Wanaume wenye"six pack" hutega wanaume zao sio wanawake

Wengi ni mabaunsa ,!Kuna mmja ukimwona huwezi amini ni mbavu halafu ni miuno feni
 
umenikumbusha ile muvi mfalme anapiga mkono kinyama ila hana marinda.
Kuna nyingine mfalme alikuwa jeuri baada ya jamaa kuona ushauri wake haukubaliki na king akaamua kumwaga Michele kwenye kuku kibao jinsi anavyombomoa mfalme[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo unataka kusema wanamichezo karibu wote(Basketballers kama wacheza kikapu wa NBA, footballers) ni mashoga ? maana mazoezi makali ya tumbo wanayofanya misuli ya tumbo inakaza na six pack zinatokeza .Hebu nioneshe mcheza kikapu wa NBA asiye na six pack. Hizi chuki za kipuuzi zimekuwa zikienezwa sana na wenye vitambi washamba
 
Hivi agrey ana six pack?..
 
Mama mchungaji acha 'generalization'..

sio wote wana hizo tabia.
 
wanaume wa dar au mpaka huku mikoani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…