Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Wewe nae hauna akili. Unatongoza mwanamke ambaye unafanya nae kazi ofisi moja? [emoji848]
Kuna shida nyingi, inaweza kutokea. Mfano, boss anamfokea mbele yako au unafokewa mbele yake utajiskiaje?
Anatukanana na mwenzake au wamepishana kauli hapo unafanyaje?
Sikushauri kabisa haya mambo achana nayo.
Kwasababu umeshaharibu tayari unachotakiwa kufanya ni kumuendea taratibu huyo binti. Fanya kama ulienda kwa pupa then unajipanga upya.
Mwanamke akikukataa si kwamba wewe ni mbaya ila tafasiri yake ni kuwa kuna mambo mengine ambayo yanamuwia ugumu kukukubalia wakati mkiwa katika mazingira hayo ya kazini.
Inaweza kuwa ni mpo ofisi moja, umemuendea speed sana alitaka mzoeane taratibu kabla hajakuona kama mpenzi, haujajiweka vizuri kuwa mwanaume ambaye atamuamini na kupresent kwa wenzake kuwa huyu ni mtu wangu.
Kuna shida nyingi, inaweza kutokea. Mfano, boss anamfokea mbele yako au unafokewa mbele yake utajiskiaje?
Anatukanana na mwenzake au wamepishana kauli hapo unafanyaje?
Sikushauri kabisa haya mambo achana nayo.
Kwasababu umeshaharibu tayari unachotakiwa kufanya ni kumuendea taratibu huyo binti. Fanya kama ulienda kwa pupa then unajipanga upya.
Mwanamke akikukataa si kwamba wewe ni mbaya ila tafasiri yake ni kuwa kuna mambo mengine ambayo yanamuwia ugumu kukukubalia wakati mkiwa katika mazingira hayo ya kazini.
Inaweza kuwa ni mpo ofisi moja, umemuendea speed sana alitaka mzoeane taratibu kabla hajakuona kama mpenzi, haujajiweka vizuri kuwa mwanaume ambaye atamuamini na kupresent kwa wenzake kuwa huyu ni mtu wangu.