Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nakusalimia mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] JF Kuna watu wanavituko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] JF Kuna watu wanavituko
Hatari sana [emoji849]Wanavaa mavazi mazuri ya kuwabana vifua vyao kuwatega wanaume wenzao.
Nasemaje wanavaa vikaptula tena vyeupe ila sio kwa ajili yenu wanawake ni kwa wanaume wenzio wanaowageuza.
ITakua huyu bibi kajichanganya kwenye six pack apelekewe moto , akaambulia kuharishiwaSasa nawewe unaongea pumba gani.....?
Stupid
Ahaha..hujawajua walokole vizuri wewe.Ndio hasa tabia zao hizo wengi wao. Wao utulivu hawapendi kabisa kuuona upo mahala..Dona unapenda kuzua taharuki, una tabia ya kutokupenda amani?
Miuno feni ya mwanaume mwenzio uliionaje?Wengi ni mabaunsa ,!Kuna mmja ukimwona huwezi amini ni mbavu halafu ni miuno feni
Ni kweli ila Leo kazingua.Mtoa mada wala hana shida mkuu mada zake huwa ni za moto sana.
Huyo ni weweWengi ni mabaunsa ,!Kuna mmja ukimwona huwezi amini ni mbavu halafu ni miuno feni
SubhanAllah!🤔Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Niende kwenye mada isemayo wanaume wenye six pack ni kwa ajili ya wanaume wenzao sio wanawake.
Wanaume hao baadhi yao hutumiwa na vigogo kuwaburudisha.
Wengi wao uanaume haupo tena ila kwa nje wanaonekana ni wanaume.
Ni jambo la kusikitisha kwakweli wanaume hasa vijana wetu wa sasa.
Kutwa wanaume hao wanashinda JIM kwa kufanya mazoezi kwa lengo la kuwinda yaani kutega wanaume wenzao.
Ajabu ni kuwa wanawake hudhania kuwa wanaume Hawa hufanya mazoezi kwaajili yao wao, kumbe sio.
Unakuta wanawake wanavutiwa nao sana lakini hawana uanaume.
Wengi wao wameshabomolewa huko nyuma zamani wamebaki na vifua tu.
Wanavaa mavazi mazuri ya kuwabana vifua vyao kuwatega wanaume wenzao.
Nasemaje wanavaa vikaptula tena vyeupe ila sio kwa ajili yenu wanawake ni kwa wanaume wenzio wanaowageuza.
Nyie wanawake endeleeni kuwapenda hao wanaume ila hawana mpango na nyie wao. Wanawinda kama nyie mnavyowinda.
Kuna mwanamke mmoja analia kwa kwikwi hapa aliolewa na six pack Sasa anajutraaa...
Lokole Ana six packsHivi agrey ana six pack?..
Mwanaume anashinda wapiMwanaume halisi,utashindaje jim?
Mhm hizi story sasa mnatia chumviHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Niende kwenye mada isemayo wanaume wenye six pack ni kwa ajili ya wanaume wenzao sio wanawake.
Wanaume hao baadhi yao hutumiwa na vigogo kuwaburudisha.
Wengi wao uanaume haupo tena ila kwa nje wanaonekana ni wanaume.
Ni jambo la kusikitisha kwakweli wanaume hasa vijana wetu wa sasa.
Kutwa wanaume hao wanashinda JIM kwa kufanya mazoezi kwa lengo la kuwinda yaani kutega wanaume wenzao.
Ajabu ni kuwa wanawake hudhania kuwa wanaume Hawa hufanya mazoezi kwaajili yao wao, kumbe sio.
Unakuta wanawake wanavutiwa nao sana lakini hawana uanaume.
Wengi wao wameshabomolewa huko nyuma zamani wamebaki na vifua tu.
Wanavaa mavazi mazuri ya kuwabana vifua vyao kuwatega wanaume wenzao.
Nasemaje wanavaa vikaptula tena vyeupe ila sio kwa ajili yenu wanawake ni kwa wanaume wenzio wanaowageuza.
Nyie wanawake endeleeni kuwapenda hao wanaume ila hawana mpango na nyie wao. Wanawinda kama nyie mnavyowinda.
Kuna mwanamke mmoja analia kwa kwikwi hapa aliolewa na six pack Sasa anajutraaa...
Anakula na kuliwa huyoMiuno feni ya mwanaume mwenzio uliionaje?
KwakweliMkuu Msamehe Bure Maana Stress Ni Nyingi
😁😁Ni kweli ila Leo kazingua.
Korean drama.umenikumbusha ile muvi mfalme anapiga mkono kinyama ila hana marinda.
Nan mtoa mada au?Comment yako itatuonesha una Packs ngapi?