Wanawake acheni kulazimisha ndoa

Lea mtoto acha visingizio .......
 
Ukweli mchungu Sana huu
 
Kanuni yetu ni ile ile

MWANAUME KATAA NDOA
NDOA NI UMASKINI
NDOA NI UTAPELI
KATAA NDOA ULINDE KIBUNDA CHAKO
 
Utabiri wa Isaiah 4:1 haipo mbali na kutumia.

Ni suala la Muda Tu.

Akina Mwajuma Badala ndefu mlionikataa kipindi kile nikiwa bado najitafuta nimekaa pale nawangoja
 
We jamaa muongo bana, Arusha ndio kuna maji yenye flouride kwa wingi ambayo inasababisha meno kuwa ya chocolate (fluorosis)
 
hawa dada zetu wanapitia mgumu sana! Kuna huyu ananisalimia kila siku hapa offsin natamannimwambie napenda mishangazi! Asihangaike na mim ana mtoto na anataka kuolewa tena!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…