Wanaume wenye mapenzi ya kweli wapo hivi

Wanaume wenye mapenzi ya kweli wapo hivi

Wanaume wenye mapenzi ya kweli na wenye kujitambua mara nyingi huwa ni washamba, hawajui kuvaa, wanesoma sana tena kwa shida, wana hofu na Mungu na wanaenda kanisani, ni wapole.

Hawajui Hii miziki ambayo ina trend, wanakua wanaheshimu wanawake na kuwaona kama dada zake na mama zake. Hawanywi pombe wala kuvuta sigara, hawakai vijiweni.

Hawajui viwanja vya starehe, mwanamke anaweza kumtongoza na akamkataa live bila chenga, akipewa ushauri na wazazi wake anasikiliza na kutekeleza. Suruali havai mlegezo, simu anatumia ya kawaida tu na social media hana picha na hayupo snapchat.
Hili ni tako halisi au ni ahsante kwa Mloganzila? Tuanzie hapo kwanza [emoji847]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Screenshot_2024-04-27-23-13-30-28_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
 
Mbona umenisema? Yaani jinsi nilivyo umekuja kunianika humu!
 
Wanaume wenye mapenzi ya kweli na wenye kujitambua mara nyingi huwa ni washamba, hawajui kuvaa, wanesoma sana tena kwa shida, wana hofu na Mungu na wanaenda kanisani, ni wapole.

Hawajui Hii miziki ambayo ina trend, wanakua wanaheshimu wanawake na kuwaona kama dada zake na mama zake. Hawanywi pombe wala kuvuta sigara, hawakai vijiweni.

Hawajui viwanja vya starehe, mwanamke anaweza kumtongoza na akamkataa live bila chenga, akipewa ushauri na wazazi wake anasikiliza na kutekeleza. Suruali havai mlegezo, simu anatumia ya kawaida tu na social media hana picha na hayupo snapchat.
Mbona kama unanisema mimi, kasoro hapo kwenye ushamba tu
 
Nimejisoma mwenyewe.

Halafu wanawake hawatuelewi kabisa
 
Ukitaka kumtambua mwanaume mwenye mapenzi ya dhati,

Kwanza kabisa usithubutu kumpa moyo wako wote katika kipindi cha awali.

Penzi linapoanza kuchipukia, ni vigumu sana kumtambua mtu kama ana mapenzi ya dhati.
Mapenzi ya kweli huwa hayajifichii, mbona iko wazi hii
 
H
Wanaume wenye mapenzi ya kweli na wenye kujitambua mara nyingi huwa ni washamba, hawajui kuvaa, wanesoma sana tena kwa shida, wana hofu na Mungu na wanaenda kanisani, ni wapole.

Hawajui Hii miziki ambayo ina trend, wanakua wanaheshimu wanawake na kuwaona kama dada zake na mama zake. Hawanywi pombe wala kuvuta sigara, hawakai vijiweni.

Hawajui viwanja vya starehe, mwanamke anaweza kumtongoza na akamkataa live bila chenga, akipewa ushauri na wazazi wake anasikiliza na kutekeleza. Suruali havai mlegezo, simu anatumia ya kawaida tu na social media hana picha na hayupo snapchat.
Huyo ni Mimi kabisa.... Jitu jeusi lenye mtulinga miii
 
Huyo ni mimi isipokuwa kigezo cha mziki. Nafatilia mziki sana maana ndo burudani yangu - kusikiliza.
 
Now days mabinti wengi wa kichaga wanawakimbilia sana vijana wa kisukuma. Sio kwa ubaya ila nadhani wanabeba 60% ya sifa zilizotajwa na mleta uzi
 
Huwa tunawaignore halafu tunawakumbuka baadae... 🤣
 
Mwanaume mwenye hizo sifa Biological hayuko sawa, Ana matatizo makubwa
 
Back
Top Bottom