Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia maisha yako kwa sasa time heal brother huyo si wakoPole Sana ndugu yangu stori yako ilitaka kufanana na yakwangu japo yangu Ina utofauti kidoogo Mimi niliishi na mwanamke mmoja iv mjita nilibahatika kupata nae mtoto mmoja wakiume tulimlea Hadi miaka mitatu pamoja, picha likaanzia hapo mwanamke akaniambia amepata kazi ambayo kazi hiyo atalipwa laki 3 Hadi 3 na 60 yeye Ni mwalimu wa English Medium, babaake Ni mwalimu,mamaake Ni mwalimu pia,akanambia amepata kazi na mkuu wa hiyo shule Ni babaake Mzazi na nikweli ilikuwa hivyo .. nilimruhusu akaenda tuliwasiliana Ila kwa bahati mbaya Mimi maisha yalikuwa magumu kidogo upande wangu..ilifika wakati nilishindwa hata kutuma chochote kwa familia ikafika wakati nilikuwa nawasiliana na mama mkwe wangu kwakua nilishajitambulisha kwa wazazi tunafahamika, kipindi hicho nikiwa na maisha magumu mama mkwe Kuna wakati alikua alinipigia simu naogopa mpaka kupokea kuhofia ataniuliza mbona situmi chochote?? Ikafika wakati mama mkwe akampigia mama yangu Mzazi simu na kumlalamikia Mimi kutokupokea simu zake na neno la mwisho alimwambia mwambie mwanao atafute mwanamke mwingine aoe ...Baadae nilimtafuta mama mkwe nikazungumza nae na kumuelewesha Hali halisi lakini alionyesha kutonielewa sababu zangu za Hali ngumu, baadae Mzazi mwenzangu alinitafuta na kuniambia anahitaji ndoa, yeye na mwanangu wananipenda Sana Ila baada ya muda mfupi Sana nikamwambia bas Rudi tuishi wote Kuna namna nimejiongeza nimejiajiri Kuna kipato nakipata kwa Sasa, Ila chaajabu kwa muda huo mfupi mwanamke aliaanza kubadilika akawa na kiburi chaajabu majibu ya shortcut,nikala block Facebook,na whatssup Mara whatssup akaniunblock, nk.nilianza utafuti wangu taratibu tik Tok nikagundua Kuna jamaa mmoja anawatoto watatu ana gari Ni game ranger huyo jamaa na amejenga nyumba mpya ndo anahamia kumbe huyo jamaa amemshawishi Mzazi mwenzangu kwamba anamuoa amepiga picha anampost mzazi mwenzangu wakiwa wameshikana pamoja.wanapigana mabusu ya emoj nilipoonyesha kulitambua Hilo na kumbemveleza mzaz mwenzangu she tufunge ndoa alinijibu kwamba tumlee tu mtoto Mimi na yeye haikupangwa kuwa pamoja sababu nilimtelekezea mtoto kipindi chote kwaiyo ameamua kuishi na mwanaume mwingine na mwanaume huyo amemuelewa na anafahamu kwamba Mzazi mwenzangu anamtoto so amekubali kumuoa hivyo hivyo... So Wana jf naombeni pia mnishauri namimi kupitia stori yangu Hii ninini nifanye maana ninembembeleza Sana anirudie Ila unaonyesha ameingiwa na tamaa za Mali za yule jamaa game ranger??![emoji120]
[emoji817]Angalia maisha yako kwa sasa time heal brother huyo si wako
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Inakulazimu umtengenezee maisha huyo dada,vinginevyo jiandae kulipa gharama ya ulichokifanya.Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.
Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni. Mama yake sikumuoa nilioa mwanamke mwingine ila mtoto ninaishi nae mimi. Kitu hiki ndo kinanifanya kuwa na majuto kitendo nilichomfanyia mama yake. Daa kinaniumiza sana sometime nawaza bora ningemuoa mama yake.
