Wanaume wengi wanapenda kunyenyekewa na kupewa heshima

Wanaume wengi wanapenda kunyenyekewa na kupewa heshima

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
122
Reaction score
186
Kumekuwa na changamoto sana hasa hawa Dada zangu wanao pata mafanikio ya kimaisha, au wamepata kazi nzuri, idadi kubwa ya dada hawa huwa ni single mother Wengine huishia kuwa Mashangazi sijajua shida ni uwezo wa kimaisha walio nao ndio unawatenga na kujihusisha na mahusiano au shida nini....

Lakini mimi nashauri Unyenyekevu na heshima ziendelee kuwako hasa kwa ninyi dada zangu.
Wanaume wengi wanapenda kunyenyekewa na kupewa heshima.

Ukiwa mcha Mungu omba unyenyekevu ili upate Mme wa maisha yako. Lakini sio lazima ukiamua kuishi kama uishivyo pia endelea.
 
Causes are.
A. Presumable.
Most of them presume that their job well enable then to obtain rich husband with towers and vehicles they keep on waiting to the sun set with nothing hence they begin to attend churches for night prayer and fasting with nothing eventually pregnancy with unknown father resulted to single mother.
 
Back
Top Bottom