WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

Hata akimuinua kiuchumi, mwanamke akiikosa ndoa huku age mates wenzake wote wameolewa hua wanahisi kuna kitu cha muhimu sana wana miss (that's the bitter truth)..

So hata awe na uchumi mkubwa kushinda bakhresa lkn atapata mfadhaiko wa moyo na stress maisha yake yote ikiwa hajapata bwana wa kumuoa. Feminist watapinga but that's the reality.

Kwahiyo ndugu jitahidi umuoe huyo binti hata mke wa pili. Afterall ameshakuzalia so ni muendelezo tu wa familia.
Mimi ni mkatoliki mkuu
 
Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.

Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na dada mmoja chuoni. Mama yake sikumuoa nilioa mwanamke mwingine ila mtoto ninaishi nae mimi. Kitu hiki ndo kinanifanya kuwa na majuto kitendo nilichomfanyia mama yake. Daa kinaniumiza sana sometime nawaza bora ningemuoa mama yake.

Kipindi nipo chuo mwaka wa 3 naingia. Mwaka wa kwanza ndo walikuwa wanafika chuoni. Sasa si unajua mambo ya chuo mabinti wapya kutoka form 6 ndo wanakuja. Vijana mambo ya chuo naamini mnaelewa. Sasa nikamuona binti mmoja, nikaanza kumvizia sana, nakumbuka kipindi kile na rafiki zangu tulikuwa tunagawana mabinti, mimi huyu wewe yule.

Nilizoeana nae na kuanza kumfuata ili kuanzisha mahusiano nae. Nilijitahidi kuvizia na kupeana mbinu wa friends. Wenzangu walifanikiwa baadhi hadi kuwa nao first year. Ila mimi bado ananiangaisha.

Yeye alisema issue ya mahusiano hapana labda kuwa friends kawaida tuu. Mimi nikaona poa ila bado namvizia yule dada. Japo alikuwa mgumu sana.

Siku moja chuoni night watu walikuwa wanafanya discussion. Sasa nilikuwa na yule binti night siku ile tulipiga story kadhaa. Nilipanga kusex nae anytime nitakapo pata chance.

Siku ile nilipanga leo ni leo nitafanikiwa. Nakumbuka niseme kwa kifupi tuu nilimlaghai sana kwa kumshika shika akawa anasema tuu acha. Baadae akatoka akaamua kuondoka kurudi hostel, mimi nilikuwa sikai mbali na chuoni ghetto langu ni maeneo hayo ya chuoni tuu.

Nilimshikashika mpk akasema usinishawishi kuzini mimi siitaji.

Niliendelea tu.

MWISHOWE alilainika na akajikuta anakubali , nilienda nae ghetto tukasex na alilala mpk morning.

Asubui anashituka daa nikamkuta analia sana na kunilaumu, aliondoka na kwenda hostel .

Hatukuwa karibu kama 2 weeks hivi. Baada ya wiki 3 na siku kadhaa akaniambia siku zake haziona. Mimi eeeeeee. Nilishituka sana. Kumbe siku ile alikuwa siku zake za hatari . Nikili tuu nilitake risk sikutumia condom.

Niliisi kama kuchanganyikiwa hivi nikaona au ananimbambikizia nini. Niliwaeleza wadau wakasema Katoe , mimi daaa kitu hicho sijawahi hata kufanya , nikimuangalia binti yeye namuona she is not okay muda wote mpk wenzie wanamuliza shida nini.

Nikaa kimya tuu siku zinaenda naona tumbo hilo. Baada ya miezi kama 3 hivi ujauzito ukaanza kumsumbua sana. Mpk akaanza kunilaumu mimi. Akalazimika kwenda kwao. Kwao walimzingua sana tena sana.

Alikuwa ananipigia simu huku akinilaumu kwa siku ile.

Akalazimika kusitisha chuo. Baada ya kujifungua mimi nilikuwa nishamaliza chuo.
Mbaya zaidi akajifungua kwa operation mda wa kukaa home ndo ukazidi.

Akarudi chuo wenzie wako mwaka wa 3 yeye anaendelea na semester ya 2 mwaka wa kwanza. Mshono wa operation ulimsumbu sana.

