Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

Wewe nae hauna akili. Unatongoza mwanamke ambaye unafanya nae kazi ofisi moja? [emoji848]

Kuna shida nyingi, inaweza kutokea. Mfano, boss anamfokea mbele yako au unafokewa mbele yake utajiskiaje?

Anatukanana na mwenzake au wamepishana kauli hapo unafanyaje?

Sikushauri kabisa haya mambo achana nayo.

Kwasababu umeshaharibu tayari unachotakiwa kufanya ni kumuendea taratibu huyo binti. Fanya kama ulienda kwa pupa then unajipanga upya.

Mwanamke akikukataa si kwamba wewe ni mbaya ila tafasiri yake ni kuwa kuna mambo mengine ambayo yanamuwia ugumu kukukubalia wakati mkiwa katika mazingira hayo ya kazini.

Inaweza kuwa ni mpo ofisi moja, umemuendea speed sana alitaka mzoeane taratibu kabla hajakuona kama mpenzi, haujajiweka vizuri kuwa mwanaume ambaye atamuamini na kupresent kwa wenzake kuwa huyu ni mtu wangu.
 
Kuwa na relationship na workmate si nzuri sana mkuu. Ila kwasababu imeshatokea potezea hiyo ishu, usiwaze tena, baada ya muda utaona life inaendelea kama kawaida.

Kwenye hii dunia mwanaume kupatwa na aibu labda ithibitishwe una tabia kama za kina lokole, lakini hayo mengine hayakoseshi mtu usingizi.

Manzi kama alikukataa kistaarabu endelea kumsalimia tu mnapokutana, ila kama alikusuta wakati wa kibuti, usimpe tena attention, itamuuma tu. Hawa viumbe hata kama amekupa kibuti, ukikata attention kwake anakosa furaha.
 
Habarini,

Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha ndoano, mbaya zaidi kimoyomoyo unamchukulia serious, kipindi chote ulichokaa nae hapo ofisini, kwa tabia zake unaona huyu akinikubalia tukiendana, anafaa kuoa, unamtongoza halafu anakukataa.

Ukute na hapo ofisini ana marafiki zake wengine wa kike, obviously ukimtongoza akikukataa, kwenye story zao atawaambia rafiki zake wa kike kuwa flani alimtongoza akakataa, hivyo CV/status yako kwa ujumla kwenye hiyo kampuni/mbele ya co-workers inashuka.

Mbaya zaidi unakuwa unaonana nae kila siku, heri angekuwa wa mtaani ukimtongoza akikataa unabadili njia ya kupita, sasa unamuona everyday, mara paap siku zinaenda unaona ameletewa posa, kaolewa, mara kapata ujauzito, na wewe uko hapo hapo. Sipatii picha hiyo awkwardness

How does it feel as a man, that pain, that embarrassment, all that effort uliyoweka, all that respect is flushed down the toilet. Unabaki unacheka usoni, moyoni umejaa maumivu na aibu

Hii scenario mimi binafsi haijanikuta in real life, ila najaribu tu ku-imagine.

Huu uzi bila comment ya Extrovert hautanoga
Mchangamkie usionyeshe kumnunia, halafu ulitakiwa umtongoze kiujanja ujanja usiende Direct.
 
Extrovert ukishakamata co-worker mwingine, sijui kwasababu zipi yule aliyekupa kibuti huwa anaumia!
Hizo ndio mbinu za kimedani, yule aliokataa lazma atajaa tu kwenye mfumo😂 unachotakiwa ni kujifanya humjali tena ili awahi kurudi kwako.
 
Hizo ndio mbinu za kimedani, yule aliokataa lazma atajaa tu kwenye mfumo😂 unachotakiwa ni kujifanya humjali tena ili awahi kurudi kwako.
Extrovert Yes, humpi tena attention lazima awe mdogo.

Nimekuja kugundua hata kutokumpa salamu yako mwanamke yeyote unapokutana nae ni miongoni mwa technique za kumnyima attention yako na hata hiyo kutosalimiwa huwa inawaumiza wanawake.
 