Kipindi nipo chuo mwaka wa 3 naingia. Mwaka wa kwanza ndo walikuwa wanafika chuoni. Sasa si unajua mambo ya chuo mabinti wapya kutoka form 6 ndo wanakuja. Vijana mambo ya chuo naamini mnaelewa. Sasa nikamuona binti mmoja, nikaanza kumvizia sana, nakumbuka kipindi kile na rafiki zangu tulikuwa tunagawana mabinti, mimi huyu wewe yule.
Nilizoeana nae na kuanza kumfuata ili kuanzisha mahusiano nae. Nilijitahidi kuvizia na kupeana mbinu wa friends. Wenzangu walifanikiwa baadhi hadi kuwa nao first year. Ila mimi bado ananiangaisha.
Yeye alisema issue ya mahusiano hapana labda kuwa friends kawaida tuu. Mimi nikaona poa ila bado namvizia yule dada. Japo alikuwa mgumu sana.
Siku moja chuoni night watu walikuwa wanafanya discussion. Sasa nilikuwa na yule binti night siku ile tulipiga story kadhaa. Nilipanga kusex nae anytime nitakapo pata chance.
Siku ile nilipanga leo ni leo nitafanikiwa. Nakumbuka niseme kwa kifupi tuu nilimlaghai sana kwa kumshika shika akawa anasema tuu acha. Baadae akatoka akaamua kuondoka kurudi hostel, mimi nilikuwa sikai mbali na chuoni ghetto langu ni maeneo hayo ya chuoni tuu.
Nilimshikashika mpk akasema usinishawishi kuzini mimi siitaji.
Niliendelea tu.
MWISHOWE alilainika na akajikuta anakubali , nilienda nae ghetto tukasex na alilala mpk morning.
Asubui anashituka daa nikamkuta analia sana na kunilaumu, aliondoka na kwenda hostel .
Hatukuwa karibu kama 2 weeks hivi. Baada ya wiki 3 na siku kadhaa akaniambia siku zake haziona. Mimi eeeeeee. Nilishituka sana. Kumbe siku ile alikuwa siku zake za hatari . Nikili tuu nilitake risk sikutumia condom.
Niliisi kama kuchanganyikiwa hivi nikaona au ananimbambikizia nini. Niliwaeleza wadau wakasema Katoe , mimi daaa kitu hicho sijawahi hata kufanya , nikimuangalia binti yeye namuona she is not okay muda wote mpk wenzie wanamuliza shida nini.
Nikaa kimya tuu siku zinaenda naona tumbo hilo. Baada ya miezi kama 3 hivi ujauzito ukaanza kumsumbua sana. Mpk akaanza kunilaumu mimi. Akalazimika kwenda kwao. Kwao walimzingua sana tena sana.
Alikuwa ananipigia simu huku akinilaumu kwa siku ile.
Akalazimika kusitisha chuo. Baada ya kujifungua mimi nilikuwa nishamaliza chuo.
Mbaya zaidi akajifungua kwa operation mda wa kukaa home ndo ukazidi.
Akarudi chuo wenzie wako mwaka wa 3 yeye anaendelea na semester ya 2 mwaka wa kwanza. Mshono wa operation ulimsumbu sana.
Mimi nilisena tuu home wakanitupia maneno sana kwani wazazi wangu ni watu wa dini sana. Tukio lile lilinifanya niache kuzini kabisa.
Ila baadae nilikutana na binti mwingine. Na kumuoa .
Japo mama alinisisitiza sana muoe mama mtoto wako. Kwa sababu pale umemuaribu mtoto wa watu. Mimi wala sikujali.
Ila mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.
Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake.
Kwa sasa anaumri wa miaka 32. Rafiki zake wote tayari wameolewa ila yeye bado , mara nyingi anakuwa ni mtu wa huzuni sana , she is not happy always.
Hiki kitu mara nyingi kinaniumiza sana , maana naona kama nimemuaribia maisha binti wa watu.
Na mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.
Daaa we acha .
KAMA NIMEKOSEMA UANDISHI NAOMBA RADHI.🤲🙏🙏🙏
Huu ni uanaume kama kweli anaweza amsapoti. Jamaa anajuta mana nayee ana binti, wengi wakipata watoto akili za maisha zinakaa sawa. Binti yako yamkute hayaaa, walaaahiKama uchumi unaruhusu fanya hima muinue kiuchumi nae yeye.
