WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

Mimi nimechoma zaidi ya milion 300 kwa muda wa miaka 15,Mzee alikua kila siku ananiambia achana na biashara achana na maproject hayo ni rahisi kwa makaratasi na Sio hali halisi.

We Jenga apartment za kupangisha zitakusaidia mbeleni kipindi Hicho pesa zinatiririka tu,basi naelewa ni dream ya kufanya makubwa anzisha project hii nachezea za uso hasara hii mwanzo vizur mwisho hasara.

Ni Bora uchome pesa kwenye starehe utoumia kuliko kwenye project then ikazama utaishia kupata experience tu
On average ulikua unatumia 20M kila mwaka.

Ilikua biashara gani hii?
 
Kutofikiri kumuoa kwa mara ya kwanza yawezekana ni kwa sababu hukujuta kwa ulichokifanya ila hofu imekuja baada ya kupata binti na unahisi anaweza kulipia dhambi zako.

Kama inawezekana omba toba ya kweli lakini pia umuombee huyo binti afunguliwe maana kuna single mothers kibao wameolewa

Pamoja na kusema yote hayo, lakini moyo wangu ni mzito sana nikifikiria maisha ya huyo baby mama, ni wazi alikuwa perfect kid na staki hata kufikiria ni shida gani amepitia hadi sasa kwa kosa moja, huku akikuangalia ni kama unaishi perfect life. Daahh Mungu amtie nguvu
 
Mkuu ilibidi iwe hivyo ,wala usijali ukijilaumu sana utatengeneza negative emotions hiyo itapelekea ufeli kwenye mambo mengi ,wale wafia dini watapata sababu yakukuambia ni laana ya huyo dada , thinking positive bro , songa mbele achana na mawazo mfu mtunze mwanao. Jifunze low of attraction zinavyofanya kazi ili kuepuka mtego wa negative thoughts.
 
Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.

Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni. Mama yake sikumuoa nilioa mwanamke mwingine ila mtoto ninaishi nae mimi. Kitu hiki ndo kinanifanya kuwa na majuto kitendo nilichomfanyia mama yake. Daa kinaniumiza sana sometime nawaza bora ningemuoa mama yake.

Kipindi nipo chuo mwaka wa 3 naingia. Mwaka wa kwanza ndo walikuwa wanafika chuoni. Sasa si unajua mambo ya chuo mabinti wapya kutoka form 6 ndo wanakuja. Vijana mambo ya chuo naamini mnaelewa. Sasa nikamuona binti mmoja, nikaanza kumvizia sana, nakumbuka kipindi kile na rafiki zangu tulikuwa tunagawana mabinti, mimi huyu wewe yule.

Nilizoeana nae na kuanza kumfuata ili kuanzisha mahusiano nae. Nilijitahidi kuvizia na kupeana mbinu wa friends. Wenzangu walifanikiwa baadhi hadi kuwa nao first year. Ila mimi bado ananiangaisha.

Yeye alisema issue ya mahusiano hapana labda kuwa friends kawaida tuu. Mimi nikaona poa ila bado namvizia yule dada. Japo alikuwa mgumu sana.

Siku moja chuoni night watu walikuwa wanafanya discussion. Sasa nilikuwa na yule binti night siku ile tulipiga story kadhaa. Nilipanga kusex nae anytime nitakapo pata chance.

Siku ile nilipanga leo ni leo nitafanikiwa. Nakumbuka niseme kwa kifupi tuu nilimlaghai sana kwa kumshika shika akawa anasema tuu acha. Baadae akatoka akaamua kuondoka kurudi hostel, mimi nilikuwa sikai mbali na chuoni ghetto langu ni maeneo hayo ya chuoni tuu.

Nilimshikashika mpk akasema usinishawishi kuzini mimi siitaji.

Niliendelea tu.

MWISHOWE alilainika na akajikuta anakubali , nilienda nae ghetto tukasex na alilala mpk morning.

Asubui anashituka daa nikamkuta analia sana na kunilaumu, aliondoka na kwenda hostel .

Hatukuwa karibu kama 2 weeks hivi. Baada ya wiki 3 na siku kadhaa akaniambia siku zake haziona. Mimi eeeeeee. Nilishituka sana. Kumbe siku ile alikuwa siku zake za hatari . Nikili tuu nilitake risk sikutumia condom.

Niliisi kama kuchanganyikiwa hivi nikaona au ananimbambikizia nini. Niliwaeleza wadau wakasema Katoe , mimi daaa kitu hicho sijawahi hata kufanya , nikimuangalia binti yeye namuona she is not okay muda wote mpk wenzie wanamuliza shida nini.

Nikaa kimya tuu siku zinaenda naona tumbo hilo. Baada ya miezi kama 3 hivi ujauzito ukaanza kumsumbua sana. Mpk akaanza kunilaumu mimi. Akalazimika kwenda kwao. Kwao walimzingua sana tena sana.

Alikuwa ananipigia simu huku akinilaumu kwa siku ile.

Akalazimika kusitisha chuo. Baada ya kujifungua mimi nilikuwa nishamaliza chuo.
Mbaya zaidi akajifungua kwa operation mda wa kukaa home ndo ukazidi.

