Wanaume wengi wana matatizo ya akili

Wanaume wengi wana matatizo ya akili

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€
 
Kweli kabisa na wanapenda kulazimisha mambo kisa wana pesa. Mtu anakurupuka tu kuoa pisi kali kwa kigezo ana pesa za kumtuliza mwisho wa siku anajikuta anaua

Japo wametoa mapovu hapa ila ukweli wameupata waende kupata tiba sahihi
 
Kweli kabisa na wanapenda kulazimisha mambo kisa wana pesa. Mtu anakurupuka tu kuoa pisi kali kwa kigezo ana pesa za kumtuliza mwisho wa siku anajikuta anaua

Japo wametoa mapovu hapa ila ukweli wameupata waende kupata tiba sahihi
Sasa pisikali zisiolewe? Maana usipokua tajiri utaitwa mme bwege
 
Oa ukiwa shujaa sio kutwa kujishtukia. Kama una uwezo wa wastani onyesha una uwezo huo sio kujiweka juu unamvuta mrembo anakuta yaliyomo sio anaamua kukupiga matukio
Sasa pisikali zisiolewe? Maana usipokua tajiri utaitwa mme bwege
 
Wanawake wengi ndo wagonjwa wa akili.

Wanaume are very humble labda mmoja mmoja ndio wana ukichaa, na ukiwachokoza ndo kichaa chao kinapanda
 
Back
Top Bottom