Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio ampe huyo sadaka zake hivyo ndio nimemaanishaThere is no way anaweza akafuta hii..mwenye uwezo wa kuzuia hii situation isiback fire sio sadaka,ni mtu mmoja tu naye ni huyo binti.
Akae vizuri na huyo binti
ndio ampe huyo sadaka zake hivyo ndio nimemaanisha
Inasikitisha sanaIla mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.
Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake
Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.
Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni...
It's true!There is no way anaweza akafuta hii..mwenye uwezo wa kuzuia hii situation isiback fire sio sadaka,ni mtu mmoja tu naye ni huyo binti.
Akae vizuri na huyo binti
Na usikute daktari aliyemfanyia C-section hakuwa na experience kaacha bonge la mkovu huo kuanzia kona moja ya tumbo mpaka nyingine. Mwanaume akiuona tu anajisemea hapa nimepotea njia anasepa zake...Huyo maskini atakua anasimangwa ujana wake alikua anawabania miamba kazalishwa kazeeka ndo anajirahisi. Binadamu na maneno yao makali
Lakini walau asilimia kubwa katika life tunakosea, tumuombee tu kwa Mungu amsamehe makosa yake, na wengine tujifunze kupitia yeye.Na badooo!
Laana hiyo na iendelee kukutafuna wewe na kizazi chako chote. Yaani mabinti wote wa ukoo wote wa Mr. Dude wazalie majumbani na wasiolewe kamwe...
Majuto ni kawaida kwa binadamu , Wewe siye unayefanya asiolewe ! Muda wake bado au hiyo point ya yeye kuwa na mtoto ndo anaifanya kisingizio ! Wanawake wangapi wana watoto wanaolewa vizuri tu tena kwa ndoa nzuri na za kudumu!Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.
Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni...
32 kuna muda hapo?Ukifika muda wa kuolewa ataolewa tu. Ni muda tu hajapata mtu sahihi ila atakuja