anafanya biashara fresh nitafute mzee.

Hao mademu nndio kabisa hakuna kitu sanasana demu au mshkaji akutane nae hukohuko kwao labda alikuwa masomoni.
Umemmaliza

Ova
 
Kwanza, hivi swala la kuwa na pisi kali ama la ni la kitaifa au kimataifa? Pili, whether or not ni pisi kali inaamuliwa na nani au chombo gani. Huu ni mkusanyiko wa upumbavu mwingi sehemu moja.
 
Ila mamiss Tanzania wengi wana ka ugonjwa ka kupenda kuolewa na Wazungu au kuishi Ulaya.
 
Kwanza, hivi swala la kuwa na pisi kali ama la ni la kitaifa au kimataifa? Pili, whether or not ni pisi kali inaamuliwa na nani au chombo gani. Huu ni mkusanyiko wa upumbavu mwingi sehemu moja.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Boss una point sikupingi ila mbona kama una hasira?
 
vidada vingi vimezaa na vibabu vya kizungu,vijana wa kizungu wachache sana kuja kuoa mwafrika
Ulaya ukishazeeka huna msaada tena unapelekwa kwenye nyumba za kulelea wazee hivyo basi kama una uwezo ndo unakuja Africa kuoa kidemu ili kikulee chenyewe kinaona kimepata kumbe kimepatikana
 
Haa aisee kumbe basi huku vidada vinaona vimepata
Ulaya ukishazeeka huna msaada tena unapelekwa kwenye nyumba za kulelea wazee hivyo basi kama una uwezo ndo unakuja Africa kuoa kidemu ili kikulee chenyewe kinaona kimepata kumbe kimepatikana
 
Kila mtu anajua anachotafuta na kinapatikana wapi na kwa nani? Wanaotafuta vibibi au vibibi na wavulana au wasichana wadogo; wote wanajua wamelenga nini? Kufanikiwa au kushindwa kwao wao wanajua (kila mmoja kwa nafsi yake).
 
Mzungu hachagui...

Waafrica ..anachagua na kutaka Dem awe vile anataka yeye..utadhani Ana uwezo wa kuumba..

Yeye mwenyewe.. hatizamiki..matokeo imekuwa biashara..

Pisi Kali uwe na pesa nzuri..
 
Embu weka picha za Hizo piss Kali na hayo malapulapu tuone aisee.
 
Waafrica wanaoishi ulaya ndio wanamajibu , humu Africa ni wazungu100/1000000 ndio huja kwa kesi tofauti tofauti ila mapenzi hayajawahi kuwa na rangi,kabila pesa uzuri au ubaya.
Mapenzi ni matokeo ya mambo mengi na kila mtu humtokea tofauti na mwingine.
Mzungu. Mwarabu, mhindi wanahisia zile zile ila watu wa nje ndio hulazimisha mwenendo uwe tofauti na asili.
Mulato au half cast ni matokeo ya rangi tofauti ktk kupendana.
Watu wanajadili wazungu kwa sababu ya ukoloni tu!
Vipi wachina, wahindi, warabu nk
Mbona wameoana na waarika weusi tii kwa maelfu ya miaka na kuzalisha mulato kama wamoroco,libya, wasudan, madagascar nk.
Ukija na jambo litazame kwa mapana sio watu wawili watatu tu na unatoa hitimisho.
 
Back
Top Bottom