Acha uchoyo kizuri kula na wenzio. Wee hutaki wanawake wenzio nao wapate utamu wakeTumetengana kwa sababu ya umalaya wake, ndio bado nampenda tena sana tu tatizo letu ni hilo tu tumepeana space kwa muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uchoyo kizuri kula na wenzio. Wee hutaki wanawake wenzio nao wapate utamu wakeTumetengana kwa sababu ya umalaya wake, ndio bado nampenda tena sana tu tatizo letu ni hilo tu tumepeana space kwa muda
Asante sn, bila Shaka ni ww niliyekuletea uzi humu kwamba hizi sifa mnazotupaga wtk wa minyanduano Ni za kweli au mnatuzuga tu.Hey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Ni mbaba na ndevu anazo[emoji2][emoji51][emoji1787]
Wapo kibao humu na kuna lingine naliona palee ila acha nikaushe[emoji1787][emoji1787][emoji51][emoji2]
Kwann unalazimisha awe ni mwanaume ila nyie wanawake hampendani Kabisa,fatilia thread zake zote utaona kuwa ni mwanamke huyo
Umejuaje,[emoji848]Afu wanakuaga na dick zimepinda flani hivi
Ama bado hamjafika chumbani?
Acha ujinga mwanaume mzima kujifanya mwanamke nyoooo
Nawachora wanaomilikiwa na vibushutiTatizo warefu wengi hawajitambui
Rudia utafiti wako.Kiukweli kabisa,wanaume wafupi huwa Wana akili Sana nadhani ni Ile dhana ya kutotaka kudharauliwa,,, wengi wanakuwa na viconfidence flan hivi na wanafanikiwa Sana..Tall black wengi wanajiamini wanapendwa hivyo wanabweteka so most of them hawafanikiwi Sana .
Hivi unategemea ID ilopewa jina la kike ianzishe nyuz za kiume.Kwann unalazimisha awe ni mwanaume ila nyie wanawake hampendani Kabisa,fatilia thread zake zote utaona kuwa ni mwanamke huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kwako huo ndo udhibitisho kuwa ni mwanamke😃😬.Nilifiwa na mwanangu wa kwanza, namshukuru Mungu nimepata mtoto mwingine wa kiume
Nianze kwa kumshukuru Mungu hadi kufika hapa. Kesho ni 40 ya kifo cha mwanangu my boy, tangu kufariki my first child my queen rest well my angel [emoji1431][emoji1431] lakini nimepata tena a health baby boy na kesho ndio 40 yake. Karibuni sanaaaaaaaa location Mwanza[emoji12][emoji12] Niko na...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani😃🤣😬.Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa
Habari zenu wanaJF Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39]) Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja. Suala lililonileta kwenu. Huyu mtu ni Muislam mwenzangu hamna changamoto...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumetengana kwa sababu ya umalaya wake, ndio bado nampenda tena sana tu tatizo letu ni hilo tu tumepeana space kwa muda
Hayo mambo ya urefu na ufupi kwa mwanaume Kama kichwani hamna kitu ni kazi bure.
Unajua nyie wanawake wafupi size ya vibanda vya Mpesa mna shida sanaFungua kabisa dirisha
Afu wanakuaga na dick zimepinda flani hivi
Ama bado hamjafika chumbani?