Akimsaidia bado atapata lana?Inakulazimu umtengenezee maisha huyo dada,vinginevyo jiandae kulipa gharama ya ulichokifanya.
Nauona mwisho wa maisha yako kuwa mbaya,endapo hutamsaidia huyo mzazi mwenzako kimaisha.
Hata utubu vipi,gharama ni lazima ilipwe.
Kama alivyolipa Yesu pale msalabani.
Mungu akusaidie.
So sadHabari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.
Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni. Mama yake sikumuoa nilioa mwanamke mwingine ila mtoto ninaishi nae mimi. Kitu hiki ndo kinanifanya kuwa na majuto kitendo nilichomfanyia mama yake. Daa kinaniumiza sana sometime nawaza bora ningemuoa mama yake.
Kipindi nipo chuo mwaka wa 3 naingia. Mwaka wa kwanza ndo walikuwa wanafika chuoni. Sasa si unajua mambo ya chuo mabinti wapya kutoka form 6 ndo wanakuja. Vijana mambo ya chuo naamini mnaelewa. Sasa nikamuona binti mmoja, nikaanza kumvizia sana, nakumbuka kipindi kile na rafiki zangu tulikuwa tunagawana mabinti, mimi huyu wewe yule.
Nilizoeana nae na kuanza kumfuata ili kuanzisha mahusiano nae. Nilijitahidi kuvizia na kupeana mbinu wa friends. Wenzangu walifanikiwa baadhi hadi kuwa nao first year. Ila mimi bado ananiangaisha.
Yeye alisema issue ya mahusiano hapana labda kuwa friends kawaida tuu. Mimi nikaona poa ila bado namvizia yule dada. Japo alikuwa mgumu sana.
Siku moja chuoni night watu walikuwa wanafanya discussion. Sasa nilikuwa na yule binti night siku ile tulipiga story kadhaa. Nilipanga kusex nae anytime nitakapo pata chance.
Siku ile nilipanga leo ni leo nitafanikiwa. Nakumbuka niseme kwa kifupi tuu nilimlaghai sana kwa kumshika shika akawa anasema tuu acha. Baadae akatoka akaamua kuondoka kurudi hostel, mimi nilikuwa sikai mbali na chuoni ghetto langu ni maeneo hayo ya chuoni tuu.
Nilimshikashika mpk akasema usinishawishi kuzini mimi siitaji.
Niliendelea tu.
MWISHOWE alilainika na akajikuta anakubali , nilienda nae ghetto tukasex na alilala mpk morning.
Asubui anashituka daa nikamkuta analia sana na kunilaumu, aliondoka na kwenda hostel .
Hatukuwa karibu kama 2 weeks hivi. Baada ya wiki 3 na siku kadhaa akaniambia siku zake haziona. Mimi eeeeeee. Nilishituka sana. Kumbe siku ile alikuwa siku zake za hatari . Nikili tuu nilitake risk sikutumia condom.
Niliisi kama kuchanganyikiwa hivi nikaona au ananimbambikizia nini. Niliwaeleza wadau wakasema Katoe , mimi daaa kitu hicho sijawahi hata kufanya , nikimuangalia binti yeye namuona she is not okay muda wote mpk wenzie wanamuliza shida nini.
Nikaa kimya tuu siku zinaenda naona tumbo hilo. Baada ya miezi kama 3 hivi ujauzito ukaanza kumsumbua sana. Mpk akaanza kunilaumu mimi. Akalazimika kwenda kwao. Kwao walimzingua sana tena sana.
Alikuwa ananipigia simu huku akinilaumu kwa siku ile.
Akalazimika kusitisha chuo. Baada ya kujifungua mimi nilikuwa nishamaliza chuo.
Mbaya zaidi akajifungua kwa operation mda wa kukaa home ndo ukazidi.
Akarudi chuo wenzie wako mwaka wa 3 yeye anaendelea na semester ya 2 mwaka wa kwanza. Mshono wa operation ulimsumbu sana.