Mimi nilisena tuu home wakanitupia maneno sana kwani wazazi wangu ni watu wa dini sana. Tukio lile lilinifanya niache kuzini kabisa.

Ila baadae nilikutana na binti mwingine. Na kumuoa .
Japo mama alinisisitiza sana muoe mama mtoto wako. Kwa sababu pale umemuaribu mtoto wa watu. Mimi wala sikujali.

Ila mzazi mwezangu yule. Tangu kamaliza chuo akipata mwanaume, akijua anamtoto jamaa anamuacha. Kila anayepata anamuacha. Baadae nikaona ngoja nimchukue mtoto nikae nae. Ili na yeye apate mtu amuoe . Ila wapi.

Mwaka juzi alipata mmoja alikubali ila alivyokuja kugundua alijifungua kwa operation akamuacha. Mara nyingine anakuwa ananilalamikia sana nimemualibia system mzima ya life yake.

Kwa sasa anaumri wa miaka 32. Rafiki zake wote tayari wameolewa ila yeye bado , mara nyingi anakuwa ni mtu wa huzuni sana , she is not happy always.

Hiki kitu mara nyingi kinaniumiza sana , maana naona kama nimemuaribia maisha binti wa watu.

Na mimi hapa home nina mtoto wa kike nafikilia na yeye akikutwa na tukio kama lile itakuwaje huwa nafikilia sana na kumuangali binti yangu huyu hapa home.

Daaa we acha .

KAMA NIMEKOSEMA UANDISHI NAOMBA RADHI.🤲🙏🙏🙏
Stupid 🚮🚮🚮🚮
 
Majuto ni kawaida kwa binadamu , Wewe siye unayefanya asiolewe ! Muda wake bado au hiyo point ya yeye kuwa na mtoto ndo anaifanya kisingizio ! Wanawake wangapi wana watoto wanaolewa vizuri tu tena kwa ndoa nzuri na za kudumu!

Humu JF ndo tunadanganyana tusioe single mother tu na kundi lililo humu ni dogo sana !!
Ungelaumiwa kama hutunzi mtoto wako vizuri !! Ila hiyo issue ya mama ni yeye tu anajiwekaje!

Huyo hujamuharibia maisha badilisheni mtazamo maisha yanatoa second chance !! Kweli mlikosea wote lakini sio kitu cha kujisononesha hata kama unaogopa kuhusu karma kwa binti yako mfundishe baada ya makosa ni kunyanyuka sio kuomboleza

! Usikute ana pigo za kifeminist wahuni wakitoroka anajificha kwenye mwamvuli wa Single maza !!

Single maza wanapata mahusiano mazuri tu kama raia wengine tena hata kuliko wasio na watoto ni suala la timing tu.
Mkuu trust me sisi wanaume asilimia kubwa , hatupendi kuoa mwanamke mwenye mtoto. Sio wote.
Lkn naona umesoma vizuri, kasema huyo binti hakuna tayari kusex.
Na siku hio kama alipata ujauzito inamaana alikuwa siku za hatari. Na kitaalamu mwanamke siku zake za hatari ndio ni siku ambazo anakuwa anatamani kukutana na mwanaume ila wengi wanajizuia tuu.

Ndo maana huyo binti alishidwa nini cha kufanya baada ya jamaa kumtekenya kwa muda.

Jamaa ndio muhusika mkuu.

Mbaya kajifungua kwa operation kwa hio yeye hapo alipo chance ya kupata watoto ni 2 times tuu. Maaana operation mwisho ni mara 3 mkuu.
Atakaye muoa awe tayari ni watoto 2 tuu wa kuzaa naye.
Ikitokea mtoto wake mmoja au wote wawili wamekwenda basi , labda akazini nje kwa mkewe hapana tena.
 
Ukitaka kuoa single mother lazima ujue kajifungua kwa nini kama ni operation mmmmh yeye kupata watoto ni mara 2 tuu ikitokea watoto wamekufa wako 1 au wote 2.
Basi labda ukazini nje.
 
