mangosongoo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 256
- 463
[emoji1787][emoji1787]Una chura?
😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🐸Una chura?
Umegundua?. Kama ugunduzi wako ndio huo basi utakuwa na matatizo ya akili wewe mleta hoja.Nimegundua watu wengi Wana matatizo ya akili,hasa wanaume na hawakubaliani na hiyo Hali ,mwisho wa siku inakuja kuleta madhara makubwa ...
Ushauri wangu nenden mkajitibu hayo matatizo msije kuuwa watoto wawatu..
[emoji23][emoji23][emoji23] nyieee....Hakikisha umempima akili kwanza baba yako
Huna chura,Nimegundua watu wengi Wana matatizo ya akili,hasa wanaume na hawakubaliani na hiyo Hali ,mwisho wa siku inakuja kuleta madhara makubwa ...
Ushauri wangu nenden mkajitibu hayo matatizo msije kuuwa watoto wawatu..
Unaota we mdadaaahh..!!Nimegundua watu wengi Wana matatizo ya akili,hasa wanaume na hawakubaliani na hiyo Hali ,mwisho wa siku inakuja kuleta madhara makubwa ...
Ushauri wangu nenden mkajitibu hayo matatizo msije kuuwa watoto wawatu..
Una ushahidi gani kusapoti uzi wako?! Umeongea kwa kifupi sana bila details kamili. Umetumia kipimo gani au takwimu zipi ?!Nimegundua watu wengi Wana matatizo ya akili,hasa wanaume na hawakubaliani na hiyo Hali ,mwisho wa siku inakuja kuleta madhara makubwa ...
Ushauri wangu nenden mkajitibu hayo matatizo msije kuuwa watoto wawatu..