Mimi nilisena tuu home wakanitupia maneno sana kwani wazazi wangu ni watu wa dini sana. Tukio lile lilinifanya niache kuzini kabisa.
Ila baadae nilikutana na binti mwingine. Na kumuoa .
Japo mama alinisisitiza sana muoe mama mtoto wako. Kwa sababu pale umemuaribu mtoto wa watu. Mimi wala sikujali.
Ila mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.
Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake.
Kwa sasa anaumri wa miaka 32. Rafiki zake wote tayari wameolewa ila yeye bado , mara nyingi anakuwa ni mtu wa huzuni sana , she is not happy always.
Hiki kitu mara nyingi kinaniumiza sana , maana naona kama nimemuaribia maisha binti wa watu.
Na mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.
Daaa we acha .
KAMA NIMEKOSEMA UANDISHI NAOMBA RADHI.🤲🙏🙏🙏
Hongera sana mkuu,ishi hivyo hivyoNaomba Mungu tu azidi kunisimamia.
Honestly mpaka hapa kwa umri huu wa utu uzima, sina majuto serious ya kuniumiza moyo wangu. Sina kwakwel. Inawezekana ndio sababu sijatajirika bado maana kila hatua yangu iko too much calculated. Huwa naishi kwa concept ya kuogopa sana sana kumsababishia mtu mwingine maumivu. Naogopa sana kuwaumiza watu kwakwel.
Salute kwako mkuu[emoji123]this is jfInaweza isiwe tamaa ya mali za huyo mwamba, ynaweza kuwa mapemz halisi tu man. Hii wewe haipaswi kuwa buzness yako kuwaza why madam kampenda mchiZ, haikuhusu sana kabisaa. Kikubwa kama yeye kakutema mwanangu we kubaliana na hali mtakie maisha mema aendelee na life lake na wewe take advantage ya hii time period kujipanga. Maana kama imefikia hatua hata mama mkwe amekosa adabu kumtamkia maza ako manenonya hovyo hayo kwamba we tafuta mwanamke mwimgine bas man usijizime data kujifanya huelewi kwamba hapo hutakiwi na hupendwi, sio tu na manz bal mpaka wazaz wake.
Usijivike harakati za kutaka kuonyesha umwamba kwasasa kwa kuanza ku file kesi za kumchukua mwanao, hapana, achana na ugomvi huu wa kitoto. Kwasasa potea kabisa, achana na habar za kuwatafuta sijui kumjulia hali dogo janja ,acha hizo pigo. Tumia wakat huu kujitafuta mpaka ujipate. Jitafute kwel kwel bwana mzee sio mapambano ya kimaonyesho wala kimzaha mzaha. Pambana kwel man. Piga kaz sana kwa hiki kipindi ambacho bado mapenz yao yako hot na husumbuliwi pesa ya malezi.
Mwisho wa siku ukifanikiwa na kuwa na pesa, bas wanawake utawaona wa kawaida sanaa kama ambavyo yeye sasa hiv anakuona huna maana. Why? Huna was nani atakubabaisha na uko well of?
NB
Usijitume kutafuta maisha kwa lengo la kumvumbia huyo manzi.
