mangosongoo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 256
- 463
Nimegundua watu wengi Wana matatizo ya akili, hasa wanaume na hawakubaliani na hiyo Hali. Mwisho wa siku inakuja kuleta madhara makubwa.
Ushauri wangu nendeni mkajitibu hayo matatizo msije kuua watoto wa watu..
Ushauri wangu nendeni mkajitibu hayo matatizo msije kuua watoto wa watu..