Wanaume wenzako huwa hatutongozi wafanyakazi wenzetu wala kuleta mapenzi sehemu za kazi.

Hii ni torat

Kuna mwaka, nimetongoza boss wangu mwanamke tena kwa kumwambia nataka nimtomb😉 ila akakataa... Wala sikuogopa na kuona aibu nilimjibu tu siku ukiwa tayari muda wowote niambie nile mzigo...
Alijifanya kukasirika ila mimi sikuzote sikuonyesha kuogopa au kumuonea aibu... Kuna siku ijumaa tumetoka kazin nikamuomba lift na gari yake anisogeze, akakubali vzuri tu... Tupo njian akaniuliza Asamaleko hivi kwanin huna adabu ulinitongoza dada yako nimekuzid umri..?
Nikajitoa akili nikamjibu umri umenizidi ila kuna vitu huwez kunizidi tukikutana mimi na wewe chumban 6×6... Akanijibu mmmh ila una confidence hatari...
Nikamjibu nishushe hapo mbele ninunue bia nikanywee nyumban nilale maana usingiz wa kibachela unaleta baridi... Akaniuliza kwani unaishi pekeako? Nikamjibu embu leo boss wangu twende ukapajue kwangu kama vipi nisubiri ninunue bia then twende...
Nikashuka kwenye gari yake nikaenda kununua bia zangu huku nikiamini nikirudi nitakuta kaondoka... Heeee narudi nakuta ananingoja 😅 nikaingia ndan ya gari hadi home kwangu...
Akapaki nje ya geti, tukafika ndani akaishia kusimama sitting room, akasema nishapajua naondoka sasa 😅 wanawake wajinga sana, nikamwambia kaa chini ukalie sofa zangu zipate joto na baridi, halafu upumzike kidogo unawahi kwako umeahidiwa kukojozwa..? akaishia kucheka na kusema nina akili mbovu nawaza matusi tu (kimoyo moyo nikajua huyu leo namtomb😅...)
Nikaenda kukaa alipokaa nikamfungulia na yeye bia, nikaanza kumwambia leo ikikupendeza sasa unipe utamu niliokuomba siku ile ambayo ukaishia kunikatalia lakini pia kama haupo tayari jisikie huru kusema hapana...
Akaanza kuona aibu, sikumpa nafas ajibu nikapitisha mkono chini blauz nikamshika kiuno nyama kwa nyama, nikaanza kupitisha kidole gumba kwenye mzunguko wa chupi yake, nikaona kaanza kurukaruka kama bisi nyie watoto wa skuli bus mnaita popcorn... Basi nikamsogeza jirani zaidi akaonyesha kama hataki ila anataka, kosa alilofanya ni kukubali nikamkumbatia nikamla mate nikapitisha mkono chini ya sketi nikabenjua chupi nikaanza kumpima oil dakika sifuri kaloa...

Wakuu acheni umalaya mtakufa kwa uzinzi hii ni CHAI tu haina sukari wala majani ukiiependa ichukue...
Mkuu ata mimi nimemtogoza kipngozi wangu wakike naona anaingia ndani ya box.
 
Ni mbaya sana uki imagine ila chemistry ya manzi na wewe itakuelekeza kabisa kwamba huyu nikitia voko ni bie au cha mbavu
 
Mimi sijawahi kutongoza mwanamke nikakataliwa. Kwanza wao ndio huwa wananitongoza.

Hivi kumbe kuna kukataliwa?? Mbona hamsemagi mmeficha hii siri miaka yote hii?

Hata akikukataa shida iko wapi? Kwani ni mama akoo?

Mwambie apite kushoto kisha CHAPA KAZI.

Nasema C.H.A.PA K.A.Z.I.

Cc Lamomy Depal
Weeh wizo kumbe unatongozaga mademu.?? 😂😂😂
Mwamba wa kaskazini umemsikia wizo huku 🤣
 
Back
Top Bottom