Duh,pole sana mkuu,unachopitia ni kama mimi tu,inaumiza sana kuishi na mtu na kuweka malengo ya pamoja halafu badae anageuka,moyo unauma sanaTatizo sio kuisha kwa wanawake ndugu Tatizo Ni kupenda binadamu tunatofautiana nduguangu Kuna Sina ya binadamu ambao akishapenda amependa hatamani kubadilisha badilisha mtu na kikubwa zaidi tamaa yangu ilikua kuzaa watoto wangu wote na mwanamke mmoja Tu isiwe kila mtoto na mama yake hiyo kitu sipendezwi nacho kabisa binafsi afu pia niliingia mazima kwa yule mwanamke nilimpenda mno nikiamini ndio huyo tu pekee atakuwa wakwangu mazima,kilichoniuma zaidi Ni december tu 2022 Katika sikukuu ya kuzaliwa mwanangu huyo Mzazi mwenzangu alinitumia message akisema, nimemiss Sana penzi lako, Mimi na mwanao tunakupenda Sana na akanambia anatamani ndoa anataka nifunge nae ndoa, baada ya hayo maneno haraka nilinunua pete ili nimfanyie surprise,kumbe nayeye alikua na surprise yake ya kuniumiza maskin wa Mungu et baada ya mwaka tu kuisha akaanzisha mahusiano mapya ....Ni kitu kilichoniumiza mno na baada ya kumpigia na kuzungumza nae alionyesha kunificha kuwa Hana mahusiano bila kujua Mimi nimefatilia tik Tok anavyopostiwa na wanavopigana ma emoj ya mabusu baada ya Mimi kumtajia na majina ya mwanaume huyo ndio akaanza kuniweka wazi nilimuomba msamaa Kama nilimkwaza turudiane tufunge ndoa na tulee mtoto et Kuna wakati ananambia atakuja tuzungumze Mara wakati mwingine Tena aniambie et nikisema Mimi na wewe turudiane ntakuwa nakudanganya tu..hayo majibu yalinikatisha tamaa sana kwa hasira hata Ile Pete japo sikuwahi kumwambia kwamba nilinunua Ila ilibidi niitupe mbali Sana kwa hasira kwakwel Katika tukio limeniumiza katka maisha tangu nizaliwe Ni hili tukio kwakwel Ila mapenzi hayalazimishwi acha nimwachie Mungu tu. Nimeshukuru kwa yote.
YessNi kweli umemharibia
Na ulipata wazazi wasiojali maisha ya watt wa wengine
Wazazi wengine wasingekubali uoe mwanamke mwingine!
Trust me maisha yako Kwa ss unaweza kuona mazuri ila ni suala la muda,utakuja kuona unavyoporomoka kwenye Kila eneo
!
Wanawake tuko so emotional,na tunapokua hivyo hujui nn kinatamkwa na huyo dada
Mkuu muoe wewe ongea na mwenzako na kama mna upendo mnakaa wote nyumba Moja 😊Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.
Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni. Mama yake sikumuoa nilioa mwanamke mwingine ila mtoto ninaishi nae mimi. Kitu hiki ndo kinanifanya kuwa na majuto kitendo nilichomfanyia mama yake. Daa kinaniumiza sana sometime nawaza bora ningemuoa mama yake.
Kipindi nipo chuo mwaka wa 3 naingia. Mwaka wa kwanza ndo walikuwa wanafika chuoni. Sasa si unajua mambo ya chuo mabinti wapya kutoka form 6 ndo wanakuja. Vijana mambo ya chuo naamini mnaelewa. Sasa nikamuona binti mmoja, nikaanza kumvizia sana, nakumbuka kipindi kile na rafiki zangu tulikuwa tunagawana mabinti, mimi huyu wewe yule.
Nilizoeana nae na kuanza kumfuata ili kuanzisha mahusiano nae. Nilijitahidi kuvizia na kupeana mbinu wa friends. Wenzangu walifanikiwa baadhi hadi kuwa nao first year. Ila mimi bado ananiangaisha.
Yeye alisema issue ya mahusiano hapana labda kuwa friends kawaida tuu. Mimi nikaona poa ila bado namvizia yule dada. Japo alikuwa mgumu sana.
Siku moja chuoni night watu walikuwa wanafanya discussion. Sasa nilikuwa na yule binti night siku ile tulipiga story kadhaa. Nilipanga kusex nae anytime nitakapo pata chance.
Siku ile nilipanga leo ni leo nitafanikiwa. Nakumbuka niseme kwa kifupi tuu nilimlaghai sana kwa kumshika shika akawa anasema tuu acha. Baadae akatoka akaamua kuondoka kurudi hostel, mimi nilikuwa sikai mbali na chuoni ghetto langu ni maeneo hayo ya chuoni tuu.
Nilimshikashika mpk akasema usinishawishi kuzini mimi siitaji.
Niliendelea tu.
MWISHOWE alilainika na akajikuta anakubali , nilienda nae ghetto tukasex na alilala mpk morning.
Asubui anashituka daa nikamkuta analia sana na kunilaumu, aliondoka na kwenda hostel .
