Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Asante sn, bila Shaka ni ww niliyekuletea uzi humu kwamba hizi sifa mnazotupaga wtk wa minyanduano Ni za kweli au mnatuzuga tu.

Sasa nimeamini ni sifa za kweli[emoji848][emoji123]
 
Ni mbaba na ndevu anazo[emoji2][emoji51][emoji1787]
Wapo kibao humu na kuna lingine naliona palee ila acha nikaushe[emoji1787][emoji1787][emoji51][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti Pisi kali.[emoji57]
Toka lini pisi kali ikawa na mkia katikati ya miguu.
Muogope Mungu we mbaba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga mwanaume mzima kujifanya mwanamke nyoooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kwako huo ndo udhibitisho kuwa ni mwanamke😃😬.
Kwani mim siwez kusema nimefiwa na mke?🤣😃
 

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani😃🤣😬.
Eee Mungu nipe kunyamaza😬🤣😃😏
 
Wewe utarudi kwa huyo baba watoto wako sababu ya njaa lakini si sababu ya kumpenda.

Wewe ni tegemezi.

Bana watoto wako atakuwa na hela .

Pengine ulipokuwa kwake ulikuwa unabadilisha vitoweo sasa kila kukicha mnabandika maharagwe jikoni utaacha kufikiria kurudi ulikotoka?

Njaa mbaya inamfanya mtu anashindwa kufanya maamuzi sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom