Wanawake acheni ujinga. Kuvaa mipira hii ya makalio kuna madhara makubwa sana. Hizo kitu zinataka hewa

Wanawake acheni ujinga. Kuvaa mipira hii ya makalio kuna madhara makubwa sana. Hizo kitu zinataka hewa

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Hata kama wahenga walisema ukitaka uzuri sharti udhurike lkn siyo kwa kuvaa mipira hii ya kukuza na kuonesha makalio. Ni hatari sana.

Maumbile ya kike yanahitaji sana hewa. Ndiyo maana kwa enzi na enzi mwanamke amekuwa akivaa mavazi yenye kuruhusu hewa kufika kwa wingi kwenye sehemu zake za siri..

Mkitaka kupata magonjwa mtambuka endeleeni kuvaa haya ma-mipira.

Kwanza mnatafuta nn? Wewe kama mbaya ni mbaya tu. Sasa ukijivisha haya ma-mipira ndiyo utabadilika?? Mxiuuuuu.

Screenshot_20220623-235812_1.jpg
 
Ajabu unae umia ni wee mwanaume, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mdomo komaa, Jah nisaidie kunyamaza. Uwiiiiiih
Naona aibu mie nikiona mwanamke anavyo-force kuonekana mrembo wakati mbaya
 
Ke ndicho kiumbe pekee kilichofanikiwa kuongea na shetani pale bustanini Eden na Me hatujui ni kipi hasa kilizungumzwa baina yao [emoji2960]
 
Back
Top Bottom