Akarudi chuo wenzie wako mwaka wa 3 yeye anaendelea na semester ya 2 mwaka wa kwanza. Mshono wa operation ulimsumbu sana.

Mimi nilisena tuu home wakanitupia maneno sana kwani wazazi wangu ni watu wa dini sana. Tukio lile lilinifanya niache kuzini kabisa.

Ila baadae nilikutana na binti mwingine. Na kumuoa .
Japo mama alinisisitiza sana muoe mama mtoto wako. Kwa sababu pale umemuaribu mtoto wa watu. Mimi wala sikujali.

Ila mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.

Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake.

Kwa sasa anaumri wa miaka 32. Rafiki zake wote tayari wameolewa ila yeye bado , mara nyingi anakuwa ni mtu wa huzuni sana , she is not happy always.

Hiki kitu mara nyingi kinaniumiza sana , maana naona kama nimemuaribia maisha binti wa watu.

Na mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.

Daaa we acha .

KAMA NIMEKOSEMA UANDISHI NAOMBA RADHI.🤲🙏🙏🙏
Wewe ndiye umesoma hadi chuo?Labda madrasa.Kwa nini haujui kujieleza wala kuandika?Be specific and to the points,dude!
 
Kosa ulilofanya hukusikiliza sauti ya Mama yako! Ungemuoa huyo huyo mwanachuo uliyempa ujauzito akakuzalia mwana.
Sikuombei mabaya! Lakini kama umezaa mtoto wa kike atafanyiwa hivyo hivyo kama ulivyomfanyia huyo binti.
Atazalishwa na atatelekezwa!
 
Jamani hapa mnasema singo mama wanaolewa ila kuna nyuzi nyingi tu mnasema singo mama hawawezikuolewa.
Wanaolewa vizuri tu ni kulingana na tabia na mienendo ya mtu !! Jf ni kundi dogo sana kusemea watanzania wote ! Users hawafiki hata Million humu , uhalisia ulioko nje ni tofauti sana na unaosemwa humu ndani !!
Jamii Forum ni watu tu kujimwambafy tu !!
 
Mzee hiyo kitu itakutafuna uzao wako wote ..ni kheri kama yeye angekupiga chini ..lakini wewe ulimlaghai ,ukamtia mimba...Kisha ukampiga chini ...dah....yani kiufupi karma is bitch hakuna Cha kusali Wala nini...Mungu hafugi ujinga na uzembe wako...maana alikuonyesha Toka awali...na ulijua....Kisha akakula warning ukaoa mwanamke mwingine....Sasa Kila chozia huyo Binti kwako ni adhabu ..na kwa familia yako pia....so kaka...jipange tu kiakili kuyapokea...na jua lisipokupata wewe ..binafsi...basi wanao..aua wajukuu zako watalipa hill deni.....sijui washikaji Huwa tunafeli wapi ....unampaje mtoto wa watu mimba ....ikiwa huna mpangi naye...!? Anyway ni kheri mngeitoa tu kipindi kile...ijulikane ni dhambi kuliko dhambi hii uliyoitenda kwa kukuharibia huyo Binti maisha ...
 
Kama uchumi unaruhusu fanya hima muinue kiuchumi nae yeye.
Hata akimuinua kiuchumi, mwanamke akiikosa ndoa huku age mates wenzake wote wameolewa hua wanahisi kuna kitu cha muhimu sana wana miss (that's the bitter truth)..

So hata awe na uchumi mkubwa kushinda bakhresa lkn atapata mfadhaiko wa moyo na stress maisha yake yote ikiwa hajapata bwana wa kumuoa. Feminist watapinga but that's the reality.

Kwahiyo ndugu jitahidi umuoe huyo binti hata mke wa pili. Afterall ameshakuzalia so ni muendelezo tu wa familia.
 
Ndugu Bangida asjkundangye mtu huko kufunga na kuondoa sijui roho ya malipizi hakutasidia kitu kama ulitenda kwa hiari yako ..na kwa kukusudia.....ikiwa unajua kabisa jambo Hilo litaenda kumiharibia mtu maisha ..lazima likurudi...Yani hio haikopeshwi...unalipwa sawasawa na vile ilibyotarajia
 
mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.
Nafikiri hili ndio la msingi! Pole sana muite mfariji, japo haiwezekani kubadilisha kitu
 
Na usikute daktari aliyemfanyia C-section hakuwa na experience kaacha bonge la mkovu huo kuanzia kona moja ya tumbo mpaka nyingine. Mwanaume akiuona tu anajisemea hapa nimepotea njia anasepa zake...

Binti atakuwa kwenye maumivu makali ajabu....

Halafu wanaume tunakaa hapa tunawasimanga singo mazazi kila leo kumbe mara nyingi tuliozingua ni sisi. Mungu na Atusaidie [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Ndio maana mimi hupenda kufanya Caesarean Section kwa style ya J-Cohen. Sipendi kuacha kovu kwa mwanamke.

