Wanaume wengi wa kizungu wana pisi kali za kiafrika lakini wanaume wa kiafrika wapo na kina bibi / wanawake wa kawaida wa kizungu

Wanaume wengi wa kizungu wana pisi kali za kiafrika lakini wanaume wa kiafrika wapo na kina bibi / wanawake wa kawaida wa kizungu

Me wengi walio oa wazUngu...ukiangalia sababu yao kuubwaa ni kuogopa limbwata la kiswahili tu na si vinginevyo.....ukiwa na demu wa kizungu unakufa ki halali...km kofi annan alivo kufa kihalali....lkn dem wa kiswahili njaaa kali mwee!! Kwanza hakuamini kuwa weye utaishi nae milele...utaoa mwingine tu... hata ufanyeje....cha kufanya sasa anakuwahi kukuua hasa watoto wakiwa wakubwa...ili arithi mali na wanae tu....wazungu hawana hayo km huna hela wanakuelewa kirahisi na ana hangaika kweli kuzifuata kwao....mswahil wengi mnoo kumi kwa mmoja km huna hela anakuacha ....tena mazimaaa anaolewa na rafiki zako au anawagawia uroda mbele yako.
Oa! zungu! uwe stress free!!
 
Back
Top Bottom