Hatukuwa karibu kama 2 weeks hivi. Baada ya wiki 3 na siku kadhaa akaniambia siku zake haziona. Mimi eeeeeee. Nilishituka sana. Kumbe siku ile alikuwa siku zake za hatari . Nikili tuu nilitake risk sikutumia condom.
Niliisi kama kuchanganyikiwa hivi nikaona au ananimbambikizia nini. Niliwaeleza wadau wakasema Katoe , mimi daaa kitu hicho sijawahi hata kufanya , nikimuangalia binti yeye namuona she is not okay muda wote mpk wenzie wanamuliza shida nini.
Nikaa kimya tuu siku zinaenda naona tumbo hilo. Baada ya miezi kama 3 hivi ujauzito ukaanza kumsumbua sana. Mpk akaanza kunilaumu mimi. Akalazimika kwenda kwao. Kwao walimzingua sana tena sana.
Alikuwa ananipigia simu huku akinilaumu kwa siku ile.
Akalazimika kusitisha chuo. Baada ya kujifungua mimi nilikuwa nishamaliza chuo.
Mbaya zaidi akajifungua kwa operation mda wa kukaa home ndo ukazidi.
Akarudi chuo wenzie wako mwaka wa 3 yeye anaendelea na semester ya 2 mwaka wa kwanza. Mshono wa operation ulimsumbu sana.
Mimi nilisena tuu home wakanitupia maneno sana kwani wazazi wangu ni watu wa dini sana. Tukio lile lilinifanya niache kuzini kabisa.
Ila baadae nilikutana na binti mwingine. Na kumuoa .
Japo mama alinisisitiza sana muoe mama mtoto wako. Kwa sababu pale umemuaribu mtoto wa watu. Mimi wala sikujali.
Ila mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.
Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake.
Kwa sasa anaumri wa miaka 32. Rafiki zake wote tayari wameolewa ila yeye bado , mara nyingi anakuwa ni mtu wa huzuni sana , she is not happy always.
Hiki kitu mara nyingi kinaniumiza sana , maana naona kama nimemuaribia maisha binti wa watu.
Na mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.
Daaa we acha .
KAMA NIMEKOSEMA UANDISHI NAOMBA RADHI.🤲🙏🙏🙏
Asante Sana Ndugu yangu inaumiza mno kinachouma zaidi niliandaa Pete ya gharama nimfanyie surprise kumbe nayeye aliandaa Surprise yake ya kuniumiza😔Amenivunja moyo mno na Ameshakubali kuvishwa na Pete asee.mmh haya mapenzi usiingie kichwa kichwa Jamani Kuna kufa.Duh,pole sana mkuu,unachopitia ni kama mimi tu,inaumiza sana kuishi na mtu na kuweka malengo ya pamoja halafu badae anageuka,moyo unauma sana
Acha tu ndugu yangu haielezekiNdugu zangu,hakuna maisha mabaya kama watu kutengana wakishakuwa wamezaa,ni maumivu makubwa sana.Na effect kubwa ni kwa watoto kwani ridge watakuwa wanalelewa na baba halisi na mama wa kambo au mama halisi na baba wa kambo.
Mungu tusaidie,mioyo yetu Ina teketea kwa maumivu makali
👉👉 Kila kitu Huwa inatokea kwenye akili ya mtu na moyo wake jinsi alivyojiaminisha...........ukwel n kwamba huyo Binti umemuaribia maisha maana uliforce kusex naye na hakuwa na interested na wewe hapo ina maaana hukuwa na kibali ndani ya MOYO WAKE na ndo maana kitendo kile ilibakia kama MKOSI KWAKE.............hata kwako Kuna namna tu utakutana na MKOSI huo huo kama sio wewe basi UZAO WAKO..................Kuna namna ya kufanya ili ujiepushe na hayo yoteHabari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.
Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni. Mama yake sikumuoa nilioa mwanamke mwingine ila mtoto ninaishi nae mimi. Kitu hiki ndo kinanifanya kuwa na majuto kitendo nilichomfanyia mama yake. Daa kinaniumiza sana sometime nawaza bora ningemuoa mama yake.