Yani akipona kidonda anakua na uwezo wa kuvaa crop top bila kovu kuonekana na hata kuogelea beach akiwa ameachia tumbo. It's good for cosmetic!
 
Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.

Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni. Mama yake sikumuoa nilioa mwanamke mwingine ila mtoto ninaishi nae mimi. Kitu hiki ndo kinanifanya kuwa na majuto kitendo nilichomfanyia mama yake. Daa kinaniumiza sana sometime nawaza bora ningemuoa mama yake.

Kipindi nipo chuo mwaka wa 3 naingia. Mwaka wa kwanza ndo walikuwa wanafika chuoni. Sasa si unajua mambo ya chuo mabinti wapya kutoka form 6 ndo wanakuja. Vijana mambo ya chuo naamini mnaelewa. Sasa nikamuona binti mmoja, nikaanza kumvizia sana, nakumbuka kipindi kile na rafiki zangu tulikuwa tunagawana mabinti, mimi huyu wewe yule.

Nilizoeana nae na kuanza kumfuata ili kuanzisha mahusiano nae. Nilijitahidi kuvizia na kupeana mbinu wa friends. Wenzangu walifanikiwa baadhi hadi kuwa nao first year. Ila mimi bado ananiangaisha.

Yeye alisema issue ya mahusiano hapana labda kuwa friends kawaida tuu. Mimi nikaona poa ila bado namvizia yule dada. Japo alikuwa mgumu sana.

Siku moja chuoni night watu walikuwa wanafanya discussion. Sasa nilikuwa na yule binti night siku ile tulipiga story kadhaa. Nilipanga kusex nae anytime nitakapo pata chance.

Siku ile nilipanga leo ni leo nitafanikiwa. Nakumbuka niseme kwa kifupi tuu nilimlaghai sana kwa kumshika shika akawa anasema tuu acha. Baadae akatoka akaamua kuondoka kurudi hostel, mimi nilikuwa sikai mbali na chuoni ghetto langu ni maeneo hayo ya chuoni tuu.

Nilimshikashika mpk akasema usinishawishi kuzini mimi siitaji.

Niliendelea tu.

MWISHOWE alilainika na akajikuta anakubali , nilienda nae ghetto tukasex na alilala mpk morning.

Asubui anashituka daa nikamkuta analia sana na kunilaumu, aliondoka na kwenda hostel .

Hatukuwa karibu kama 2 weeks hivi. Baada ya wiki 3 na siku kadhaa akaniambia siku zake haziona. Mimi eeeeeee. Nilishituka sana. Kumbe siku ile alikuwa siku zake za hatari . Nikili tuu nilitake risk sikutumia condom.

Niliisi kama kuchanganyikiwa hivi nikaona au ananimbambikizia nini. Niliwaeleza wadau wakasema Katoe , mimi daaa kitu hicho sijawahi hata kufanya , nikimuangalia binti yeye namuona she is not okay muda wote mpk wenzie wanamuliza shida nini.

Nikaa kimya tuu siku zinaenda naona tumbo hilo. Baada ya miezi kama 3 hivi ujauzito ukaanza kumsumbua sana. Mpk akaanza kunilaumu mimi. Akalazimika kwenda kwao. Kwao walimzingua sana tena sana.

Alikuwa ananipigia simu huku akinilaumu kwa siku ile.

Akalazimika kusitisha chuo. Baada ya kujifungua mimi nilikuwa nishamaliza chuo.
Mbaya zaidi akajifungua kwa operation mda wa kukaa home ndo ukazidi.

Akarudi chuo wenzie wako mwaka wa 3 yeye anaendelea na semester ya 2 mwaka wa kwanza. Mshono wa operation ulimsumbu sana.

Mimi nilisena tuu home wakanitupia maneno sana kwani wazazi wangu ni watu wa dini sana. Tukio lile lilinifanya niache kuzini kabisa.

Ila baadae nilikutana na binti mwingine. Na kumuoa .
Japo mama alinisisitiza sana muoe mama mtoto wako. Kwa sababu pale umemuaribu mtoto wa watu. Mimi wala sikujali.

Ila mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.

Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake.

Kwa sasa anaumri wa miaka 32. Rafiki zake wote tayari wameolewa ila yeye bado , mara nyingi anakuwa ni mtu wa huzuni sana , she is not happy always.

Hiki kitu mara nyingi kinaniumiza sana , maana naona kama nimemuaribia maisha binti wa watu.

Na mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.

Daaa we acha .

KAMA NIMEKOSEMA UANDISHI NAOMBA RADHI.🤲🙏🙏🙏
Muoe, au mhudumie kama mke wako
 
Mi na jambo nalijutia Kimya Kimya nshatubutu mara kibao lkn sijui kwann inatokea siku nkikumbuka mwili unaanza kusweat!

Kuna siku nlikuwa nimekaa na majamaa zangu nkakumbuka tu gafla nlikosa utulivu nliondoka nkaanza kutembea hata sijui nlitembeaje akili zinarudi npo ubungo plaza na wakati nlikua posta 😥


Dada zetu mtusamehe tu mda mwngn sio akili zetu
Ishu gani mkuu share hapa
 
Back
Top Bottom