Kuna mambo anatakiwa awekwe sawa ndo atapata mwanaume,kiukweli ulimfanyia ulaghai sana japo hiyo siyo sababu ya yeye kushindwa kuendelea maisha mengine,anashindwa kuolewa simply kwa sababu amekubeba kichwani,

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Yah kusema eti ana mtoto sijui mshono ndo maana haolewi sio kweli , aangalie tabia na mienendo yake !! Lakini sisi tunawajua single maza kibao wameolewa vizuri tu
Mshono ulimsumbua kipindi yupo chuo maana alilazimika kukaa home kwa muda mpaka mwezie wapo mwaka wa tatu na yeye ndo anaingia semester 2. Mwaka wa 1.

Kuhusu tabia hana tabia mbaya nilimuacha baada ya tuu ya kukutana na mwingine nikampenda si kwamba anatabia mbaya no.

Ila wanaume wanamuacha kwa sababu wanamwambia ashazaa.
Mwaka huu mwezi wa 9 anafikisha 33.
Huyo mmoja wa mwaka juzi alimuacha tuu baada ha kujua alijifungua kwa kisu.
Nafikili aliona ni risk kuwa nae sijui.
 
Kipimo ulichompimia mwenzeko ndo hicho hicho utakachopimiwa.
Wazazi wako walikua sahihi kabisa kukwambia umuoe ona Sasa umemuaribia bint wa watu life kwa Dunia ya Leo Miaka 32 nani amuoe.

Ushauri wangu kwako kama upo vizuri Muombe msamaha then Muombe Mungu wako msamaha ufunge kabisa hizo Roho za malipiz kwa wanao wasije fanywa kama wewe ulivyo fanya, na jinsi unavyo fikiria ndugu ndo hivyo hivyo mambo hutokea wakati mwingine sis Binadamu huwa tunawaza mambo yatakayo tokea mbelen na tunajua Alfu tunapuuzia, so nakushauri Mawazo unayo yawaza usiyapuuzie Muombe sana Mungu wako akusamehe hiyo dhambi na isiipate familia yako pia huyo Binti Muombe msamaha,

Kingine mshauri awe mkweli,, mm nafikiri kumficha mtoto siyo chanzo Cha kupta Mme wa Kumuoa yeye apambane akipata mwanaume asimdanganye Kuwa Hana mtot Bali amwambie ukweli maisha mengine yaendelee

Kila la kher
Hili la kumficha mtoto ndo linamfanya wanaume waachane naye,

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Mshono ulimsumbua kipindi yupo chuo maana alilazimika kukaa home kwa muda mpaka mwezie wapo mwaka wa tatu na yeye ndo anaingia semester 2. Mwaka wa 1.

Kuhusu tabia hana tabia mbaya nilimuacha baada ya tuu ya kukutana na mwingine nikampenda si kwamba anatabia mbaya no.

Ila wanaume wanamuacha kwa sababu wanamwambia ashazaa.
Mwaka huu mwezi wa 9 anafikisha 33.
Huyo mmoja wa mwaka juzi alimuacha tuu baada ha kujua alijifungua kwa kisu.
Nafikili aliona ni risk kuwa nae sijui.
Sema umekuwa mtu mzima hizi mambo achana nazo kabisa.

Dunia hii Kwa maoni yangu mwanamke best ukiachana na mama (mzazi) basi ni mwanamke aliyebeba mimba yako na kuhatarisha maisha yake .

Yaani inakuwaje hapo unamuacha na ulikuwa ndo tatizo ,uhalisia kuna double impact .

Kwanza Kwa mwanao kuishi na mam wa kambo na pili kumuacha huyo mwanamke na ilihali kashapigwa kisu Kwa sababu yako.
 
Ndio maana mimi hupenda kufanya Caesarean Section kwa style ya J-Cohen. Sipendi kuacha kovu kwa mwanamke.

Yani akipona kidonda anakua na uwezo wa kuvaa crop top bila kovu kuonekana na hata kuogelea beach akiwa ameachia tumbo. It's good for cosmetic!
Style ya J Cohen ndio ipoje??
 
Back
Top Bottom