Kipindi nipo chuo mwaka wa 3 naingia. Mwaka wa kwanza ndo walikuwa wanafika chuoni. Sasa si unajua mambo ya chuo mabinti wapya kutoka form 6 ndo wanakuja. Vijana mambo ya chuo naamini mnaelewa. Sasa nikamuona binti mmoja, nikaanza kumvizia sana, nakumbuka kipindi kile na rafiki zangu tulikuwa tunagawana mabinti, mimi huyu wewe yule.
Nilizoeana nae na kuanza kumfuata ili kuanzisha mahusiano nae. Nilijitahidi kuvizia na kupeana mbinu wa friends. Wenzangu walifanikiwa baadhi hadi kuwa nao first year. Ila mimi bado ananiangaisha.
Yeye alisema issue ya mahusiano hapana labda kuwa friends kawaida tuu. Mimi nikaona poa ila bado namvizia yule dada. Japo alikuwa mgumu sana.
Siku moja chuoni night watu walikuwa wanafanya discussion. Sasa nilikuwa na yule binti night siku ile tulipiga story kadhaa. Nilipanga kusex nae anytime nitakapo pata chance.
Siku ile nilipanga leo ni leo nitafanikiwa. Nakumbuka niseme kwa kifupi tuu nilimlaghai sana kwa kumshika shika akawa anasema tuu acha. Baadae akatoka akaamua kuondoka kurudi hostel, mimi nilikuwa sikai mbali na chuoni ghetto langu ni maeneo hayo ya chuoni tuu.
Nilimshikashika mpk akasema usinishawishi kuzini mimi siitaji.
Niliendelea tu.
MWISHOWE alilainika na akajikuta anakubali , nilienda nae ghetto tukasex na alilala mpk morning.
Asubui anashituka daa nikamkuta analia sana na kunilaumu, aliondoka na kwenda hostel .
Hatukuwa karibu kama 2 weeks hivi. Baada ya wiki 3 na siku kadhaa akaniambia siku zake haziona. Mimi eeeeeee. Nilishituka sana. Kumbe siku ile alikuwa siku zake za hatari . Nikili tuu nilitake risk sikutumia condom.
Niliisi kama kuchanganyikiwa hivi nikaona au ananimbambikizia nini. Niliwaeleza wadau wakasema Katoe , mimi daaa kitu hicho sijawahi hata kufanya , nikimuangalia binti yeye namuona she is not okay muda wote mpk wenzie wanamuliza shida nini.
Nikaa kimya tuu siku zinaenda naona tumbo hilo. Baada ya miezi kama 3 hivi ujauzito ukaanza kumsumbua sana. Mpk akaanza kunilaumu mimi. Akalazimika kwenda kwao. Kwao walimzingua sana tena sana.
Alikuwa ananipigia simu huku akinilaumu kwa siku ile.
Akalazimika kusitisha chuo. Baada ya kujifungua mimi nilikuwa nishamaliza chuo.
Mbaya zaidi akajifungua kwa operation mda wa kukaa home ndo ukazidi.
Akarudi chuo wenzie wako mwaka wa 3 yeye anaendelea na semester ya 2 mwaka wa kwanza. Mshono wa operation ulimsumbu sana.
Mimi nilisena tuu home wakanitupia maneno sana kwani wazazi wangu ni watu wa dini sana. Tukio lile lilinifanya niache kuzini kabisa.
Ila baadae nilikutana na binti mwingine. Na kumuoa .
Japo mama alinisisitiza sana muoe mama mtoto wako. Kwa sababu pale umemuaribu mtoto wa watu. Mimi wala sikujali.
Ila mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.
Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake.
Kwa sasa anaumri wa miaka 32. Rafiki zake wote tayari wameolewa ila yeye bado , mara nyingi anakuwa ni mtu wa huzuni sana , she is not happy always.
Hiki kitu mara nyingi kinaniumiza sana , maana naona kama nimemuaribia maisha binti wa watu.
Na mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.
Daaa we acha .
KAMA NIMEKOSEMA UANDISHI NAOMBA RADHI.🤲🙏🙏🙏