Ni nadra kuwakuta ila wapo na watu huwadhania ni jinsia tofauti ni mpaka wakijuzwa zaidi lakini mijadala huanza "huyu ni mwanaume kweli?" "huyu ni mwanamke kweli?"
Unamkuta mwanaume ana hormone imbalance ana hips, makalio makubwa, mapaja makubwa, ana sura ya kike, tabia za kike, n.k. vitabu vimasemaje?
Unamkuta mwanaume ana hormone imbalance ana bezi, ndevu, nguvu nyingi, tabia za kiume, n.k. vitabu vimasemaje?
Kwenye mapenzi vilevile huvutiwa zaidi na jinsia ambayo homoni zao huvutiwa nazo, vitabu vimasemaje?
Unamkuta mwanaume ana hormone imbalance ana hips, makalio makubwa, mapaja makubwa, ana sura ya kike, tabia za kike, n.k. vitabu vimasemaje?
Unamkuta mwanaume ana hormone imbalance ana bezi, ndevu, nguvu nyingi, tabia za kiume, n.k. vitabu vimasemaje?
Kwenye mapenzi vilevile huvutiwa zaidi na jinsia ambayo homoni zao huvutiwa nazo, vitabu vimasemaje?