Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kiboko hii ungewatimua
Mimi nilienda na Jamaa yangu Mzungu tulienda kupiga Cocktail tu pale, Sasa huwezi kuwafukuza watu wapo kwenye mawindo halafu at that nuilikuwa bado nipo below 22
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiboko hii ungewatimua
Nakinai kukuona mara kwa mara na bia moja 😂😂Sasa nikikaa sana wewe unakwazika na nini?
Usawa huuuSi huwa wana kusubiri ukawanunulie zilizobaki😂😂
Sasa nikikaa sana wewe unakwazika na nini?
Lazima wajifunzeMambo yao waachie wenyewe...
Kama mtu hawez kunywa bia nyingi jee😂😂😂utamlazmisha?Lazima wajifunze
😁😁 Wee utapata tabu sana kwa hali hiyo kitu wafanye wengine ukereke wewe. Haya niambie upo wapi nije niagize soda moja usiku mzima ukereke vizuri.Nakinai kukuona mara kwa mara na bia moja 😂😂
😂😂 Ana matatizo yake huyu.Asikupangie chakufanya huyo 😂 😂 😂
Nipo huku kibaha 😂😂😂 kwa mangi😁😁 Wee utapata tabu sana kwa hali hiyo kitu wafanye wengine ukereke wewe. Haya niambie upo wapi nije niagize soda moja usiku mzima ukereke vizuri.
Na kwanini akiambiwa aagize kinywaji ana badilisha?Kama mtu hawez kunywa bia nyingi jee😂😂😂utamlazmisha
😁😁Nipo huku kibaha 😂😂😂 kwa mangi